Nilipoteza Tsh. Milioni 2 kwa kuchanganya Afrikana na Afrika Sana

Hapa hukupoteza hela yako sababu ya kuchanganya majina bali uzembe wako wa kusahau kwa kuwa busy na mambo yasiyo na msingi.

Ungeweza kwenda moja kwa moja na bado ukasahau begi kwenye bajaji. Wakati mwingine concentrate na kilichokupeleka acha mambo mengi.
 
mimba kwani sio swala la msingi chief
 
Mimi iliwahi nikukuta nimeaga asubui home naenda mwanza kufata cheti, nikapanda daladala pesa nauli nimeweka kwenye mfuko Mdogo wa mbele wa jeans nimekaa siti ya mbele ya daladala tulikaa abiria wawili kwenye hiace, naingia ubungo stand nimekaa kwenye bus la mwanza, bus linatoka getini konda anadai nauli kuingia mfukoni nimebakia na nauli tu ya daladala kunirudisha home ya basi siioni, nikamwambia konda zuia basi nishuke na safari ikaishia hapo hapo Saa nne nagonga hodi home wao wakitegemea niwe naitafuta Morogoro. Sijui nilichomolewa au ilipanda juu ya jeans ikadondoka. Lakini naamini itakuwa Mungu aliniepusha na ajali.
 
We amepata mimba badala ya kushukuru unaanza chachawa na masimu. Ilikuwa ni riziki ya mwingine hio dereva wa bajaji kaenda ongezea bajaj ingine. Kufa kufaana
 
We amepata mimba badala ya kushukuru unaanza chachawa na masimu. Ilikuwa ni riziki ya mwingine hio dereva wa bajaji kaenda ongezea bajaj ingine. Kufa kufaana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 asante sana
 
majina bhnaaa sio mimba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama mpaka sasa hujui kilichokuchanganya, basi wewe si wa kawaida. Hata kama ungepatia jina, ungeshuka bila ya begi.
 
Total rubbish...tea bila sugar.
 
Hajielewi.
 
Toka JF waanze kuingia watoto wa 2014 duh Eti huu nao Uzi tayari
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…