Nilipoteza Tsh. Milioni 2 kwa kuchanganya Afrikana na Afrika Sana

Nilipoteza Tsh. Milioni 2 kwa kuchanganya Afrikana na Afrika Sana

Hivi JF kwanini isiwekwe requirement ya age.Yaani ukiwa na chini ya miaka 30 huruhusuwi kujiunga Nimewaza tu kwa sauti.
inunue JF alafu uweke iko kipengele... si unamuona mwenzako elon anavyoichezea twitter anavyotaka.

sasa wewe asubuh unadoea kwenu uji wa ulezi wa mdogo wako alaf unatak et kuwa na requirement ya age
 
Write your reply...Mwingine anaponda Uzi eti total takataka Embu andika wewe hizo nondo zako tuzione unayesema mwenzako kaandika uchafu
amini yani mtu anakuja kukusambulia kama alikupa pesa zake hivi umuandikie story yako kumbe mtu umejitoa tu
 
inunue JF alafu uweke iko kipengele... si unamuona mwenzako elon anavyoichezea twitter anavyotaka.

sasa wewe asubuh unadoea kwenu uji wa ulezi wa mdogo wako alaf unatak et kuwa na requirement ya age
Lazima litakuwa jiwe la gizani.Watoto wengi JF.
 
Back
Top Bottom