Nilipoteza Tsh. Milioni 2 kwa kuchanganya Afrikana na Afrika Sana

Mimba Ni kesi? We Bado mdogo

Chuma huliwa na kutu, Cha mtu huliwa na mtu na kupoteza million 2 kwa maisha haya Basi Cha mtoto huliwa na baba
 
funzo.

tujifunze kushughulika ma jambo lililopo usoni kwa wakati huo.

na haya ndio matokeo ya kutopitia maisha yale ya kutumwa dukani unaimba chumvi nusu,sukari robo,hiriki ya mia na chenji irudi.
hapa ulikuwa ukiyumba tu na ya njiani unapoteza formular inakuwa hiriki irudi,chumvi ya mia na sukari nusu na chenji robo[emoji38][emoji38][emoji38].ukifika dukani muuzaji hakuelewi,tuliozibuliwa kisa tuliwasilisha mafuta ya taa kwenye kopo la mafuta kupikia,hatuwezi fanya mistake kama yako[emoji1787][emoji1787].

dah pole sana japo ni muda.
 
We ni kiazi
 
Hivi JF kwanini isiwekwe requirement ya age.Yaani ukiwa na chini ya miaka 30 huruhusuwi kujiunga Nimewaza tu kwa sauti.
 
Nimekumbuka nilivyo wahi sahau bag la mgongoni lenye milion moja na nusu,kwny tax za ubungo, nilikua nimetoka safarini, nimefika ubungo majira ya jioni saa 12 mpaka saa 1 na nusu usiku ndo tukio lililotokea , tulishindwana njiani na tax driver , mitaa ya sinza Lego, akanishusha kwa hasira, akatoa na bag langu kubwa kwny buti nikasema na pesa sitoi,huyo akaishia mi nkawa naburuta bag kubwa kwenda kwenye duka la pembeni,ili nirequest bolt,sasa kuna kaka mmoja mpita njia ,mkaka smart(,later on nikaja kujua ni daktari MD) akawa ananitania ,ooh mi mtu hawezi rusha bag langu hivyo ,mi nkawa nacheka sasa zimepita dakika chache ndo nikagundua cna bag la mgongoni,na ndo lenye hela,nilipanic nikamwambia yule kaka anisindikize ubungo nimesahau bag lenye hela kwny tax,huyo kaka akanitazama kwa makini takriban dakika kama 3 hivi bila kupepesa macho,nikamlilia anisaidie ,akanionea huruma, akasema km unakumbuka ulikopandia hiyo tax haya twende ntakusaidia usihofu mim ni mtu wa mazoezi nilijifunza martial arts kipindi nasoma china, hakuna mtu atakugusa hasa huyo tax driver,mliye shindwana ,tukapanda bajaji hao mpaka ubungo yaan ,ni tunatembea Fasta ili tumuwah dreva tax kabla hajapakia abiria mwingine coz bag nililiweka nyuma,ile tunafika tunamkuta yule dereva yuko anapiga story kijiweni na wenzie , nikamwambia sorry nimesahau bag kwny gari yako , akasema haina shida ,ingia uangalie ,ile kufungua naliona bag hilo , nikalifungua haraka mpunga umo, nilifurahi sana,dereva yy hajui kitu nkamlipa chake(hasira za nyuma zikaisha ghafla,[emoji3]),aisee nilimshukuru sana yule kaka nikataka nimpe laki tatu ya ahsante, akagoma kabisa ,kwamba yy amenisaidia kibinadamu tu ,alinionea huruma,nilimkumbatia kwa furaha sana, Mungu anazidi kumbariki yule kaka ni rafiki yng tangu siku hiyo , mwaka wa tatu huu,
 
Kuna Watu humu kazi yao kubeza tu....MTU katoa muda wake kaamua kushare mapito yake ifike mahali kama huna cha kuongea tunyamaze....kunyamaza si ujinga SAA nyingine
 
Write your reply...Mwingine anaponda Uzi eti total takataka Embu andika wewe hizo nondo zako tuzione unayesema mwenzako kaandika uchafu
 
Duh.....pole mkuu
 
Ilibidi mshumaa unaowaka uwekwe cm kadhaa chini ya kende zako ili upate raha na uwe makini siku ingine
 
Hahahahahaha
Tunasubiria Mkasa wa Mimba Mkuu
 
Pbz bank iko pale kariakoo 2 branches,magomeni, manzese, tegeta,
Ningemjua dingi ningemwambia hela umempa mama watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…