Nilipotumia Mbinu ya wachina kufaulu mitihani

Nilipotumia Mbinu ya wachina kufaulu mitihani

Hahaha mkuu unadhani kwanin hukuwa wa kwanza ? Hicho ndo kitu mimi nilianza kukitafuta kwa mshikaji, mwenyewe nilikuwa sisomi na nilikuwa position nzuri tu
Mimi sababu niliijua ni kwakua nilikua sisomi, huyo jamaa aliekua anakua wa kwanza ni kipanga balaa.
Alikua anapiga msuli kinoma, alipofika four alikua wa kwanza mkoa, advance kwenye best top ten ya physics alikuwemo, wakati huo mm nishapoteana kitambo sana na mambo ya mbunye na usharobaro uchwara.
 
Binafsi sikuwa na mbinu zaidi ya kuongeza bidii kujisomea.
Wengi walikuwa wanajitahidi kushindana nami ila kwenye somo la hisabati ilikuwa utata wewe unishinde.

Kwa sasa maisha yamekuwa tofauti, nimewahi kuwa mwanafunzi wa kwanza kila ngazi ya kitaaluma darasani kwetu ila mfukoni huenda ninashika mkia😭😭😭
Mkuu you still have it.
Tumia hio akili kwenye utafutaji, utapata matokeo yale yale japo inahitaji muda.
 
Ahaaaaa wewe mwanangu ni nouma sana, sema kwenye maisha ya kawaida wenye pesa hawajiweki pamoja na mafukara, inabidi upambane kutoka kwanza chini ndo upate
Tabia ya kuiga miandiko ya watu imenifanya hadi Leo nisiwe na consistency ya kuandika miandiko huo huo Kila siku. Unabadilika badilika labda uchunguze sana Kuna baadhi ya herufi zinashabihiana
 
mi nilikuwa mtundu na daftali sishiki na nina kuwa wa 30 kati ya wanafunzi 600 kutwa kwenye mabanda ya video hivyo walimu walikuwa wananishangaa, nili amini kufaulu ni kubahatisha tu wala sio kujua, la saba nika faulia temeke.Sekondari ni kawa ujuaji mwingi motion, american slang kama zote, shuleni sikuwaga naenda na madaftari hivyo walinishangaa watu sana, kujisomea labda siku za mtihani na ni nusu saa tu ,lakini matokeo ya kitoka ni wa 2 kati ya wanafunzi 100 .so wanafunzi walishindwa kunielewa nasomaje mbona hawajawahi kuniona na daftari na nikiingia darasani ni kelele tu? taratibu wakaanza kuniita jiniaz.n.b nilikuwa nafaulu je? usiku ni kilala nilikuwa nauota mtihani ,hivyo nilikuwa nasoma sehemu muhimu tofauti nawale walokuwa wanakesha...namshukuru MUNGU kwa hii talanta maana imenisaidia katika maisha yangu.
 
Mimi sababu niliijua ni kwakua nilikua sisomi, huyo jamaa aliekua anakua wa kwanza ni kipanga balaa.
Alikua anapiga msuli kinoma, alipofika four alikua wa kwanza mkoa, advance kwenye best top ten ya physics alikuwemo, wakati huo mm nishapoteana kitambo sana na mambo ya mbunye na usharobaro uchwara.
Ungefanya kama mm pengine na wew ungekuwa top ten ya taifa
 
mi nilikuwa mtundu na daftali sishiki na nina kuwa wa 30 kati ya wanafunzi 600 kutwa kwenye mabanda ya video hivyo walimu walikuwa wananishangaa, nili amini kufaulu ni kubahatisha tu wala sio kujua, la saba nika faulia temeke.Sekondari ni kawa ujuaji mwingi motion, american slang kama zote, shuleni sikuwaga naenda na madaftari hivyo walinishangaa watu sana, kujisomea labda siku za mtihani na ni nusu saa tu ,lakini matokeo ya kitoka ni wa 2 kati ya wanafunzi 100 .so wanafunzi walishindwa kunielewa nasomaje mbona hawajawahi kuniona na daftari na nikiingia darasani ni kelele tu? taratibu wakaanza kuniita jiniaz.n.b nilikuwa nafaulu je? usiku ni kilala nilikuwa nauota mtihani ,hivyo nilikuwa nasoma sehemu muhimu tofauti nawale walokuwa wanakesha...namshukuru MUNGU kwa hii talanta maana imenisaidia katika maisha yangu.
Hahahah hii story yako kama kweli una bahati sana mwanangu
 
Tabia ya kuiga miandiko ya watu imenifanya hadi Leo nisiwe na consistency ya kuandika miandiko huo huo Kila siku. Unabadilika badilika labda uchunguze sana Kuna baadhi ya herufi zinashabihiana
Hukuingia kwenye biashara ya kufanyia watu mitihani ?
 
nakumbuka nilikua kinara wa kuiga singh signature za wakuu wa shule kisha natoa vibali fek getini.
nimehudumu katika hiyo fani shule tofautitofauti
 
Hahahah hii story yako kama kweli una bahati sana mwanangu
AMEN ndo nilivyo hata sasa, yaani hata ndugu zangu hawanielewi,mimi mwenyewe najishangaaga sana, mi ni mtu wa kujitenga sana sipendi makundi makundi,
 
Binafsi sikuwa na mbinu zaidi ya kuongeza bidii kujisomea.
Wengi walikuwa wanajitahidi kushindana nami ila kwenye somo la hisabati ilikuwa utata wewe unishinde.

Kwa sasa maisha yamekuwa tofauti, nimewahi kuwa mwanafunzi wa kwanza kila ngazi ya kitaaluma darasani kwetu ila mfukoni huenda ninashika mkia😭😭😭
Aahhaaaa,pole mkuu
 
Mkuu kwa kitengo hicho bila shaka ulaji wa ada au kufoji report ulihusika sanaa
hahahah hayo yote sijawahi kuhusika niliwahi kupata hiyo tenda ya kupika report ya jamaa yangu sema niliikataa
 
Kuna mwamba ilikua kila mwaka anakua wa mwisho na anaenda siku ya matokeo wanamtaja jina anasimama. Nlikua nashangaa sana yan unajua we unakuaga wa mwisho bado unaenda kuskiza matokeo. Uyo broo adi leo ni fala sana elimu muhim sana
😂😂😂😂😂😂😂
 
Mimi ni bangi nikivuta tu basi naona hadi mwalimu akiwa anafundisha so nikawa na pass bila shida
 
mi nilikuwa mtundu na daftali sishiki na nina kuwa wa 30 kati ya wanafunzi 600 kutwa kwenye mabanda ya video hivyo walimu walikuwa wananishangaa, nili amini kufaulu ni kubahatisha tu wala sio kujua, la saba nika faulia temeke.Sekondari ni kawa ujuaji mwingi motion, american slang kama zote, shuleni sikuwaga naenda na madaftari hivyo walinishangaa watu sana, kujisomea labda siku za mtihani na ni nusu saa tu ,lakini matokeo ya kitoka ni wa 2 kati ya wanafunzi 100 .so wanafunzi walishindwa kunielewa nasomaje mbona hawajawahi kuniona na daftari na nikiingia darasani ni kelele tu? taratibu wakaanza kuniita jiniaz.n.b nilikuwa nafaulu je? usiku ni kilala nilikuwa nauota mtihani ,hivyo nilikuwa nasoma sehemu muhimu tofauti nawale walokuwa wanakesha...namshukuru MUNGU kwa hii talanta maana imenisaidia katika maisha yangu.
Hiyo temeke secondary ni shule ya vijana wa kihuni na vilaza, hivyo basi ulikuwa unawaongoza vilaza.
 
Back
Top Bottom