Nilipotumia Mbinu ya wachina kufaulu mitihani

Nilipotumia Mbinu ya wachina kufaulu mitihani

mi nilikuwa mtundu na daftali sishiki na nina kuwa wa 30 kati ya wanafunzi 600 kutwa kwenye mabanda ya video hivyo walimu walikuwa wananishangaa, nili amini kufaulu ni kubahatisha tu wala sio kujua, la saba nika faulia temeke.Sekondari ni kawa ujuaji mwingi motion, american slang kama zote, shuleni sikuwaga naenda na madaftari hivyo walinishangaa watu sana, kujisomea labda siku za mtihani na ni nusu saa tu ,lakini matokeo ya kitoka ni wa 2 kati ya wanafunzi 100 .so wanafunzi walishindwa kunielewa nasomaje mbona hawajawahi kuniona na daftari na nikiingia darasani ni kelele tu? taratibu wakaanza kuniita jiniaz.n.b nilikuwa nafaulu je? usiku ni kilala nilikuwa nauota mtihani ,hivyo nilikuwa nasoma sehemu muhimu tofauti nawale walokuwa wanakesha...namshukuru MUNGU kwa hii talanta maana imenisaidia katika maisha yangu.
Hiyo temeke secondary ni shule ya vijana wa kihuni na vilaza, hivyo basi ulikuwa unawaongoza vilaza.
 
primary tulianza vizuri tu mimi na wana wengine..., kimbembe kilianza tulipo fika darasa la sita si tukaanza kugeukana kila mtu anataka kuwa juu ya mwenzie😂😂
Sasa usijichanganye ukaomba majibu kwenye mtihani yaani mtu alikuwa anakudanganya ili ufeli yeye awe juu yako...
 
primary tulianza vizuri tu mimi na wana wengine..., kimbembe kilianza tulipo fika darasa la sita si tukaanza kugeukana kila mtu anataka kuwa juu ya mwenzie😂😂
Sasa usijichanganye ukaomba majibu kwenye mtihani yaani mtu alikuwa anakudanganya ili ufeli yeye awe juu yako...
Hahahahaah vijana mkaanza kutaka mademu kwa kigezo cha shule ndo tatizo,
Hope hamkufikia kufanyiana ubaya,
 
Back
Top Bottom