Nimependa zaidi hiyo kauli yako ya halafu "TULE" halafu tuendeleeMimi napenda safari za pikipiki dereva awe makini ila akimbize hadi nihisi tunapaa, tufike sehemu tupumzike. Tule halafu TULE halafu tuendelee na safari. Dear hubby najua upo humu, Natamani Hili lifanyike na nakuaminia kipande hiki
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaBonge la wazo. Tungekuwa na tabia ya kujiorganize na kufanya safari za namna hii, wallah mnaweza izunguka hii nchi na kuitalii yote. Mnajipa muda wa kutosha, mnaanzia Kilwa, Mtwara, Ruvuma mnaitafuta Mbeya na Iringa, unachapa kichochoro Mnaibukia Dodoma.
mnapanda Singida Kahama, Ushirombo...Uhayani...mnapiga Gear mnabidukia Mwanza, Mara mnaikata kimbugambuga Serengeti inaibukia Arusha, Kilimanjaro Tanga mnachanja ya Saadani mnaibukia Bagamoyo...hapo mnaBwaga Moyo
Mnafikia hospitali kutibiwa migongo
Ile barabara tayari imekamilika??Shida sie tunaamini issue kama hizo ni za wazungu tu ila kiukweli pamoja na changamoto za hapa na pale unaenjoy sana maana kama dom nilipumzika karibu masaa mawili manyoni pale wakati chombo inalekebishwa unapumzika fresh halafu unakula unapopataka vile vile niliokoa karibu laki na kidogo
Bonge la adventure. Nitakuja tafuta pikipiki na mi naenda Hadi Songea ila sio kama ww me unakua utalii.
Shida sie tunaamini issue kama hizo ni za wazungu tu ila kiukweli pamoja na changamoto za hapa na pale unaenjoy sana maana kama dom nilipumzika karibu masaa mawili manyoni pale wakati chombo inalekebishwa unapumzika fresh halafu unakula unapopataka vile vile niliokoa karibu laki na kidogo
Dah hongera mkuu ,hii kitu naiogopea magari makubwa njiani namna yanavyokupita ,unaweza jikuta mtaroni na huwa hawathamini pikipiki ,
Vp hii changamoto ulikabiliana nayo vp ,maana ujanja wangu pikipiki mwisho mjini,
Haikuzidi elfu arobain na maana full tank dar nilifika dom fresh kabisa nikajaza sema nilivyofika manyoni nikaongezea kidogo kwa hofu unajua barabara ya vumbi kawaida mafuta huwa yanatumika mengi kidogo ila nilifika na mafuta mengi kabisa karibu nusu tankUlitumia wese kiasi gani
OG Boxer zile za zamani ni gia nne tu hizi ni gia tano bahati mbaya sina picha ila ndio nyingi kwa sasa na zinatangazwa sanaHongera ulijitoa muhanga ....ka boxer kakiwa kapya ni kazuri sana ila hizi za sa hivi siziaminigi ...na hizo za mo ndo zipi embu weka picha
Achana nae hawa ndio wale huwa wanajiona wao bora kwenye kila kitu.
tena hapo kachukua muda mwingi.sana mkuuBoxer umetoka Dar saa 10 Alfajili ukaingia Dodoma Saa 5. Mkuu ebu tuache basi ndugu yangu. Ulikuwa unatembea mwendo wa kilometa ngapi kwa saa? Boxer kumbuka ni pikipiki fupi sana. Ungekuwa na unaendesha XL 250 na kuendelea zile honda ningekuelewa ama ENDURO YAMAHA. Kuna mtu katoa angalizo kuwa hakuna mtu wa kusoma kakosea angesema hakuna mtu wa kukuelewa.Scania ama hizi Youtong zinakoma na Dar Tabora. Ebu njoo ufafanue vyema . Mimi napinga kbs.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu naendesha boxer mwaka wa tano huu amini ukiitunza boxer utaish nayo maisha marefu sana ila ata kama ikiwa ya mwaka gani usipo itunza mzee nayo itakutupaOG Boxer zile za zamani ni gia nne tu hizi ni gia tano bahati mbaya sina picha ila ndio nyingi kwa sasa na zinatangazwa sana
Ukiwa nayo hiyo kitu na una uzoefu nidhamu ya barabara hayo magari makubwa yatasoma nambaDah hongera mkuu ,hii kitu naiogopea magari makubwa njiani namna yanavyokupita ,unaweza jikuta mtaroni na huwa hawathamini pikipiki ,
Vp hii changamoto ulikabiliana nayo vp ,maana ujanja wangu pikipiki mwisho mjini,
Bonge la wazo. Tungekuwa na tabia ya kujiorganize na kufanya safari za namna hii, wallah mnaweza izunguka hii nchi na kuitalii yote. Mnajipa muda wa kutosha, mnaanzia Kilwa, Mtwara, Ruvuma mnaitafuta Mbeya na Iringa, unachapa kichochoro Mnaibukia Dodoma.
mnapanda Singida Kahama, Ushirombo...Uhayani...mnapiga Gear mnabidukia Mwanza, Mara mnaikata kimbugambuga Serengeti inaibukia Arusha, Kilimanjaro Tanga mnachanja ya Saadani mnaibukia Bagamoyo...hapo mnaBwaga Moyo
Mnafikia hospitali kutibiwa migongo