Bonge la wazo. Tungekuwa na tabia ya kujiorganize na kufanya safari za namna hii, wallah mnaweza izunguka hii nchi na kuitalii yote. Mnajipa muda wa kutosha, mnaanzia Kilwa, Mtwara, Ruvuma mnaitafuta Mbeya na Iringa, unachapa kichochoro Mnaibukia Dodoma.
mnapanda Singida Kahama, Ushirombo...Uhayani...mnapiga Gear mnabidukia Mwanza, Mara mnaikata kimbugambuga Serengeti inaibukia Arusha, Kilimanjaro Tanga mnachanja ya Saadani mnaibukia Bagamoyo...hapo mnaBwaga Moyo
Mnafikia hospitali kutibiwa migongo