Nilisafiri na shemeji, kilichotokea naomba Mungu kaka asijue

Nilisafiri na shemeji, kilichotokea naomba Mungu kaka asijue

wew hukuudwa kwa material ya kiume kweli unalala hujui umevuliwa vipi hebu kagua tigo wenda hata umebebeshwa sembe wew
 
mm nasubiri mrudi tu, talaka tatu zitamfuata na ww undugu ufe
 
Kwa kukuangalia wewe na shemegi yako huyo mapepe ni kuwa huwa mnataniana mda mwingi kaka yako anapokuwa hayupo. Na huyo shegemi yako alishakuona kuwa una mtamani ndio maana aliopovua nguo na kwenda kuoga hukuona aibu yoyote bali ulikenua mimeno yako. Nashikwa na hasira ninapoona posti kama hizi maana najiona kama mke wangu ndiye aliye liwa. Kumbuka hiyo dhambi itakutesa maisha yako yote hadi utakapoiungama kwa kaka yako. Yasome maandishi ya The Boss ndio utajua hatma yako kama sio kukatwa mapanga au kuliwa tigo na wahuni
 
Last edited by a moderator:
Wala sikulaumu "mwanaume ni shujaa kwenye uwanja wa vita na si kwenye mapenzi".
 
***** mnaleta mastory yenu ya ujinga humu hadi mnakera.mbavu kabisa
 
Kwa kukuangalia wewe na shemegi yako huyo mapepe ni kuwa huwa mnataniana mda mwingi kaka yako anapokuwa hayupo. Na huyo shegemi yako alishakuona kuwa una mtamani ndio maana aliopovua nguo na kwenda kuoga hukuona aibu yoyote bali ulikenua mimeno yako. Nashikwa na hasira ninapoona posti kama hizi maana najiona kama mke wangu ndiye aliye liwa. Kumbuka hiyo dhambi itakutesa maisha yako yote hadi utakapoiungama kwa kaka yako. Yasome maandishi ya The Boss ndio utajua hatma yako kama sio kukatwa mapanga au kuliwa tigo na wahuni

Kweli hiyo dhambi inanichanganya ndio maana nimetoboa siri humu
 
Back
Top Bottom