Nilisafiri na shemeji, kilichotokea naomba Mungu kaka asijue

Nilisafiri na shemeji, kilichotokea naomba Mungu kaka asijue

Pedra buyer

Wewe ni mmoja wa wapuuzi...! Malipo ni hapa hapa duniani lazima mkeo nae afanyiwe zaidi ya hiki ...subiri ..na dhambi hii itakutafuna kama ni kweli!

Cha kushangaza unaweza kukuta kaka yako ana kupa kila kitu lakini wewe unamfanyia hiki....!
 
Last edited by a moderator:
nimefanya kama ombi limfikie kimiujiza

sikujua,nilichekelea Tu pipa.laiti ningejua

sawa mkuu,najutia sana ila hakuna namna ndo limeshatokea.

hujawai kutana na ya dunia wewe unaropoka Lisa mdomo Mali yako.

kweli hiyo dhambi inanichanganya ndio maana nimetoboa siri humu

ajali kazini

umeniponza

sidhani kama itafichuka

nimeomba samahani ananisamehe japo kosa so langu
an insane!
Hakika najuta kupoteza muda wangu kusikitika sababu ya hii kahawa!
Hii naomba umpe mjukuu wa Lemutuz .. BADILI TABIA..hii ni ya mchai chai...najuta kukomenti...n
 
Last edited by a moderator:
Sasa sijui bro wako akikudaka unampigia mkewe atakutatua marinda ya 0713 au atakusamehe?
 
Duh! Hii hatari sana. Mkuu karma is a bitch. Time will tell
 
Ishu sio kaka yako kujua
Ishu ni shemeji atarudi tena na tena

Some women wana prefer mtu kama wewe ambae nae anaogopa mumewe asijue
na wa karibu akikutaka anakupata mda wowote
kazi kwako

This is the truth!.
 
Ni shemeji yangu mke wa kaka yangur, sijui lengo lake nini kwangu tunaheshimiana vya kutosha sina utani nae hata kidogo. Ni mfanyabiashara mara nyingi husafiri kwenda kuchukua mzingo akiwa mwenyewe mara chache na mme wake, kilinishangaza siku shemeji kanipigia simu kwamba "nijiandae nimekata tiketi mbili mimi na wewe keshokutwa naenda na wewe" kwangu ikawa kama saprise flan hivi kwani sikuwai fika huko anakoenda.

Siku ikafika safari ikaanza tulifika salama.akachukua usafiri had I hotel ndipo vituko vikaanza, akachukua room moja badala mbili nikamwambia vipi si ungechukua viwili akaniambia wasiwasi wako nini? Basi nikawa mpole nikajua labda anarafiki zake huko ataenda lala mimi ataniacha hapa kumbe! Ndo kwanza kuingia kajibwaga kitandani nikiwa nashangaa shangaa kavua nguo kajifunga kanga kaingia bafuni mbele yangu.

Nikabaki natoa macho nikawa kama nimepata ganzi flani ya kunitoa ufahamu, nilivyomaliza kuoga ikabidi ni muulize kulikoni mbona sielewi? Anacheka we si shemeji yangu unaogopa mini?" Kanijibu"basi na mimi nikaona isiwe kesi namauchovu yangu nikalala nimekuja kushtuka tupo kama tulivyozaliwa, shuka moja kitanda kimoja nikaonja utamu wa shemeji. Kaka nisamehe na naomba usijue japo nimetoboa siri mwenyewe, shemeji umeniponza.

Kweeli shule imefugwaaa!
 
Sijui nikuambie hongera au pole,any way shemeji yetu ana shanga lakini au kiuno cheupe kama chako?
Mkuu, kaka yako atakusamehe vipi ikiwa hajui kama umemkosea? Kama kweli unataka usamehewe fanya hivi,nenda kwa bro wako kisha umweleze kuwa umemgegeda mkewe hivyo akusamehe. Akikusamehe ukome kumtafunia mkewe ila akikataa halafu akakuacha hai basi endeleeni kupeana raha za dunia coz you never know pengine hata yeye kakugongea sana tu.
 
mm nasubiri mrudi tu, talaka tatu zitamfuata na ww undugu ufe

😂😂😂😂😂😂 dogo sio kila mpira wa kona lazima aunganishe. Mke wa mtu sumu hata hiwe mtu mwenyewe hawe kakaako
 
Jinga kabisa,yani 'unamtohomba' shemeji yako alafu unakuja kutangaza?anyway,ebu nipe namba ya shemeji yako ili nimkanye asirudie!!!
 
Ni shemeji yangu mke wa kaka yangur, sijui lengo lake nini kwangu tunaheshimiana vya kutosha sina utani nae hata kidogo. Ni mfanyabiashara mara nyingi husafiri kwenda kuchukua mzingo akiwa mwenyewe mara chache na mme wake, kilinishangaza siku shemeji kanipigia simu kwamba "nijiandae nimekata tiketi mbili mimi na wewe keshokutwa naenda na wewe" kwangu ikawa kama saprise flan hivi kwani sikuwai fika huko anakoenda.

Siku ikafika safari ikaanza tulifika salama.akachukua usafiri had I hotel ndipo vituko vikaanza, akachukua room moja badala mbili nikamwambia vipi si ungechukua viwili akaniambia wasiwasi wako nini? Basi nikawa mpole nikajua labda anarafiki zake huko ataenda lala mimi ataniacha hapa kumbe! Ndo kwanza kuingia kajibwaga kitandani nikiwa nashangaa shangaa kavua nguo kajifunga kanga kaingia bafuni mbele yangu.

Nikabaki natoa macho nikawa kama nimepata ganzi flani ya kunitoa ufahamu, nilivyomaliza kuoga ikabidi ni muulize kulikoni mbona sielewi? Anacheka we si shemeji yangu unaogopa mini?" Kanijibu"basi na mimi nikaona isiwe kesi namauchovu yangu nikalala nimekuja kushtuka tupo kama tulivyozaliwa, shuka moja kitanda kimoja nikaonja utamu wa shemeji. Kaka nisamehe na naomba usijue japo nimetoboa siri mwenyewe, shemeji umeniponza.

Huo ni uongo
 
Mmmh kama unataka ile siri umeweka hapa ili???
 
Back
Top Bottom