Nilisafiri na shemeji, kilichotokea naomba Mungu kaka asijue

Nilisafiri na shemeji, kilichotokea naomba Mungu kaka asijue

Ni shemeji yangu mke wa kaka yangur, sijui lengo lake nini kwangu tunaheshimiana vya kutosha sina utani nae hata kidogo. Ni mfanyabiashara mara nyingi husafiri kwenda kuchukua mzingo akiwa mwenyewe mara chache na mme wake, kilinishangaza siku shemeji kanipigia simu kwamba "nijiandae nimekata tiketi mbili mimi na wewe keshokutwa naenda na wewe" kwangu ikawa kama saprise flan hivi kwani sikuwai fika huko anakoenda.

Siku ikafika safari ikaanza tulifika salama.akachukua usafiri had I hotel ndipo vituko vikaanza, akachukua room moja badala mbili nikamwambia vipi si ungechukua viwili akaniambia wasiwasi wako nini? Basi nikawa mpole nikajua labda anarafiki zake huko ataenda lala mimi ataniacha hapa kumbe! Ndo kwanza kuingia kajibwaga kitandani nikiwa nashangaa shangaa kavua nguo kajifunga kanga kaingia bafuni mbele yangu.

Nikabaki natoa macho nikawa kama nimepata ganzi flani ya kunitoa ufahamu, nilivyomaliza kuoga ikabidi ni muulize kulikoni mbona sielewi? Anacheka we si shemeji yangu unaogopa mini?" Kanijibu"basi na mimi nikaona isiwe kesi namauchovu yangu nikalala nimekuja kushtuka tupo kama tulivyozaliwa, shuka moja kitanda kimoja nikaonja utamu wa shemeji. Kaka nisamehe na naomba usijue japo nimetoboa siri mwenyewe, shemeji umeniponza.

Mpaka achukue chumba kimoja bado hukuelewa,labda kama hukua na nauli ama hela ya kuchukua chumba kingine, lakini pia hata rafiki angekukopesha aaaaghhh uliamua kula Mali ya kaka
 
Kumbe ndio ilikuwa mipango yenu eeeh pumbavuuuuu na msirudi nyumbani nawakata vichwa wote wawili ndoroooooobo nyie...
 
aisee wanawake wengine wanayaweza. kweli dunia imekwisha. unawezaje kumzoea shemeji yako mpaka unamtamani ? khaa kweli delila wew
 
Ulijua kabisa kitakachokuja kutokea, ila ukaacha tu, ukijidanganya utaweza kuzuia. Kichwa cha chini hatari sana
 
Bora ulivyogonga mkuu coz ungekataa angekuja kusema kwa bro ulimtongoza !!!
 
Back
Top Bottom