Hii ni Kahawa au chai????
Ngoja niwaambie kitu, wanawake wengi wamekuwa rahisi kwasababu % kubwa wameathirikaajali kazini
nimefanya kama ombi limfikie kimiujiza
sikujua,nilichekelea Tu pipa.laiti ningejua
sawa mkuu,najutia sana ila hakuna namna ndo limeshatokea.
hujawai kutana na ya dunia wewe unaropoka Lisa mdomo Mali yako.
kweli hiyo dhambi inanichanganya ndio maana nimetoboa siri humu
ajali kazini
umeniponza
sidhani kama itafichuka
an insane!nimeomba samahani ananisamehe japo kosa so langu
ha ha haha ulipenda kupaaa we jinga kweli unadhani kakupeleka mkashangaane.... jiandae kupanda pipa tena yeuwii
Ishu sio kaka yako kujua
Ishu ni shemeji atarudi tena na tena
Some women wana prefer mtu kama wewe ambae nae anaogopa mumewe asijue
na wa karibu akikutaka anakupata mda wowote
kazi kwako
Ni shemeji yangu mke wa kaka yangur, sijui lengo lake nini kwangu tunaheshimiana vya kutosha sina utani nae hata kidogo. Ni mfanyabiashara mara nyingi husafiri kwenda kuchukua mzingo akiwa mwenyewe mara chache na mme wake, kilinishangaza siku shemeji kanipigia simu kwamba "nijiandae nimekata tiketi mbili mimi na wewe keshokutwa naenda na wewe" kwangu ikawa kama saprise flan hivi kwani sikuwai fika huko anakoenda.
Siku ikafika safari ikaanza tulifika salama.akachukua usafiri had I hotel ndipo vituko vikaanza, akachukua room moja badala mbili nikamwambia vipi si ungechukua viwili akaniambia wasiwasi wako nini? Basi nikawa mpole nikajua labda anarafiki zake huko ataenda lala mimi ataniacha hapa kumbe! Ndo kwanza kuingia kajibwaga kitandani nikiwa nashangaa shangaa kavua nguo kajifunga kanga kaingia bafuni mbele yangu.
Nikabaki natoa macho nikawa kama nimepata ganzi flani ya kunitoa ufahamu, nilivyomaliza kuoga ikabidi ni muulize kulikoni mbona sielewi? Anacheka we si shemeji yangu unaogopa mini?" Kanijibu"basi na mimi nikaona isiwe kesi namauchovu yangu nikalala nimekuja kushtuka tupo kama tulivyozaliwa, shuka moja kitanda kimoja nikaonja utamu wa shemeji. Kaka nisamehe na naomba usijue japo nimetoboa siri mwenyewe, shemeji umeniponza.
Kwa hiyo ndugu mwandishi unataka si tukusaidiaje ??
Kwa hiyo ndugu mwandishi unataka si tukusaidiaje ??
mm nasubiri mrudi tu, talaka tatu zitamfuata na ww undugu ufe
Kwa hiyo ndugu mwandishi unataka si tukusaidiaje ??
Ni shemeji yangu mke wa kaka yangur, sijui lengo lake nini kwangu tunaheshimiana vya kutosha sina utani nae hata kidogo. Ni mfanyabiashara mara nyingi husafiri kwenda kuchukua mzingo akiwa mwenyewe mara chache na mme wake, kilinishangaza siku shemeji kanipigia simu kwamba "nijiandae nimekata tiketi mbili mimi na wewe keshokutwa naenda na wewe" kwangu ikawa kama saprise flan hivi kwani sikuwai fika huko anakoenda.
Siku ikafika safari ikaanza tulifika salama.akachukua usafiri had I hotel ndipo vituko vikaanza, akachukua room moja badala mbili nikamwambia vipi si ungechukua viwili akaniambia wasiwasi wako nini? Basi nikawa mpole nikajua labda anarafiki zake huko ataenda lala mimi ataniacha hapa kumbe! Ndo kwanza kuingia kajibwaga kitandani nikiwa nashangaa shangaa kavua nguo kajifunga kanga kaingia bafuni mbele yangu.
Nikabaki natoa macho nikawa kama nimepata ganzi flani ya kunitoa ufahamu, nilivyomaliza kuoga ikabidi ni muulize kulikoni mbona sielewi? Anacheka we si shemeji yangu unaogopa mini?" Kanijibu"basi na mimi nikaona isiwe kesi namauchovu yangu nikalala nimekuja kushtuka tupo kama tulivyozaliwa, shuka moja kitanda kimoja nikaonja utamu wa shemeji. Kaka nisamehe na naomba usijue japo nimetoboa siri mwenyewe, shemeji umeniponza.