Nilisafiri na shemeji, kilichotokea naomba Mungu kaka asijue


Umeandika story kama vile umebakwa wakati ulikuwa una nia madhubuti ya kula mzigo. Sisi siyo watoto wadogo bwana.
 
Mpaka achukue chumba kimoja bado hukuelewa,labda kama hukua na nauli ama hela ya kuchukua chumba kingine, lakini pia hata rafiki angekukopesha aaaaghhh uliamua kula Mali ya kaka
Mkuu ni nje ya nchi,ujanja wote uliisha sikuwa na lakufanya.
 
Unakaa kwa kaka yako na inawezekana chakula na hadi boxer anakununulia yeye,then leo unalala na mke wake,kwakweli umefanya vibaya sana,kwakweli ndoa zimeisha ladha....
 
nmeshindwa elewa unafurahia au unajutia..?????? kwani ulibakwa...:hand:
 
Hahaha kizuri kula na nduguyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…