Nilisema humu kabla feitoto hakuitwa stars ili acheze Bali kukutanishwa na Yanga. Fact 10 hizi hapa

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Kwa uzito.
1. Tayari kocha mkuu wa stars na Msaidizi Moroko wamekiri kumshauri arudi Yanga ili acheze stars.

2. Alipofika tu airport akapigwa picha akiwa na wachezaji wa Yanga.
3. Tff iliwaacha Kapombe na mohamedi huseni. Ili feitoto aone kuwa mchezaji mkubwa Basi ucheze Yanga.
4. Kwa uhalisia huo feitoto hakuitwa na kocha Bali Tff wanatumiwa na Yanga.
5. Je wakushauriwa kulinda kiwango Cha fei kwa baadae je kwanini kocha amshauri tu kurudi Yanga badala ya kumsikiliza na kushauri Tff na Yanga Kama Kuna njia mbadala ya kufanya ili feitoto acheze lkn bila kulazimisha arudi Yanga.

6. Tff walitaka na nabi awe sehemu ya benchi la ufundi stars ili aongee na fei live baada ya simu zake kugonga mwamba.

7. Kwaiyo Taifa stars hii likuwa ya kumrudisha tu fei Yanga.

8 Yanga inataka imuuze fei kwa Bei ya kumnunulia Aziz ki.
 
Acha kutumika hovyo unataka wote waonekane mbulula kama wewe, yule alishauriwa sahihi kwani ndiyo maamuzi yaliyotolewa naTFF baada ya kujiridhisha kuhusu mkataba wake na waajiri wake, we mama acha kutumika vibaya .
 
we unatakaje kwani
 
Kwa hiyo ulikuwa unasemaje? Au unahitaji msaada gani kupitia haya maelezo yako?
 
Kwa hiyo ulitaka Kocha Morroco amwambie Feisal akacheze Singida Big Stars? Mmemdanganya Sasa mnatafuta wa kumshushia lawama?
 

Uwezo mdogo wa kufikiri
 
Uliposema facts 10 hizi hapa nikafungua kwa haraka, nilichokutana nacho sasa...
 
Yanga tunamtaka Sopu huyo dogo akae Zenji kwao!
 
@ William Mshumbusi - Unajua kuwa Yanga hahimuhitaji Fei toto - ila inataka tu taratibu zifuatwe. Fei toto ndio ameathirika kwa hayo anayoyafanya. Si umeona kiwango alichoonyesha akiwa Taifa Stars??? Si umeona afya yake ilivyo sasa hivi? Unajua unaweza kuwa maarufu na kuonekana mchezaji mzuri kwa sababu ya wale watu unaocheza nao; ila sio kwa wewe binafsi. Hata huo umaarufu - na kukuwa kwa mpira wake - umetokana na yeye kuwa Yanga. Hivyo afuate taratibu - aondoke. Ni sawasawa na wewe - kama umeajiriwa - ukitaka kuacha kazi; si kuna taratibu za ki-mkataba? Hakuna mchezaji atakae cheza Yanga Milele - hao wote unaowaona sasa - lazima utafika muda wataondoka (iwe kwa wao kuiacha klabu au wao kuachwa na klabu) na wengine watakuja. Ndio maisha yako hivyo. Si umeona Yanga imetinga group stage na mpaka sasa Robo Fainali ya Kombe la Shrikisho bila ya yeye Fei Toto???
 
Tff walitaka na nabi awe sehemu ya benchi la ufundi stars

Ngoja nikazie swaum mie
 
Mleta mada upo sahihi maana tangu Fei aondoke YANGA ina hali mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…