Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataelewa tu mdogo mdogo, refa kaokoa jahazi Leo, walidhani yanga alifunga magoli kule mikoani kwa kubahatisha, walifunga kutokana na ubora wao kule sio rahisi kama timu yako ni ungaunga mwana ndio ivyo utasubilia refa afanye yake kama Leo🤣🤣Nadhani leo nimeeleweka baada ya mechi ya Dodoma v Simba. Walau tutaanza kuchagua maneno na kuchunga ndimi. Tuendelee kujenga timu
Ni kweliWataelewa tu mdogo mdogo, refa kaokoa jahazi Leo, walidhani yanga alifunga magoli kule mikoani kwa kubahatisha, walifunga kutokana na ubora wao kule sio rahisi kama timu yako ni ungaunga mwana ndio ivyo utasubilia refa afanye yake kama Leo🤣🤣
MmmmmmhMtaelewa Tu,hizi kwikwi msimu huu zitakua nyingi sana
Simba zote unazozifajamu wewe ..hazijawahi kushinda zaidi ya goli moja JamhuriNadhani leo nimeeleweka baada ya mechi ya Dodoma v Simba. Walau tutaanza kuchagua maneno na kuchunga ndimi. Tuendelee kujenga timu
HayaSimba zote unazozifajamu wewe ..hazijawahi kushinda zaidi ya goli moja Jamhuri
Sis Simba Refa ametubeba kwenye mechi ya pili mfululizo mwenendo tunao kwenda nao si salama.Mimi ni Yanga ila simba amecheza ugenini kapinga soka safii ila sis tumecheza home tumepiga pira papatu papatu
Tumekusoma Mzee Magoma tutashughulikia na tunakuahidi halitajirudia tena.Mimi simba damu ila ile penati tumebebwa dhahiri
Mmenisoma wewe na nani?Tumekusoma Mzee Magoma tutashughulikia na tunakuahidi halitajirudia tena.
Na p didiMmenisoma wewe na nani?
Mlikua pamoja mnacheki movie eeh, basi sawa akimaliza kukupididi...Na p didi