Nilisema, ubora wa hizi timu upimwe baada ya kucheza ugenini

Nadhani leo nimeeleweka baada ya mechi ya Dodoma v Simba. Walau tutaanza kuchagua maneno na kuchunga ndimi. Tuendelee kujenga timu
Mechi ya Azam vs Simba usisahau kuwa mnyama alikuwa ugenini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…