Uchaguzi 2020 Nilishawaambia muengueni Tundu Lissu, hamkusikia. Oneni!

Huna pointi kaa chini labda udeki ndio saizi yako acha wanaume waongee ukweli
 
Kwa hiyo Zanzibar ni Kata au Tarafa? Lissu amekosea kusema Zanzibar ni Nchi?
 
Kwa matumaini fake kama haya kwanini usikose raha, mkuu lisu ni fungu LA kukosa, ...... Utapata kunyongo bure, raha jipe mwenyewe..... Kwanini ujitese hivi.
 
We kiazi sana yaani unalazimisha imani uliyorithishwa ndiyo uwe ukweli.

Tuambie Tanzania ilitokana na muungano wa nchi mbili ni ipi na ipi?
Achana nae zezetaa huyooo
 
Waambie wenda wazimu haooo
 
Mtu anasema asipotangazwa mshindi safari anakinukisha.

Nashangaa hata Magufuli wanayesema ana roho mbaya anamuacha anaongea pumba, ningekuwa mimi saa hizi angekuwa jela kwa matamshi ya kichochezi.
Aman haij.... Iben mwaka huu muone
 
Mtu anasema asipotangazwa mshindi safari anakinukisha.

Nashangaa hata Magufuli wanayesema ana roho mbaya anamuacha anaongea pumba, ningekuwa mimi saa hizi angekuwa jela kwa matamshi ya kichochezi.
Magufuli mwenyewe pia ni mchochezi kwa kuligawa taifa. Naye anapaswa aende jela.
 
hivi unaelewa maana ya matamshi ya uchochezi au unaimba tu!!!!

mfano wewe ukiamua useme "jamani eeeh,mimi nisipolipwa mshahara mwezi huu namuua boss, si jukumu la boss kuhakikisha anakulipa mshahara usimuue, ila ni jukumu lako kieleza kwanini unataka kutoa adhabu ya kifo(kosa la jinai)kwa boss kwa kosa la kutokukulipa mshahara.
 
kama una muda kwanini usiandae charge uipekeleke mahakamani??
Tuliza makalio, charge iko mbioni kuandaliwa. Saivi naendelea tu kumchora jinsi anavozidi kuropoka maneno ya maudhi kwa taifa.
 
Sawa kabisa mkuu
 
Tuliza makalio, charge iko mbioni kuandaliwa. Saivi naendelea tu kumchora jinsi anavozidi kuropoka maneno ya maudhi kwa taifa.
haya mimi yangu nayatuliza, wewe endelea kuyatembeza yako, ila hakikisha........
 
Mwaka huu kuna watu wanapata shida sana, kuna wanao tamani kusingekuwa na uchaguzi, na kuna wanao tamani uchaguzi uishe hata leo hii ili waweze kupumua vizuri.
Yaani si kwa kubanwa huku, adi wanashindwa pakutokea matokeo yake wanakuja na kauli ambazo hata wao wenyewe mioyo inawasuta.

Kwa kuwa nafsi zina wasuta wanakataa hata kuulizwa maswali juu kauli na vitendo vyao.
 
Je hatuwezi kuandaa mpango wa kuifanya Zanzibar kuwa sehemu ya Mkoa wa nchi hii. Kiukweli mimi sio muumini wa kuiondoa Zanzibar, tena nilikuwa naiwazia Burundi na Rwanda(utaona naota)
Hayo ni mawazo mgando. Kizazi hiki watu wanahitaji uhuru wa kujiamlia mambo
 
Ha ha ha.. hao watoto siyo wapiga kura, sijui kwa nn maccm wanawatesa kwa kuwarundika mikutanoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…