Nilishawahi kusema, Yanga SC hamjawahi kujaribiwa

Nilishawahi kusema, Yanga SC hamjawahi kujaribiwa

Mbumbumbu fc katika ubora wake! Anavyo iongelea Yanga, basi unaweza kufikiri labda hiyo timu yake ni bora sana!

Kumbe hata mwezi tu haujapita tangu wapoteze kwa hao Al Hilal, ambao kwa aliyeangalia mpira wa jana, atakubali ya kwamba Yanga siyo timu ya kitoto.
Sasa si mngeshinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hutetemi temi tu kama mgonjwa wa akili. Ni nidhamu sana, mbinu na uzoefu. Inawapasa kuendelea kuiheshimu Simba Sc daima kwenye hizi anga za kimataifa.
 
Wewe si ulidai kuwa haukuuangalia mpira kukuwa siku nzima ulikuwa safarini, sasa hizo evaluation mmezitoa wapi?[emoji16]
Kwa hiyo hata marudio siruhusiwi kuangalia, kwa sababu nilikuwa safarini! Basi sawa.
 
Hiyo ilikuwa CAF confederation ndiko mnastahil wajinga nyie

Champions League Acha waende wenye akili kenge nyie

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mbona kama umepaniki! Unatoka povu kwa Yanga kutoa sare, huku timu yako ikiwa haijulikani itapata matokeo gani huko Angola!
 
Hutetemi temi tu kama mgonjwa wa akili. Ni nidhamu sana, mbinu na uzoefu. Inawapasa kuendelea kuiheshimu Simba Sc daima kwenye hizi anga za kimataifa.
Kwa sababu mlimfunga Nyasa Big Bullets kwenye hatua ya awali siyo! Mbona kama ni hivyo hata Yanga nayo ilimfunga Zalan goli nyingi tu! Au bado mnaishi katika ndoto na historia!

Mpira unahitaji uwekezaji! Na kwa bahati mbaya msimu huu hamjafanya uwekezani wowote ule wa kueleweka! Hivyo binafsi sitegemei maajabu yoyote yale kutoka kwenye timu yako.

Na ni suala tu la muda mtaanza tena zile kelele zenu za kuwakataa makocha, wachezaji, CEO, na mwekezaji wenu! Na hapo sasa ndiyo yale maneno ya Rage ya "mashabiki wa simba ni mbumbumbu" yatakapo pata nguvu.
 
Ujue hii michezo sometimes unaweza kujikita kusheherekea shughuli ya mwingine baada ya kufanya vibaya wakati mechi yako ya kesho hujui outcome yake ikoje mwisho wake unakuwa sio mzuri...
Huwa nikisema Simba JF ina mashabiki 2 tu na wengine ni Washangiliaji watu wananizodoa. Ninapokusifu kwa kuujua Mpira huwa sibahatishi Mkuu, you deserve it.
 
Kwa sababu mlimfunga Nyasa Big Bullets kwenye hatua ya awali siyo! Mbona kama ni hivyo hata Yanga nayo ilimfunga Zalan goli nyingi tu! Au bado mnaishi katika ndoto na historia...
Zalan hata angecheza na chama langu pendwa Abajalo angekalishwa nyingi tu. Ni aibu kujisifia kuwafunga wale mbugilambugila
 
Yanga mje tuition masaa machache yajayo
Wabishi FC tunawakilisha nchi .
 
Wakati Simba wanaenda kujiandaa kwa michezo ya kimataifa huko Misri.. utopolo walienda Morogoro. Walidhani wanashiriki ndondo cup... kutegemea bahasha. Utopolo bado sana
 
Achana na wachambuzi uchwara, kwani 2018 ulikua hujazaliwa? Yanga anacheza na Rayon, Gol mahia, Usm Algeria kwenye kundi Moja bado ulikua huja anza kufuatilia mpira?
Eniwei inaonekana kuna lugha gongana.

Utopolo 2018 alifika hatua ya makundi caf confederation cup na kumaliza wa mwisho kwenye kundi lake.

Caf champions league vipi babu?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]utopwinyo tabu kweli kweli.

27 years since last time at CAFCL
 
Wakati Simba wanaenda kujiandaa kwa michezo ya kimataifa huko Misri.. utopolo walienda Morogoro. Walidhani wanashiriki ndondo cup... kutegemea bahasha. Utopolo bado sana

Lakini wenyewe wanaamini kuwa wataenda kupindua meza huko Sudani. Mpira wa Africa haupo hivyo wanavyodhan. Wakubali kuwa imeisha
 
Nguvu moja
JamiiForums1657586212.jpg
 
Mbona kama umepaniki! Unatoka povu kwa Yanga kutoa sare, huku timu yako ikiwa haijulikani itapata matokeo gani huko Angola!
Simba hata tukifungwa Leo tumeshazoea uwanja WA Taifa hawatachomoka kule tunaenda kutafuta Sare au tufungwe Ila tupate goal la ugenini

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Simba hata tukifungwa Leo tumeshazoea uwanja WA Taifa hawatachomoka kule tunaenda kutafuta Sare au tufungwe Ila tupate goal la ugenini

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mbona wale Galaxy kutoka Botswana, na wale UD Songo wa Msumbiji, walikuja kuwatolea hapo hapo uwanja wa Taifa! Siku zote kinacho waponza ni maneno yenu mengi nje ya uwanja!
 
Mbona wale Galaxy kutoka Botswana, na wale UD Songo wa Msumbiji, walikuja kuwatolea hapo hapo uwanja wa Taifa! Siku zote kinacho waponza ni maneno yenu mengi nje ya uwanja!

Hiyo Mbona ndiyo haitakiwi
 
Back
Top Bottom