Nilishindwa kumuoa sababu ya mahari waliyohitaji wazazi wake

Nilishindwa kumuoa sababu ya mahari waliyohitaji wazazi wake

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Ni binti mzuri wa kikinga, mwenye elimu yake Chuo diploma certificate, mzuri wa umbo, amekulia katika malezi mazuri ya wazazi wote wawili

Lakini mahari waliohitaji ilikua ni 3M, mimi mwenye maisha si mabaya sana lakini uwezo wa kufata protocol walizozitaka
Sendoff, mahari, ndoa ya kanisani,, Harusi kubwa hivi vilinikimbiza.

👉Hata hivyo sijawahi kufikiria kuchangisha watu ili nifanye sherehe na Sina huo mpango

👉Mwisho, Binti aliniambia nitafute pesa nikizipata nirudi kwao lakini maamuzi niliyoamua nitaishi na mwingine nitakaekutana nae mbele ya safari ya utafutaji wangu
 
Ni binti mzuri wa kikinga, mwenye elimu yake Chuo diploma certificate, mzuri wa umbo, amekulia katika malezi mazuri ya wazazi wote wawili

Lakini mahari waliohitaji ilikua ni 3M, mimi mwenye maisha si mabaya sana lakini uwezo wa kufata protocol walizozitaka
Sendoff, mahari, ndoa ya kanisani,, Harusi kubwa hivi vilinikimbiza.

👉Hata hivyo sijawahi kufikiria kuchangisha watu ili nifanye sherehe na Sina huo mpango

👉Mwisho, Binti aliniambia nitafute pesa nikizipata nirudi kwao lakini maamuzi niliyoamua nitaishi na mwingine nitakaekutana nae mbele ya safari ya utafutaji wangu
Waachie wakamtangaze sokoni Sinza,Tabata,na kwingineko liliko soko zuri la kuweza kumnunua.
 
Sio kosa lako, wazazi wala utamaduni. Ni kosa la huyo manzi. Wanawake wanatishia kujiua kisa mchumba kakataliwa ukweni. Wengine wanatoroka. Mwanamke akikupenda utajua
Aliniambia mimi nihamishie biashara ya dsm nimfate nikamwambia hapana siwezi! Akasema toka azaliwe hajawai ish tofauti na daslam na hawezi toka daslam mikoani atakuja kutembea tu
 
Mil3 mbususu iliyo kwisha sasambuliwa 🤣🤣🤣🤣
Hawa wazazi wa siku hizi wana matani eeh
 
Kundi la kwanza
Kuna watu wanahonga magari nyumba na pesa. Hawajali wala hawajawahi kuwaza....

Kundi la pili
Sihitaji kuwazungumzia. Mleta mada upo kwenye kundi hili
Tafuta maisha mleta mada million 3 watu wanatumia bar

Mawazo yangu tu
 
Back
Top Bottom