Nilishindwa kumuoa sababu ya mahari waliyohitaji wazazi wake

Nilishindwa kumuoa sababu ya mahari waliyohitaji wazazi wake

Kundi la kwanza
Kuna watu wanahonga magari nyumba na pesa. Hawajali wala hawajawahi kuwaza....

Kundi la pili
Sihitaji kuwazungumzia. Mleta mada upo kwenye kundi hili
Tafuta maisha mleta mada million 3 watu wanatumia bar

Mawazo yangu tu
Ni kweli sina hela kivile Ila je? Wazazi wangu walifunga ndoa ambayo haikuizidi wahudhuriaji kumi hadi kifo kiliwatenganisha


Ila hawa wanaogharamika hawadumu sana
 
Nilimwambia akasema ndoto Kila mtu anazo nayeye haja kulia kwenye maisha ya kukosa Kila alichoomba wazazi walimpa Ila sio kwamba mm nina maisha ya shida kiivo hapana
Mwanamke akikupenda na akaamini katika ndoto zako atafanya kila awezalo ili aolewe nawewe hata wazazi wataje mahari ya milioni 7.
 
Ni binti mzuri wa kikinga, mwenye elimu yake Chuo diploma certificate, mzuri wa umbo, amekulia katika malezi mazuri ya wazazi wote wawili

Lakini mahari waliohitaji ilikua ni 3M, mimi mwenye maisha si mabaya sana lakini uwezo wa kufata protocol walizozitaka
Sendoff, mahari, ndoa ya kanisani,, Harusi kubwa hivi vilinikimbiza.

👉Hata hivyo sijawahi kufikiria kuchangisha watu ili nifanye sherehe na Sina huo mpango

👉Mwisho, Binti aliniambia nitafute pesa nikizipata nirudi kwao lakini maamuzi niliyoamua nitaishi na mwingine nitakaekutana nae mbele ya safari ya utafutaji wangu
Tafuta pesa bro upunguze kulalamika.....!!
 
Ni binti mzuri wa kikinga, mwenye elimu yake Chuo diploma certificate, mzuri wa umbo, amekulia katika malezi mazuri ya wazazi wote wawili

Lakini mahari waliohitaji ilikua ni 3M, mimi mwenye maisha si mabaya sana lakini uwezo wa kufata protocol walizozitaka
Sendoff, mahari, ndoa ya kanisani,, Harusi kubwa hivi vilinikimbiza.

👉Hata hivyo sijawahi kufikiria kuchangisha watu ili nifanye sherehe na Sina huo mpango

👉Mwisho, Binti aliniambia nitafute pesa nikizipata nirudi kwao lakini maamuzi niliyoamua nitaishi na mwingine nitakaekutana nae mbele ya safari ya utafutaji wangu
Wewe washenga wako hawajui kuongea, mimi walianza na hiyo tukakomaa mpaka 800k nakuta kizobo safi ile onmuni.


Ila swali kwanini Binti hataki sex kwa muda mrefu natumia hadi saa 1 anasema anaubgua balaa. Anataka 5min
 
Kama mnapendana suala la mahari haliwezi kuwa kikwazo kamwe. Kama wewe ni mtu mzima naamini umeshaelewa
 
Kama mnapendana suala la mahari haliwezi kuwa kikwazo kamwe. Kama wewe ni mtu mzima naamini umeshaelewa
Yes mkuu nakupata hapo lakini ujue moyo wa mtu msitu mzee
 
Hata kama K haijasasambuliwa bado huwa mnalalamika.


Kataa ndoa 😂
Hamna mtu anakataa ndoa bila sababu.
Wee mil tatu mchezo kuzitoa bado sijui harusi then honeymoon mara sijui pete loh! Hapo mwanamke hachangii chochote.
Mkiingia ndani ya nyumba billz zote kidume...aloohh! Wacha niendelee na nyeto ya mlenda vuguvugu
 
Hahahah yaani
Ni binti mzuri wa kikinga, mwenye elimu yake Chuo diploma certificate, mzuri wa umbo, amekulia katika malezi mazuri ya wazazi wote wawili

Lakini mahari waliohitaji ilikua ni 3M, mimi mwenye maisha si mabaya sana lakini uwezo wa kufata protocol walizozitaka
Sendoff, mahari, ndoa ya kanisani,, Harusi kubwa hivi vilinikimbiza.

👉Hata hivyo sijawahi kufikiria kuchangisha watu ili nifanye sherehe na Sina huo mpango

👉Mwisho, Binti aliniambia nitafute pesa nikizipata nirudi kwao lakini maamuzi niliyoamua nitaishi na mwingine nitakaekutana nae mbele ya safari ya utafutaji wangu
Ntafute pesa , nkizipata badala ya kujijenga zaid ili nsirudi chini, niamue kwenda kumwoa bint nlieshindwa kumwoa sababu ya kutokua na pesa

Binafsi nasonga mbele siwezi kurudi nyuma, natafuta mtoto wa laki 5, zingine naongeza miradi
 
Million tatu ni nyingi halafu ukute siyo bikra hiyo itazidi kuwa nyingi ni kama mill 300 hivi utaiona.

Mimi niliambiwa mill 2 nikasusa wife akaitwa ndani mbona mchumba mwenyewe mkaidi akasema kwa muda tuliokaa kwenye mahusiano (miaka nane) yeye atakuja hata bure mshenga akaitwa akaulizwa nina bei gani nikasema 500K akanishauri hiyo wataona kama nimewadharau ongeza tatu iwe 800K nikalipa 400K nadaiwa 400K na mpango wa kuilipa sina wala sijawahi ulizwa mwaka wa 12 huu hao wasikunyanyase hununui kiwanja hapo.
 
Sijutii Huyu binti Nilianza kumfukuzia akiwa Chuo mwaka wa kwanza! Mimi nipo kwny mishe zangu kipind hcho akaniambia yeye bado mdogo nmuache focus kwny masomo kamaliza chuo nikaja kumfuata

Mahari ndo ikaja hivo
Haya yote unayaandika kwasababu una stress za kumkosa. Usingekuwa una stress za kumkosa usingelipoteza muda kumuongelea X wako. Na inaonesha huyo ulienae sasa hivi haumpendi kama huyo uliyemkosa!
 
Nilimwambia akasema ndoto Kila mtu anazo nayeye haja kulia kwenye maisha ya kukosa Kila alichoomba wazazi walimpa Ila sio kwamba mm nina maisha ya shida kiivo hapana
Mkuu nahisi labda mwanamke hakutaka kukupambania alikata tamaa. Mimi pia nilichumbia kwenye familia yenye unafuu mkubwa kiuchumi kuliko familia yangu. Imagine ni binti wa pekee wazazi walimsomesha kwa pesa zao hadi chuo kwa 100%. Lakini familia yake ilinipenda sana aisee. Mwenyezi Mungu atakufungulia milango mingine....
 
Back
Top Bottom