Ni kweli sina hela kivile Ila je? Wazazi wangu walifunga ndoa ambayo haikuizidi wahudhuriaji kumi hadi kifo kiliwatenganishaKundi la kwanza
Kuna watu wanahonga magari nyumba na pesa. Hawajali wala hawajawahi kuwaza....
Kundi la pili
Sihitaji kuwazungumzia. Mleta mada upo kwenye kundi hili
Tafuta maisha mleta mada million 3 watu wanatumia bar
Mawazo yangu tu
Mwanamke akikupenda na akaamini katika ndoto zako atafanya kila awezalo ili aolewe nawewe hata wazazi wataje mahari ya milioni 7.
Tafuta pesa bro upunguze kulalamika.....!!Ni binti mzuri wa kikinga, mwenye elimu yake Chuo diploma certificate, mzuri wa umbo, amekulia katika malezi mazuri ya wazazi wote wawili
Lakini mahari waliohitaji ilikua ni 3M, mimi mwenye maisha si mabaya sana lakini uwezo wa kufata protocol walizozitaka
Sendoff, mahari, ndoa ya kanisani,, Harusi kubwa hivi vilinikimbiza.
👉Hata hivyo sijawahi kufikiria kuchangisha watu ili nifanye sherehe na Sina huo mpango
👉Mwisho, Binti aliniambia nitafute pesa nikizipata nirudi kwao lakini maamuzi niliyoamua nitaishi na mwingine nitakaekutana nae mbele ya safari ya utafutaji wangu
Wewe washenga wako hawajui kuongea, mimi walianza na hiyo tukakomaa mpaka 800k nakuta kizobo safi ile onmuni.Ni binti mzuri wa kikinga, mwenye elimu yake Chuo diploma certificate, mzuri wa umbo, amekulia katika malezi mazuri ya wazazi wote wawili
Lakini mahari waliohitaji ilikua ni 3M, mimi mwenye maisha si mabaya sana lakini uwezo wa kufata protocol walizozitaka
Sendoff, mahari, ndoa ya kanisani,, Harusi kubwa hivi vilinikimbiza.
👉Hata hivyo sijawahi kufikiria kuchangisha watu ili nifanye sherehe na Sina huo mpango
👉Mwisho, Binti aliniambia nitafute pesa nikizipata nirudi kwao lakini maamuzi niliyoamua nitaishi na mwingine nitakaekutana nae mbele ya safari ya utafutaji wangu
Hata kama K haijasasambuliwa bado huwa mnalalamika.Mil3 mbususu iliyo kwisha sasambuliwa 🤣🤣🤣🤣
Hawa wazazi wa siku hizi wana matani eeh
Au amemkosa anajutia!Sema tu hukumpenda
Wewe una biashara ya milioni 40 na kazi ya serikali bado una miradi mwingine hiyo 3m ni hela?, mkuu kama una washenga wazuri inashuka ha di patamun au hutaki kutoa kabisa ebo!Ndio Mil 3??
😳😳😳😳😳
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Huenda anampenda ila anapenda zaidi pesaHuyo msichana hajakupenda ,
Over.
Sijutii Huyu binti Nilianza kumfukuzia akiwa Chuo mwaka wa kwanza! Mimi nipo kwny mishe zangu kipind hcho akaniambia yeye bado mdogo nmuache focus kwny masomo kamaliza chuo nikaja kumfuataAu amemkosa anajutia!
Yes mkuu nakupata hapo lakini ujue moyo wa mtu msitu mzeeKama mnapendana suala la mahari haliwezi kuwa kikwazo kamwe. Kama wewe ni mtu mzima naamini umeshaelewa
Hamna mtu anakataa ndoa bila sababu.Hata kama K haijasasambuliwa bado huwa mnalalamika.
Kataa ndoa 😂
Ntafute pesa , nkizipata badala ya kujijenga zaid ili nsirudi chini, niamue kwenda kumwoa bint nlieshindwa kumwoa sababu ya kutokua na pesaNi binti mzuri wa kikinga, mwenye elimu yake Chuo diploma certificate, mzuri wa umbo, amekulia katika malezi mazuri ya wazazi wote wawili
Lakini mahari waliohitaji ilikua ni 3M, mimi mwenye maisha si mabaya sana lakini uwezo wa kufata protocol walizozitaka
Sendoff, mahari, ndoa ya kanisani,, Harusi kubwa hivi vilinikimbiza.
👉Hata hivyo sijawahi kufikiria kuchangisha watu ili nifanye sherehe na Sina huo mpango
👉Mwisho, Binti aliniambia nitafute pesa nikizipata nirudi kwao lakini maamuzi niliyoamua nitaishi na mwingine nitakaekutana nae mbele ya safari ya utafutaji wangu
Mahari ni utapeli wa mwafrika. Tuachane na hizo mila za utapeli.
Sema binti ndo hakumpenda dogoSema tu hukumpenda
Haya yote unayaandika kwasababu una stress za kumkosa. Usingekuwa una stress za kumkosa usingelipoteza muda kumuongelea X wako. Na inaonesha huyo ulienae sasa hivi haumpendi kama huyo uliyemkosa!Sijutii Huyu binti Nilianza kumfukuzia akiwa Chuo mwaka wa kwanza! Mimi nipo kwny mishe zangu kipind hcho akaniambia yeye bado mdogo nmuache focus kwny masomo kamaliza chuo nikaja kumfuata
Mahari ndo ikaja hivo
Mkuu nahisi labda mwanamke hakutaka kukupambania alikata tamaa. Mimi pia nilichumbia kwenye familia yenye unafuu mkubwa kiuchumi kuliko familia yangu. Imagine ni binti wa pekee wazazi walimsomesha kwa pesa zao hadi chuo kwa 100%. Lakini familia yake ilinipenda sana aisee. Mwenyezi Mungu atakufungulia milango mingine....Nilimwambia akasema ndoto Kila mtu anazo nayeye haja kulia kwenye maisha ya kukosa Kila alichoomba wazazi walimpa Ila sio kwamba mm nina maisha ya shida kiivo hapana