Nilishtuka nilipomwona mhudumu wa mortuary akihifadhi embe kwenye jokofu lenye maiti Hospitali ya Temeke

Nilishtuka nilipomwona mhudumu wa mortuary akihifadhi embe kwenye jokofu lenye maiti Hospitali ya Temeke

Pale Mt. Meru Mimi niliona ndizi ila nafikiri jokofu halikuwa na Mteja/Maiti
 
Kuna jamaa yeye alikua hospitali ya Amana miaka mingi huko nyuma alikua yeye anawaingilia marehemu wazuri wazuri walioletwa mortuary huku akiwananga kwamba mnaringaga sana nyie etc etc ila jamaa alikujaga kupata ngoma ndo ikawa mwisho wa habari yake...
Mmhh ila jaman Kuna watu wana ujasiriii
 
Unashangaa maiti hiyo, mie niliona mga maji akitolewa ziwani kwa kutumia kokoro akiwa hana ngozi pamoja na macho. Watu wakawa wanasema macho yake yameliwa na samaki, kumbuka kwenye kokoro kulikiwa na samaki wengi cha ajabu nilicho kiona mimi ni namna watu walivyo kimbilia samaki na kuuacha mwili.
Aiseeeee!!
 
Hayo majamaa sio poa.

Nakumbuka tulipeleka maiti 3 mortuary zilitoka sehemu sehemu ya ujambazi(kupigwa risasi),kufika pale tukawa tumashusha kwa staha kidogo,maana vichwa vilikuwa vimetoboka.
Jamaa moja likaja na ile trailer ya kubebea maiti,likaivuta maiti kutoka kwenye gari na kuiachia (kapaaa)kwenye lile trailer ilarusha ubongo na damu ukatua ktk suruali yangu[emoji31][emoji31][emoji31],likacheka sana,huku mimi nikiwa nimeduwaa nisijue nafanyaje pale,maana groves zote mikononi zilikuwa zimejaa damu.likaburuza ile trailer mpaka ndani likatoka na dawa na kunawia,aisee niliirowanisha nguo yote wala sikujali.

Maiti anatisha wadau[emoji16][emoji16][emoji16]
Mimi tuu nmesoma nikaogopa[emoji31][emoji31][emoji31]

Pole weee
 
Hiyo cha mtoto. Mimi nipo Hosp flan hapa Dar siku aliletwa maiti ya bibi kizee wa kihindi. Tukauliza nini chanzo cha kifo chake maana alikuwa ametoa macho kama ngumi. wakasema alikwamwa na Paja la kuku baadaye likashuka lakini ikawa late...

Wadau tulikuwa na njaa tukicheck mfukoni hatuna kitu...basi tulimkamua yule bibi kizee lile paja likatoka njia ya haja kubwa. Tukaosha tukagawana tukala.
[emoji33][emoji33][emoji33]
 
Amezoea kazi yake na ameona kawaida isitoshe kwenye jokofu papo salama akitoa analiosha tu analikamua. Tatizo hapa ni zile mila zetu za ku-link wafu na vitu vya mauzauza na ndio maana wengi hapa wanaona ngumu kumeza wakati maiti ni binadamu kama binadamu mwingine tatizo tu amepoteza uhai na hawezi rudi tena
 
Yale mazingira humfanya mtu, robo psychiatric na nyingine mtu sawa.

Usichague kazi tuchape kazi jmn, ila ile mm nakimbia
 
One day hapo temeke tunakwenda chukua maiti,tulimuona anatoa Pepsi kwenye jokofu saa Saba mchana anakunywa,itakua embe[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hivi nikinunua wembe mpya ikatumia kukata embe halafu nikakupa kipande, je utakula?
 
Hujui pia Kuna watu wanakushangaa unavyo itumia jamiforums na kukuona wa ajabu ajabu sana
 
Hayo majamaa sio poa.

Nakumbuka tulipeleka maiti 3 mortuary zilitoka sehemu sehemu ya ujambazi(kupigwa risasi),kufika pale tukawa tumashusha kwa staha kidogo,maana vichwa vilikuwa vimetoboka.
Jamaa moja likaja na ile trailer ya kubebea maiti,likaivuta maiti kutoka kwenye gari na kuiachia (kapaaa)kwenye lile trailer ilarusha ubongo na damu ukatua ktk suruali yangu[emoji31][emoji31][emoji31],likacheka sana,huku mimi nikiwa nimeduwaa nisijue nafanyaje pale,maana groves zote mikononi zilikuwa zimejaa damu.likaburuza ile trailer mpaka ndani likatoka na dawa na kunawia,aisee niliirowanisha nguo yote wala sikujali.

Maiti anatisha wadau[emoji16][emoji16][emoji16]
hao majambazi ulikuwa unawajua?
 
Kuna jamaa yeye alikua hospitali ya Amana miaka mingi huko nyuma alikua yeye anawaingilia marehemu wazuri wazuri walioletwa mortuary huku akiwananga kwamba mnaringaga sana nyie etc etc ila jamaa alikujaga kupata ngoma ndo ikawa mwisho wa habari yake...
aisee..kwahio alikua anapiga kavu si bure na kuwakojolea humo..aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazoea mule kama ndani kwake tu, ndiyo maana akili zao wengi hubadilika hata kama ana akili vipi kuna kitu huwa kinayumba kichwani [emoji23]
 
Kwani ww kinachokutia hofu ni nini? Mtu akifa si ni kama kalala tu.
 
Back
Top Bottom