Nilishtuka nilipomwona mhudumu wa mortuary akihifadhi embe kwenye jokofu lenye maiti Hospitali ya Temeke

Nilishtuka nilipomwona mhudumu wa mortuary akihifadhi embe kwenye jokofu lenye maiti Hospitali ya Temeke

Unashangaa maiti hiyo, mie niliona mga maji akitolewa ziwani kwa kutumia kokoro akiwa hana ngozi pamoja na macho. Watu wakawa wanasema macho yake yameliwa na samaki, kumbuka kwenye kokoro kulikiwa na samaki wengi cha ajabu nilicho kiona mimi ni namna watu walivyo kimbilia samaki na kuuacha mwili.
Hii dunia ina watu wakatili sana
 
Waungwana kwema ?

Kweli ukiyashangaa ya Musa, usije kusahau kuwa kuna ya Firauni(Farao).

Kuna rafiki yangu alifiwa na ndugu yake wa karibu huko Temeke hospital yapata miaka 2 sasa. Ile namsindikiza mortuary kukamilisha hatua za kukabidhiwa mwili wa marehemu tulishikwa na mshangao jinsi maiti zilivyojaaa siku ile mpaka zingine kuwekwa chini.

Ile siku ndugu yetu mmoja mtumishi wa Temeke hospital anasema ndio siku iliyoongoza kwa vifo vingi kwa kipindi chote cha miaka 4 ya utumishi wake. Hiyo haikuwa takwimu rasmi ila alihisi tu kwa jinsi alivyotazama miili ikielekezwa mortuary.

Sasa cha kushangaza tunamwona mhudumu mmoja wa kiume akivuta jokofu na kutoa embe dodo kubwa bila wasiwasi kutoka kwenye jokofu lenye maiti. Bila wasiwasi alimwambia mwenzake kuwa embe lake limepoa na liko tayari kwa kuliwa.

Jamaa salute kwako, mpaka leo najiuliza hivi yule mtu kweli au zimwi, maana sio kwa ukatili ule.
Mbona kawaida tu hiyo vipi na wale wanaosafisha vidonda vya kisukari,kansa nk unawaambiaje wanatoka hapo wanakula nyama,wanakula ugali nk kitu ambacho ukiambiwa wewe tu uingie kwenye kile chumba chao na kushuhudia hutakula nyama mwaka mzima
 
Kwa kweli hawa jamaa nashindwa kuwaelewa Kama wako vizuri. Maana matendo yao huwa yanashangaza wakati mwingine.
 
Hiyo cha mtoto. Mimi nipo Hosp flan hapa Dar siku aliletwa maiti ya bibi kizee wa kihindi. Tukauliza nini chanzo cha kifo chake maana alikuwa ametoa macho kama ngumi. wakasema alikwamwa na Paja la kuku baadaye likashuka lakini ikawa late...

Wadau tulikuwa na njaa tukicheck mfukoni hatuna kitu...basi tulimkamua yule bibi kizee lile paja likatoka njia ya haja kubwa. Tukaosha tukagawana tukala.
 
Huo siyo ukatili bali ni kuchanganyikiwa.
Watumishi wengi wa mortuary akili zao wanazijua wenyewe!

Kuna siku tulipishana kauli na staff mmoja wa mortuary, akatamkia wazi kuwa ananisubiria ofisini kwake siku moja aje kunipamba!

Kabla hajanipamba ye'tayari alishavuta!

Hao ni kuwasamehe tu.
 
Waungwana kwema ?

Kweli ukiyashangaa ya Musa, usije kusahau kuwa kuna ya Firauni(Farao).

Kuna rafiki yangu alifiwa na ndugu yake wa karibu huko Temeke hospital yapata miaka 2 sasa. Ile namsindikiza mortuary kukamilisha hatua za kukabidhiwa mwili wa marehemu tulishikwa na mshangao jinsi maiti zilivyojaaa siku ile mpaka zingine kuwekwa chini.

Ile siku ndugu yetu mmoja mtumishi wa Temeke hospital anasema ndio siku iliyoongoza kwa vifo vingi kwa kipindi chote cha miaka 4 ya utumishi wake. Hiyo haikuwa takwimu rasmi ila alihisi tu kwa jinsi alivyotazama miili ikielekezwa mortuary.

Sasa cha kushangaza tunamwona mhudumu mmoja wa kiume akivuta jokofu na kutoa embe dodo kubwa bila wasiwasi kutoka kwenye jokofu lenye maiti. Bila wasiwasi alimwambia mwenzake kuwa embe lake limepoa na liko tayari kwa kuliwa.

Jamaa salute kwako, mpaka leo najiuliza hivi yule mtu kweli au zimwi, maana sio kwa ukatili ule.
Mmh hii ngumu kumeza nimefanya kazi mochwari.. Nimefanya vituko vingi lakini hilo hapana kwakuwa linahusisha afya na miili kwenye jokofu huwa imepigwa formalin hivyo ni ngumu kuweka chakula mule na kumbuka pia kuna harufu ya maiti na mauti ndani ya jokofu... Na hata kama mhudumu atafanya vituko sio mbele ya watu wa kawaida
 
Mmh hii ngumu kumeza nimefanya kazi mochwari.. Nimefanya vituko vingi lakini hilo hapana kwakuwa linahusisha afya na miili kwenye jokofu huwa imepigwa formalin hivyo ni ngumu kuweka chakula mule na kumbuka pia kuna harufu ya maiti na mauti ndani ya jokofu... Na hata kama mhudumu atafanya vituko sio mbele ya watu wa kawaida
[emoji16][emoji16][emoji16] Duuh we jamaa nawewe umepitia mambo mengi ama ndio ulikua unafanyia mambo yako ya uganga? Ilikua bongo ama sauzi.
 
Mbona mnatoka nje ya maada, mleta uzi kauliza huyo ni mtu au mzimu, afu nyie mnajadili viti vingine kabisa! Acheni hizo mambo
 
Acha kuingilia kazi za watu. Je, nikikwambia kuwa nilikwisha mfanyia operesheni mwanaume ambaye alikuwa anatumia tango kujipa raha kwa njia ya haja kubwa kwa bahati mbaya likatumbukia ndani. Baada ya kulitoa manesi walilimenya tukala hapo hapo theatre/chumba cha upasuaji. Of course lilisafishwa kwa maji kwanza kabla ya kumenywa. Lilikuwa kubwa kiasi kwamba sikula chakula cha jioni siku hiyo. Kazi ilikuwa kuamka kwenda msalani kukojoa.
dah kudadeki
 
Mbona kawaida tu hiyo vipi na wale wanaosafisha vidonda vya kisukari,kansa nk unawaambiaje wanatoka hapo wanakula nyama,wanakula ugali nk kitu ambacho ukiambiwa wewe tu uingie kwenye kile chumba chao na kushuhudia hutakula nyama mwaka mzima
Niamini mimi mtu mzima hatishi,ukikuta ajali boda boda kavunjwa mguu au mkono damu zinamwagika na ni mzima,kitakachokuumiza ni uchungu tu wa kufikiri mtu kupoteza kiungo,lakini si kuchafukwa nafsi.

Kuta maiti helpeless zimekatika katika viungo,mara ubongo sijui umesambaa,budaaaa ndio utaelewa why jah man never eat flesh[emoji16][emoji16][emoji16].
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Duuh we jamaa nawewe umepitia mambo mengi ama ndio ulikua unafanyia mambo yako ya uganga? Ilikua bongo ama sauzi.
Huyo jamaa ni imortal[emoji1][emoji1][emoji1].

Ukifuatilia harakati zake,utajua.

Ananikera katika siasa tu,unajua ukiishakuwa na wafuasi wengi wanaokuamini,ni kheri ukaficha misimamo yako kwenye mambo ya siasa,ushabiki,nk.
 
Hiyo cha mtoto. Mimi nipo Hosp flan hapa Dar siku aliletwa maiti ya bibi kizee wa kihindi. Tukauliza nini chanzo cha kifo chake maana alikuwa ametoa macho kama ngumi. wakasema alikwamwa na Paja la kuku baadaye likashuka lakini ikawa late...

Wadau tulikuwa na njaa tukicheck mfukoni hatuna kitu...basi tulimkamua yule bibi kizee lile paja likatoka njia ya haja kubwa. Tukaosha tukagawana tukala.
But nigga,whyyyyyyyyyy!!!!!!
 
Waungwana kwema ?

Kweli ukiyashangaa ya Musa, usije kusahau kuwa kuna ya Firauni(Farao).

Kuna rafiki yangu alifiwa na ndugu yake wa karibu huko Temeke hospital yapata miaka 2 sasa. Ile namsindikiza mortuary kukamilisha hatua za kukabidhiwa mwili wa marehemu tulishikwa na mshangao jinsi maiti zilivyojaaa siku ile mpaka zingine kuwekwa chini.

Ile siku ndugu yetu mmoja mtumishi wa Temeke hospital anasema ndio siku iliyoongoza kwa vifo vingi kwa kipindi chote cha miaka 4 ya utumishi wake. Hiyo haikuwa takwimu rasmi ila alihisi tu kwa jinsi alivyotazama miili ikielekezwa mortuary.

Sasa cha kushangaza tunamwona mhudumu mmoja wa kiume akivuta jokofu na kutoa embe dodo kubwa bila wasiwasi kutoka kwenye jokofu lenye maiti. Bila wasiwasi alimwambia mwenzake kuwa embe lake limepoa na liko tayari kwa kuliwa.

Jamaa salute kwako, mpaka leo najiuliza hivi yule mtu kweli au zimwi, maana sio kwa ukatili ule.
Nakumbuka kulikuwa na muhudumu wa mortuary Mawenzi Hospital, Moshi. Alikuwa albino. Aaa! Yule alikuwa kiboko aisee!! Huyo wako ni cha mtoto.
 
Omusolopogasi Ndio maana nasikia wajawazito wanatukanwa, kuzabwa vibao, inaelekea utu hamna. Sasa sababu ya kula hilo tango ni nini hasa? Hamna tango mitaani mpaka mle lililotolewa kwenye njia ya haja kubwa? Akili za wasomi wetu hazieleweki.
 
Waungwana kwema ?

Kweli ukiyashangaa ya Musa, usije kusahau kuwa kuna ya Firauni(Farao).

Kuna rafiki yangu alifiwa na ndugu yake wa karibu huko Temeke hospital yapata miaka 2 sasa. Ile namsindikiza mortuary kukamilisha hatua za kukabidhiwa mwili wa marehemu tulishikwa na mshangao jinsi maiti zilivyojaaa siku ile mpaka zingine kuwekwa chini.

Ile siku ndugu yetu mmoja mtumishi wa Temeke hospital anasema ndio siku iliyoongoza kwa vifo vingi kwa kipindi chote cha miaka 4 ya utumishi wake. Hiyo haikuwa takwimu rasmi ila alihisi tu kwa jinsi alivyotazama miili ikielekezwa mortuary.

Sasa cha kushangaza tunamwona mhudumu mmoja wa kiume akivuta jokofu na kutoa embe dodo kubwa bila wasiwasi kutoka kwenye jokofu lenye maiti. Bila wasiwasi alimwambia mwenzake kuwa embe lake limepoa na liko tayari kwa kuliwa.

Jamaa salute kwako, mpaka leo najiuliza hivi yule mtu kweli au zimwi, maana sio kwa ukatili ule.
Ukatili kutoa embe kwenye jokofu? Wewe ndio katili mkuu.
 
Back
Top Bottom