Nilishuhudia Mwezi pamoja na nyota zikiwa karibu zaidi. Je, inaashiria nini?

Nilishuhudia Mwezi pamoja na nyota zikiwa karibu zaidi. Je, inaashiria nini?

La
Location ya kanda ya kati nyota ilikuwa juu kidogo pembeni kulia kiasi cha kufanya kama ile nyota na mwezi ya msikitini. Na jana ilikuwa ijumaa siku ya kuabudu waislam. Hiyo mwezi na nyota kukaribiana hivyo haikuwashangaza waislam wakati ni alama yao
Labda
 
Mwezi huu January mwanzoni ukiwa Tanzania unaweza ukaona sayari 3 ambazo no Venus hii itaonekana kwa wepesi karibu na mwezi mchanga, halafu utaweza pia kuziona sayari za Mars na Jupiter kwa binoculars...
Asante kwa elimu.
 
Kawaida iyo si sayari ya Venus na mwezi ukiwa umepigwa na jua upande mmoja!

Nini Cha ajabu
 
Ile nyota iliyokuwa karibu na mwezi Kwa siku ya Jana(Zilipishana kama cm2 hivi na mwezi).

Leo nimeuona ukiwa umeachana na mwezi kwa umbali wa kama mita 4 , Ingawa zipo kwenye mstari mmoja.

Jaribuni na nyie kuchunguza.
 
Ficha tapeli Mwamposa asione atawaambia waumini wake ni mwisho wa dunia kwahiyo wa submit mali zao kwake
 
Location ya kanda ya kati nyota ilikuwa juu kidogo pembeni kulia kiasi cha kufanya kama ile nyota na mwezi ya msikitini. Na jana ilikuwa ijumaa siku ya kuabudu waislam. Hiyo mwezi na nyota kukaribiana hivyo haikuwashangaza waislam wakati ni alama yao
Nyota na mwezi sio alama ya uislamu wala waislamu.
 
Chombo cha nasa kimegonga jua. Jua litaiangukia dunia itakua ni maangamizi matupu. Dunia itabaki bila kiumbe hai na itageuka kuwa plastic na majivu. Baadae vitaibuka viumbe vya ajabu ajabu kutoka kwenye mabaki ya wanyama na binadamu.
 
Chombo cha nasa kimegonga jua. Jua litaiangukia dunia itakua ni maangamizi matupu. Dunia itabaki bila kiumbe hai na itageuka kuwa plastic na majivu. Baadae vitaibuka viumbe vya ajabu ajabu kutoka kwenye mabaki ya wanyama na binadamu.
Umelewa?
 
Zinaoneka
Mwezi huu January mwanzoni ukiwa Tanzania unaweza ukaona sayari 3 ambazo no Venus hii itaonekana kwa wepesi karibu na mwezi mchanga, halafu utaweza pia kuziona sayari za

Ile nyota iliyokuwa karibu na mwezi Kwa siku ya Jana(Zilipishana kama cm2 hivi na mwezi).

Leo nimeuona ukiwa umeachana na mwezi kwa umbali wa kama mita 4 , Ingawa zipo kwenye mstari mmoja.

Jaribuni na nyie kuchunguza.
Hayo ni macho yetu tu wanadamu. Hiyo Sayari ipo mbali sana na mwezi. Kumbuka mwezi ni wa dunia hii tu kila sayari ina mwezi wake.
 
Kwanini mkuu? Nasa wametuma chombo kwenye jua na ripoti zinaonesha chombo kime collide na jua
 
Mwezi huu January mwanzoni ukiwa Tanzania unaweza ukaona sayari 3 ambazo no Venus hii itaonekana kwa wepesi karibu na mwezi mchanga,
Hii hubadilikabadilika siyo January tu na wala siyo Tanzania tu ni worldwide, hiyo Venus imeanza kuonekana upande wa Magharibi baada ya jua kuzama tangu mwaka jana 2024 October, na kama ukiwa location nzuri hata Mecury ungeweza kuiona mida hiyohiyo na itafika kipindi sayari hizo mbili zitaonekana upande wa Mashariki alfajiri kabla ya jua kuchomoza, na hata wakati mwingine kutegemeana na hali ya hewa Venus huonekana hata kabla na baada ya jua kuzama au kuchomoza iwapo utafuatilia location yake kwa makini.

Mwezi hauko fixed, unahama kwa speed maalumu, hivyo ukitazama leo hutauona pale kwenye sayari ya Venus
halafu utaweza pia kuziona sayari za Mars na Jupiter kwa binoculars...
Hizi sayari zinaonekana hata bila binoculars, kwa mfano muda huu toka nje katazame upande wa Mashariki Kaskazini utaiona Jupiter inang'aa sana, kuna majira siku si nyingi zijazo utaweza kuona lineup ya sayari nyingi zaidi ikiwemo Saturn na zile zingine mbili za mwishoni kule japo hizo huonekana kwa shida sana
 
Kwa muonekano wa macho ungeweza kudhani vipo karibu (kama mita moja tu!). Ukweli ni kwamba ile ni sayari ya Venus (Zuhura) ambayo ni sayari ya pili toka kwa Jua (Solar). Ikumbukwe pia mwezi upo karbu zaidi ya Dunia kuliko sayari hiyo. Kilichotokea ni kwamba Dunia na Venus vilikuwa katika mfungamano/mfuatano (planetary alignment); na kwa vile mwezi huwa unaizunguka Dunia, nao ukajikuta katika mfuatano huo. Hii ilidumu saa kadhaa na baadaye vikaachana!
Aidha inatarajiwa tarehe 25 January, sayari sita zitakuwa katika mfuatano huo na katika hizo nne zitaweza kuonekana dhahiri; hizo ni Venus, Mars, Jupiter na Saturn.
 
Back
Top Bottom