Nilishuhudia Mwezi pamoja na nyota zikiwa karibu zaidi. Je, inaashiria nini?

Nilishuhudia Mwezi pamoja na nyota zikiwa karibu zaidi. Je, inaashiria nini?

Wana wa makobazi wanatamani kimoja kikae juu ya kingine mithili ya alama yao waanze kudai hata nyota na mwezi na sayari zinathibitisha umakobazi ni dini ya mnyazi mungu
 
Kwa muonekano wa macho ungeweza kudhani vipo karibu (kama mita moja tu!). Ukweli ni kwamba ile ni sayari ya Venus (Zuhura) ambayo ni sayari ya pili toka kwa Jua (Solar). Ikumbukwe pia mwezi upo karbu zaidi ya Dunia kuliko sayari hiyo. Kilichotokea ni kwamba Dunia na Venus vilikuwa katika mfungamano/mfuatano (planetary alignment); na kwa vile mwezi huwa unaizunguka Dunia, nao ukajikuta katika mfuatano huo. Hii ilidumu saa kadhaa na baadaye vikaachana!
Aidha inatarajiwa tarehe 25 January, sayari sita zitakuwa katika mfuatano huo na katika hizo nne zitaweza kuonekana dhahiri; hizo ni Venus, Mars, Jupiter na Saturn.
Una Kiswahili kimepangika.

Kiswahili chako ni kama cha robot ChatGPT.
 
Back
Top Bottom