Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
PART 1
Huyu dada ndiye ambaye ilikuwa nimuoe. Nlimpenda sana kwa kweli na ku risk kumsomesha. Baada ya kuwa alikuwa na ufaulu ambao ungeweza msaidia kuendelea na masomo. Hakuwa na wazazi. Na ndugu zake hawakuwa tayari kumsomesha.
Nikamwambia aombe kusoma IFM. akaomba akapata nikamlipia ada na kumpangia chumba. Asilimia 100 kila kitu nlikuwa namlipia. Nlimpenda sababu pia alikuwa na akili Darasani.
Mkoani nlikuwa na mwanamke ambaye nlikuwa nimezaa naye. Huyu dada mapenzi yalipungua kwake sababu alikuwa na Ujeuri flani kwangu. Alipopata ujauzito nlimwambia tutoe ikiwa na miezi 2. Akakataa nikamwambia its ok. Then asubiri nifanye mchakato wa kuwajulisha wazazi wangu suala hilo na nimtafutie sehemu ya kukaa.
Hakusubiri hata siku mbili. Mimi nipo Dar napigiwa simu na mama kuwa kuna binti kaenda pale home anasema ana ujauzito wangu. Kuuliza jina natajiwa lake. Nlikwazika sana. Nliona ni mwanamke ambaye ameshindwa nisikiliza, mkaidi na mbabe. Mapenzi kwake yalianza pungua. Yaliingia dosari kubwa sana toka siku ile.
Ndo chanzo cha kuanza mahusiano na huyu ambaye ninamsomesha. Maana siku nampigia namuuliza kwa nini umenitendea hivi alinijibu
"We unadhani mimi utanitelekeza nikuache tu unaniambia ukanipangie uniletee na dada wa kazi then sijui nikasome....sitaki hii mimba yako utalea mwenyewe" akakata na simu
Huyu binti alikuwa amemaliza form 6 ana ufaulu mzuri tu kwenda Chuo. Na ndo maana sikutaka azae coz nlitaka kwanza aende Chuo. Ila nilikuja gundua hakutaka kuendelea kusoma.
Alikuwa anaona mimi nipo vizuri kiuchumi na wazazi wangu wana uwezo basi akaridhika sana. Hapo ndo nlipoanza pia kuchoka naye.
Basi katika pita pita ndo nikaja kutana na huyu dada Irene. Irene alikuwa mzuri na anapenda kusoma. Nikaona nimsaidie kielimu. Baadaye tukawa tunapendana sana.
Akaanza mwaka wa kwanza, wa pili changamoto zikaanza. Kule yule mwingine Latipher alikuwa ameshajifungua. Anaishi home na wazazi. Namhudumia vizuri na anahudumiwa vizuri pia. Hakukuwa na changamoto yoyote kwa suala la huduma. Ila sasa yameibuka mengine...
Huyu dada ndiye ambaye ilikuwa nimuoe. Nlimpenda sana kwa kweli na ku risk kumsomesha. Baada ya kuwa alikuwa na ufaulu ambao ungeweza msaidia kuendelea na masomo. Hakuwa na wazazi. Na ndugu zake hawakuwa tayari kumsomesha.
Nikamwambia aombe kusoma IFM. akaomba akapata nikamlipia ada na kumpangia chumba. Asilimia 100 kila kitu nlikuwa namlipia. Nlimpenda sababu pia alikuwa na akili Darasani.
Mkoani nlikuwa na mwanamke ambaye nlikuwa nimezaa naye. Huyu dada mapenzi yalipungua kwake sababu alikuwa na Ujeuri flani kwangu. Alipopata ujauzito nlimwambia tutoe ikiwa na miezi 2. Akakataa nikamwambia its ok. Then asubiri nifanye mchakato wa kuwajulisha wazazi wangu suala hilo na nimtafutie sehemu ya kukaa.
Hakusubiri hata siku mbili. Mimi nipo Dar napigiwa simu na mama kuwa kuna binti kaenda pale home anasema ana ujauzito wangu. Kuuliza jina natajiwa lake. Nlikwazika sana. Nliona ni mwanamke ambaye ameshindwa nisikiliza, mkaidi na mbabe. Mapenzi kwake yalianza pungua. Yaliingia dosari kubwa sana toka siku ile.
Ndo chanzo cha kuanza mahusiano na huyu ambaye ninamsomesha. Maana siku nampigia namuuliza kwa nini umenitendea hivi alinijibu
"We unadhani mimi utanitelekeza nikuache tu unaniambia ukanipangie uniletee na dada wa kazi then sijui nikasome....sitaki hii mimba yako utalea mwenyewe" akakata na simu
Huyu binti alikuwa amemaliza form 6 ana ufaulu mzuri tu kwenda Chuo. Na ndo maana sikutaka azae coz nlitaka kwanza aende Chuo. Ila nilikuja gundua hakutaka kuendelea kusoma.
Alikuwa anaona mimi nipo vizuri kiuchumi na wazazi wangu wana uwezo basi akaridhika sana. Hapo ndo nlipoanza pia kuchoka naye.
Basi katika pita pita ndo nikaja kutana na huyu dada Irene. Irene alikuwa mzuri na anapenda kusoma. Nikaona nimsaidie kielimu. Baadaye tukawa tunapendana sana.
Akaanza mwaka wa kwanza, wa pili changamoto zikaanza. Kule yule mwingine Latipher alikuwa ameshajifungua. Anaishi home na wazazi. Namhudumia vizuri na anahudumiwa vizuri pia. Hakukuwa na changamoto yoyote kwa suala la huduma. Ila sasa yameibuka mengine...