Nilisomesha Mchumba aje kuwa Mke, Wazazi wakanivuruga na Mchumba akadanganyika

Nilisomesha Mchumba aje kuwa Mke, Wazazi wakanivuruga na Mchumba akadanganyika

PART 4.

IRENE alikuwa amebadilika usoni. Uzuri wake umeisha, alionesha kuwa alikuwa akitumia sana pombe. Nlimsalimia nikitabasamu. Aliinama chini. Akajibu akiwa hana furaha.
Mimi: Habari za miaka?
Irene : nzuri
Mimi: upo?
Irene : yes nipo... Tutaongea
Mimi : its ok hamna shida.

Akaendelea kwa abiria wengine. Nilimtizama. Lile umbo lake namba 8 halikuwepo tena. Alikuwa amepungua mvuto. Kasuka rasta na amevaa suruali ya jeans na tshirt yenye nembo ya bus husika.

Bado alikuwa ana uzuri kiasi flani hakuwa wa kumbeza hata kidogo. Akafungua mlango kuelekea nyuma maana mimi nlikuwa nimepanda upande huu ambao ni VIP/LUXURY. akaelekea kukagua tickets upande ule wa kawaida.

Nimefika safari haraka nikashuka kuulizia yule dada aliyekuwa anakagua tickets yu wapi. Wakaniambia alishuka sehemu flani then akarudi na Bus jingine Dar. Irene hakutaka hata kuniaga. Hakutaka tuongee. Nlimkosea ndiyo lakini si kwa kiwango hiki. Alisahau tulifanya mengi pamoja. Nilimtafuta rafikiye jana. Akaniambia Irena alimpigia simu na kumwambia ameniona kwenye gari.. akamwambia hawezi endelea na safari coz anajisikia aibu na maumivu kwa yale ambayo alitenda kwangu. So akaamua kubadilishana na mtu mwingine na yeye kurudi Dar.


Nikirudi Dar.... Nitamtafuta Irene.... Angalau niongee naye. Nilishamsamehe maisha hayana budi kuendelea....


NITAELEZEA NINI KINAENDELEA. NAANDIKA NIKIWA NA MAUMIVU MAKUBWA MOYONI.

Jitu lishaoa, miaka imeenda, lianaume, eti lina maumivu makali moyoni, rubbish
 
Jitu lishaoa, miaka imeenda, lianaume, eti lina maumivu makali moyoni, rubbish
Daaah.... Ni kama unaona wivu kwa mimi kutaka kuwa na huyo dada? Wewe si una mwanaume wako lakini? Kwa nini wanawake hampendani?nikimsaidia wewe unapoteza nini dada?
 
Uliharibu sana kuruhusu mzazi mwenzio kukupelekesha kwa kuwatumia wazazi... she was smart enough to spot your weak point and use it for her benefit. I can feel the pain your going through but its normal in life no fairness in love... the one you care most are the ones who hurts your feelings badly. Now Its time to substute your love feelings to your legal lovely wife and kids... forget about her and leave her alone... she is not yours anymore unless unataka kupotea tena. Hii ndio huwa true life unamwoa au kuolewa na usiempenda...ila unajifunza kumkubali... vinginevyo utaingia mkumbo wa wale wanaoua wake zao.
 
Back
Top Bottom