Nilisomesha Mchumba aje kuwa Mke, Wazazi wakanivuruga na Mchumba akadanganyika

Bora wewe ulisomesha mimi nilikuwa na hudumia mtoto kidawa kaja kunipiga chini kisa sina hadhi ya chuo na dini yake.
nyie ZnZ na hasira na nyie shwaini
Siyo wapemba wote tupo hivyo....😂
 
Mbna hyo Kazi nzuri sana etiee. Hakosi 30000 au 40000 Kwa siku
 
Ulitaka awe nke mdogo?au kama unamsaidia mtaji mpe mwache na maisha yake we ushaoa
Sawa. Haina shida dada. Sasa amekuwa Mke mkubwa
1. Hakumaliza Chuo
2. Ameteswa Ukweni
3. Mzazi mwenzie hajui mtoto wake anaishi na anakula nini.
4. Irene ananionea aibu jinsi alivyo.

So ni kweli nliamua kumwacha aishi maisha ya mke Mkubwa.
 
Mbna hyo Kazi nzuri sana etiee. Hakosi 30000 au 40000 Kwa siku
Ha ha ha.... Asikudanganye mtu. Tena asikudanganye kabisa. Siku hizi kuna mabasi yana Cctv camera. Kuna mabasi hayaruhusu kusimamisha abiria. Tickets zinakatwa za umeme. Wizi kama upo ni mdogo sana. Hakuna hilo jambo unalosema. Na bado wanaanza kazi saa 11 asubuhi na kumaliza saa 4 usiku. Habari nimepewa na rafikiye ambaye ni wa karibu sana.
 
Hivi huu ushujaa huwa mnapata wapi wa kusomesha mpenzi eti utakuja kumuoa!!!
 
B
Basi Lake likoje??uhuni upo tu ndg.. haukosekan hawez kukosa pesa za Kula hyo.. ukiacha abiria kuna mizigo ya hapa na pale.. hafii njaa uyooo...
 
Sawa. Haina shida dada. Sasa amekuwa Mke mkubwa
1. Hakumaliza Chuo
2. Ameteswa Ukweni
3. Mzazi mwenzie hajui mtoto wake anaishi na anakula nini.
4. Irene ananionea aibu jinsi alivyo.

So ni kweli nliamua kumwacha aishi maisha ya mke Mkubwa.
Msaidie mtaji afanye biashara
 
Mnamlaumu Irene. Sasa kama mwanaume aliamua kwenda kuoa mlitegemea huyo binti angekaa anasubiri?
 
Hata Yakiwa maumivu makubwa mataqoni we malizia story yote kwanza ndio uende.
 
Hata
Yakiwa maumivu makubwa mataqoni we malizia story yote kwanza ndio uende.
Aiseee nimesikitika tu kwa ulichoandika.... Kuna sehemu huwa unatoa mchango wa maana sana. Sikutegemea unaweza kuja andika kitu kama hiki. Anyway yote heri ndugu yangu. Tunajifunza zaidi kuhusu watu kupitia vitu kama hivi. Shukrani.
 
Mchumba hasomeshwi, sina hata haja ya kusoma....ilikuwa lazima neno litimie🐒
 
Aiseee nimesikitika tu kwa ulichoandika.... Kuna sehemu huwa unatoa mchango wa maana sana. Sikutegemea unaweza kuja andika kitu kama hiki. Anyway yote heri ndugu yangu. Tunajifunza zaidi kuhusu watu kupitia vitu kama hivi. Shukrani.
Mzee usiwaze sana, leo nina hasira sana yani. Sitaki kuona jambo lolote la tofauti. We malizia story
 
☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️hii emoji inani chekesha sana🤣🤣☹️☹️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…