Huyo nyoka alivyokuingia ulijisikiaje? Mbona mlango wenyewe hukuufunga yaani sitaki nataka, nyoka mzuri mweusi saizi ya katiHeri ya mwezi mpya wa Novemba, 2017 wanajf.
Jana muda wa saa mbili usiku nilistuka kumuona nyoka yuko ndani kwangu, pembeni ya mlango wa kutokea nje!
Nyoka wa kimo cha kati, mweusi.
Nimeshangaa amepitia wapi na hali milango imefungwa, amewezaje kupita kwenye vigae na hali vigae vinateleza.
Niliogopa na hata kuchanganyikiwa!
Mungu mkubwa, ninaishi vizuri na majirani zangu waliweza kunisaidia kumuua!!!
Nimelala nastuka nastuka namuona kama vile ananipandia kitandani.
Naomba mnisaidie ushauri na kinga ya kuzuia huyo "ndudu" asiingie tena ndani na hali sioni sehemu ya kumuwezesha kupenya hadi ndani.
Sikuwa hata na wazo kupiga picha, kwanza nilitetemeka hadi maini yote na figo na bandamaWeka picha...
Jamani lossoJr si uweke tu hapa ili isaidie "umma wa jf" 😛Ninadawa kwa bei naafuu, ni PM[emoji39]
Ndio, haya nishauri kuhusu kuzuia nyokaOK,nyumba yako ina vigae kumbe...
aggyjay chini hakuna upenyo! ila mie kwa imani yangu ya kanisa katoliki nilichofanya nilinyunyizia maji ya Baraka nyumba nzimamwaga mafuta taa kuzunguka eneo lako na mlangoni..pia kama mlango wako una penyo chini weka tambaa kuzibia..
pia if ni mambo ya kishirikina ombea yumba yako
hahahahah, ni nyoka kabisa kabisa sio yule "nyoka" mwingine, yule huwa simuogopi asilani! hahahahahaHebu eleza vzr hyo ndudu ni ndudu ganii..
Asiwe yule.....
nyoka wa pangoni au kwenye boksa?Ndio, haya nishauri kuhusu kuzuia nyoka