Nilistuka kumuona nyoka yuko ndani kwangu, pembeni ya mlango wa kutokea nje!

Unakaa Dar?
 
Kuna mambo mawili ya kufanya nyoka anapoingia ndani.

1. Muue

2. Muue haraka sana.

Kama ukishindwa yote hayo basi hakikisha unamkata kichwa.
Mie ni mwoga sana, yaani kukosa majirani nadhani ningehama kabisa nikalale hotelini hahahahahahahhahh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…