Nilitahadharisha hapa kuwa 'Kesi' imemkalia vibaya 'Mwamba' na hachomoki kirahisi nikaishia Kushambuliwa

Nilitahadharisha hapa kuwa 'Kesi' imemkalia vibaya 'Mwamba' na hachomoki kirahisi nikaishia Kushambuliwa

Subiri waje kukumwagia radhi tena hapa.

Wamevurugwa na bahati mbaya unaazima jamvi wakati mgonjwa kauli hatoi kikichosalia ni mashine za kupumulia
 
Ni punguani peke yake ndiye anaweza kuamini kuwa Tanzania kuna mahakama au mifumo ya kutenda haki.

Sabaya anaburuzwa kwa maelekezo kutoka juu kisa alimtukana Chief Hangaya tusi la nguoni enzi za mwendakuzimu alipokuwa hai.Tusi hilo huwezi hata kuliandika hapa,lilikuwa ni tusi la nguoni kwelikweli.
 
Ni punguani peke yake ndiye anaweza kuamini kuwa Tanzania kuna mahakama au mifumo ya kutenda haki.

Sabaya anaburuzwa kwa maelekezo kutoka juu kisa alimtukana Chief Hangaya tusi la nguoni enzi za mwendakuzimu alipokuwa hai.Tusi hilo huwezi hata kuliandika hapa,lilikuwa ni tusi la nguoni kwelikweli.
Mkitahadharishwa na tuliobarikiwa Maono ( Philosophers kama GENTAMYCINE ) mjitahidi muwe mnatuelewa na muache Kututukana na Kutudharau.
 
1634740011323.png
 
Back
Top Bottom