Nilitahadharisha hapa kuwa 'Kesi' imemkalia vibaya 'Mwamba' na hachomoki kirahisi nikaishia Kushambuliwa

Nilitahadharisha hapa kuwa 'Kesi' imemkalia vibaya 'Mwamba' na hachomoki kirahisi nikaishia Kushambuliwa

Umeenda shule lakini hujaelimika, bado una ujinga mwingi kichwani
Sema tu kwamba nawe unataka majadiliano na mimi. Lakini kabla hatujaanza, naomba uelewe kwamba ujinga kwa english ni ignorance. Wapi umeona ignorance yangu? Mimi ni msomi bhana! Hapa umenichafulia muelekeo wangu kwenye hii chapter ya laws of thermodynamics. Nasoma hizi laws zenye ushahidi wa maabara, siyo zile alizosoma Lissu. Kabla ya Januari nataka niwe nimemaliza topic ya epigenetic inheritance. Sijui wewe unafanya nini maana watu wa aina yako wanahangaika sana na ilani ya chama tawala.
 
Wafanye watakavyo ila harakati zitaendelea tena kwa kasi zaidi ya jana..
 
Back
Top Bottom