Nilitahadharisha hapa kuwa 'Kesi' imemkalia vibaya 'Mwamba' na hachomoki kirahisi nikaishia Kushambuliwa

Nilitahadharisha hapa kuwa 'Kesi' imemkalia vibaya 'Mwamba' na hachomoki kirahisi nikaishia Kushambuliwa

Yaani uende Kuozea Jela halafu uwe Mshindi? Sishangai kwani hata Mawakili wenu nao wana Uwezo huu huu mdogo wa kufanya Logical and Critical Arguments ndani ya Courtroom aliko 'Mwamba' wenu na hatimaye sasa dalili zote za Yeye kuyaanza Maisha mapya Segerea zimeanza Kujitokeza na ni Suala la muda tu ila sioni kama kwa Kesi ilivyo na 'Mkakati' uliopo atachomoka.
Ukweli ndio huo.... Mbowe atakuwa mshindi either way.

Makosa anayoshitakiwa nayo kama akitiwa hatiani atakwenda jela sio chini ya miaka 15. Jamhuri haina huo ubavu wa kumuweka Mbowe gerezani kwa miaka 15. Na kama wakijaribu, hawataweza ku-sustain hiyo state.
 
Pia itapendeza zaidi kama utakuja kukanusha haya hapo baadae huo utakuwa ni uungwana zaidi sio kujipa sifa kwa jambo ambalo liko wazi mno kwa asiyependa haki.
 
Ukitulia kabisa na kama tokea mwanzoni umeangalia Kesi ilivyoanza na inavyoenda huhitaji Akili Kubwa sana kujua kuwa ni Kesi ya 'Kimkakati' zaidi na lazima lililopangwa litokee.

Kwa nia njema tu nikaja na Threads zangu Mbili ( ambazo hata hivyo mpaka leo sijui kwanini ziliunganishwa au kufutwa ) kwa Makusudi kabisa nikitaka Mjadala wa 'Kihoja' uanze ili angalau Mawakili Wasomi wanaompambania waokote okote Mawili Matatu ya Kisheria waongezee na yao waliyonayo ili Mhusika anasurike na 'Kesi Mkakati' inayomkabili GENTAMYCINE nikaishia Kutukanwa, Kushambuliwa na Kudhihakiwa.

Haya baada ya Kilichotokea kwa hatua hii tu ya awali kile nilichokisema na Kukitahadharisha ukiwa na Akili Timamu na Kusoma pia Mazingira na Mtiririko wake mnadhani Mhusika haendi Kuozea Jela na labda ni suala la muda tu?

ANGALIZO

Sijamtaja Mtu katika Uzi wangu huu bali nimeelezea tu hivyo sitaki Kuulizwa namuongelea nani na mtakayemhisi huyo mmemuhusi nyie ila siyo Mimi Mleta Mada.

Taratibu sasa tutaanza Kuelewana JF!!!!
Mkuu bahati nzuri unafahamu kuwa ni kesi ya Kimkakati.Maana yake sheria siyo kipaumbele kwao.Jana imedhibitisha hivyo.Kwa hiyo, ushauri au maoni yako yasingesaidia chochote kwa kuwa wenye nia OVU tayari wanamaamuzi yao.
Lakini imeandikwa,mshahara wa dhambi NI MAUTI,walipaswa wawe wamejifunza.
 
Yaani kwa Upuuzi wako huu naamini kuna 'Majuha' kadhaa hapa watakuamini na kujipa Moto.

Endelea tu Kuwadanganya na Kujidanganya ila wenye Akili tumejua 'Mwamba' yameshamkuta.
Endelea kuamini unachoamini lakini nakuhakikishia hakuna kesi hapo na Mbowe atatoka bila matatizo
 
Ni punguani peke yake ndiye anaweza kuamini kuwa Tanzania kuna mahakama au mifumo ya kutenda haki.

Sabaya anaburuzwa kwa maelekezo kutoka juu kisa alimtukana Chief Hangaya tusi la nguoni enzi za mwendakuzimu alipokuwa hai.Tusi hilo huwezi hata kuliandika hapa,lilikuwa ni tusi la nguoni kwelikweli.
Kwa hiyo kaonewa sio?
 
Akikutwa na hatia, hukumu ya Ugaidi akipona sana ni Life sentence au Kunyongwa hadi kufa kisheria. CHADEMA walichukulia hii case kiutani utani, sasa wanaona mtu karibia anaelekezwa kibra.
Ikiwa ndivyo, Mungu wetu ambaye tunamtumikia aweza kutuokoa katika tanuri ya moto mkali; tena atatuokoa mikononi mwako, ee mfalme. Danieli 3:17
 
Akikutwa na hatia, hukumu ya Ugaidi akipona sana ni Life sentence au Kunyongwa hadi kufa kisheria. CHADEMA walichukulia hii case kiutani utani, sasa wanaona mtu karibia anaelekezwa kibra.
Ikiwa ndivyo, Mungu wetu ambaye tunamtumikia aweza kutuokoa katika tanuri ya moto mkali; tena atatuokoa mikononi mwako, ee mfalme.
 
Kesi ya ugaidi hukumu ni kunyongwa hangaya asisite kutia wino
Ndugu furaha yako ya kishetani, umeianza mapema mno, nawe waweza kujikuta umeishia jangwani kama yule wa Burigi. AMEN
 
Haki inawekwa 'kapuni' kila kukicha!
Uongo na uzandiki umetamalaki!
Maneno ya kikatili yaliyojaa uongo nayo yametamalaki!
Watu wenye 'ndimi za moto' wameandaliwa kutoa ushuhuda wa 'yule mwovu'
Asiye na hatia yupo mikononi mwa mbwa mwitu waovu na makatili!
Haki itatamalaki kwa mkono wa Mwenyezi Mungu kupitia Malaika wake, time will tell
Ila watambue dhambi, kufuru na laana hizi zitaandamana nao hadi ktk lile Ziwa la Moto waliloandaliwa wao na vizazi vyao.
 
Tukiwaambia hawajui Kufikiri wananuna.
Sasa ww maamuma unajua kipi cha kufikiri.. kwakukusaudia ili uondoke na ujinga ulionao.. nenda youtube search maria space ya jana upate somo kutoka kwa adv matata na fatma karume naamini hatarudia tena kuwa mpuuuz kwenye mambo usiyo na upeo nayo.
 
Nilitukanwa sana hapa na Wafuasi wake wakati GENTAMYCINE nilikuwa na nia njema nae tu ili asaidiwe Kiushauri na Kimawazo na Wadau mpaka Wataalam wa Kisheria.

Sasa kuanzia leo tutaheshimiana vizuri.
Usipende jambo baya litokee kwa mtu fulani ili litimie ulilolisema au kuliota. Huo ni ushetani sawa na mashetani wengine tu tunaowaona wakiendeleza ushetani. Ukiota mtu X kafa ukaja hadharani ukasema "Jamani nimeota X kafa, naomba tumuombee asife". Wakajitokeza watu kukupinga, kwamba usituletee uchoro hapa, hafi mtu. Baada ya siku chache kupita yule uliyemuota akifa kweli usishangilie eti "mimi nilisema atakufa mkinibishia, sasa uneni nilichosema kimekuwa kweli, na kuanzia leo tutaheshimiana vizuri". Hapo utakuwa hutendi haki na ni ukosefu wa hekima wa hali ya juu kabisa. Wewe unakuwa siyo binadamu wa kawaida. Kwanza ukiota mtu kafa badala ya kwenda kujimwambafai kwamba wewe ni muotaji hodari, ni vema ukiota mtu kafa ingia kwenye maombi ili hilo uliloota lisitokee. Ni ajabu kushangilia ndoto yenye machungu kwa wengine kuwa kweli. Jifunze kuwa na ubinadamu ndugu yangu.
 
Usipende jambo baya litokee kwa mtu fulani ili litimie ulilolisema au kuliota. Huo ni ushetani sawa na mashetani wengine tu tunaowaona wakiendeleza ushetani. Ukiota mtu X kafa ukaja hadharani ukasema "Jamani nimeota X kafa, naomba tumuombee asife". Wakajitokeza watu kukupinga, kwamba usituletee uchoro hapa, hafi mtu. Baada ya siku chache kupita yule uliyemuota akifa kweli usishangilie eti "mimi nilisema atakufa mkinibishia, sasa oneni nilichosema kimekuwa kweli, na kuanzia leo tutaheshimiana vizuri". Hapo utakuwa hutendi haki na ni ukosefu wa hekima wa hali ya juu kabisa. Wewe unakuwa siyo binadamu wa kawaida. Kwanza ukiota mtu kafa badala ya kwenda kujimwambafai kwamba wewe ni muotaji hodari, ni vema ukiota mtu kafa ingia kwenye maombi ili hilo uliloota lisitokee. Ni ajabu kushangilia ndoto yenye machungu kwa wengine kuwa kweli. Jifunze kuwa na ubinadamu ndugu yangu.
 
Ukitulia kabisa na kama tokea mwanzoni umeangalia Kesi ilivyoanza na inavyoenda huhitaji Akili Kubwa sana kujua kuwa ni Kesi ya 'Kimkakati' zaidi na lazima lililopangwa litokee.

Kwa nia njema tu nikaja na Threads zangu Mbili ( ambazo hata hivyo mpaka leo sijui kwanini ziliunganishwa au kufutwa ) kwa Makusudi kabisa nikitaka Mjadala wa 'Kihoja' uanze ili angalau Mawakili Wasomi wanaompambania waokote okote Mawili Matatu ya Kisheria waongezee na yao waliyonayo ili Mhusika anasurike na 'Kesi Mkakati' inayomkabili GENTAMYCINE nikaishia Kutukanwa, Kushambuliwa na Kudhihakiwa.

Haya baada ya Kilichotokea kwa hatua hii tu ya awali kile nilichokisema na Kukitahadharisha ukiwa na Akili Timamu na Kusoma pia Mazingira na Mtiririko wake mnadhani Mhusika haendi Kuozea Jela na labda ni suala la muda tu?

ANGALIZO

Sijamtaja Mtu katika Uzi wangu huu bali nimeelezea tu hivyo sitaki Kuulizwa namuongelea nani na mtakayemhisi huyo mmemuhusi nyie ila siyo Mimi Mleta Mada.

Taratibu sasa tutaanza Kuelewana JF!!!!
Nilikuwa najidanganya kwamba gentamycine ni mtu smart kumbe nilikuwa naota, yaani hujui ni kwa nini uzi wako ulifutwa ?, pole sana na hao mafisiem wenzako, nyinyi na mahakama zenu mnaenda kuaibika mchana kweupe
 
Ukitulia kabisa na kama tokea mwanzoni umeangalia Kesi ilivyoanza na inavyoenda huhitaji Akili Kubwa sana kujua kuwa ni Kesi ya 'Kimkakati' zaidi na lazima lililopangwa litokee.

Kwa nia njema tu nikaja na Threads zangu Mbili ( ambazo hata hivyo mpaka leo sijui kwanini ziliunganishwa au kufutwa ) kwa Makusudi kabisa nikitaka Mjadala wa 'Kihoja' uanze ili angalau Mawakili Wasomi wanaompambania waokote okote Mawili Matatu ya Kisheria waongezee na yao waliyonayo ili Mhusika anasurike na 'Kesi Mkakati' inayomkabili GENTAMYCINE nikaishia Kutukanwa, Kushambuliwa na Kudhihakiwa.

Haya baada ya Kilichotokea kwa hatua hii tu ya awali kile nilichokisema na Kukitahadharisha ukiwa na Akili Timamu na Kusoma pia Mazingira na Mtiririko wake mnadhani Mhusika haendi Kuozea Jela na labda ni suala la muda tu?

ANGALIZO

Sijamtaja Mtu katika Uzi wangu huu bali nimeelezea tu hivyo sitaki Kuulizwa namuongelea nani na mtakayemhisi huyo mmemuhusi nyie ila siyo Mimi Mleta Mada.

Taratibu sasa tutaanza Kuelewana JF!!!!
nimekuelewa
 
Back
Top Bottom