Hukushambuliwa, bali ulielezwa ukweli...
Kwamba, kesi hii Jaji au hakimu yeyote hahitaji kuwa amebobea kisheria kujua kuwa ni ya kutunga, ni baseless kisheria...
Mpaka sasa ukweli unabaki kuwa huu hata kama watampeleka jela...
Kwani kesi hii ina tofauti gani na ile ya Yesu Kristo miaka 2021 iliyopita...?
Honestly, haina tofauti kwa sababu zote ni za kutunga kwa kutumia ushahidi wa uongo...
Kwa kuwa walidhamiria kuwa iwe kwa jua au kwa mvua, Yesu Kristo lazima ahukumiwe kifo. Na kweli ilikawa vile. Lakini haikuondoa ukweli kuwa Yesu alishitakiwa kwa uongo na kwa hiyo hata hukumu yake ikawa ni ya kukomoa tu, haikuwa ya haki...
Vivyo kwa huyu jamaa (Mbowe) mfanano wa kesi take umejengwa ktk msingi wa uongo. Likely, watamhumkumu kifungo jela. Lakini watakuwa wamehukumu mtu asiye na hatia...