Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Acha kwenda jela, hata apigwe risasi hapo kwa Mkapa mchana kweupe, hakuna jipya kwenye hilo, yote ni marudio tu, na hakuna mtu anahitaji maana wako man.
Acha kunichosha kwa Maelezo yako mengi yaliyojaa tu Upuuzi na Unafiki mtupu. Nasisitiza tena kuwa mmeshachelewa na 'Mwamba' lazima Jela akakae angalau hata kwa miaka kadhaa.
Leo mbona hamnitukani Makamanda?