paschal Burra
JF-Expert Member
- Jul 1, 2021
- 374
- 332
Kwa Sabaya mbona mliona haki imetendeka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli upi kama sio pumbaWafuasi wake pamoja na wale Mnaonichukia pindi GENTAMYCINE nikisema tu Ukweli leo mbona hamnitukani, hamnidhihaki wala hamnishambulii kama mlivyofanya katika zile Threads zangu Mbili za kutoa ( kuwapeni ) Angalizo kama siyo Tahadhari?
Sabaya hajafungwa kwa sababu ya kuwanyang'anya pesa. Kama ni kuwanyang'anywa watu ni kosa, Bashite angeponea wapi?Ni punguani peke yake ndiye anaweza kuamini kuwa Tanzania kuna mahakama au mifumo ya kutenda haki.
Sabaya anaburuzwa kwa maelekezo kutoka juu kisa alimtukana Chief Hangaya tusi la nguoni enzi za mwendakuzimu alipokuwa hai.Tusi hilo huwezi hata kuliandika hapa,lilikuwa ni tusi la nguoni kwelikweli.
Laiti ungejua unyama sabaya alivyowafanyia watu wazi wazi Usingeongea hii pumba tuwe na utuMbona alivyofungwa Sabaya mlifurahi na mkaisifia mahakama imetenda haki ila kwa mbowe mnaona mahakama haitendi haki acheni unafiki wakuingilia uhuru wa mahakama
Kwa ushahidi upi alafu sikujuaga ni mjinga kiasi hiki unazani ni rahisi kama unvyodhani wataishia kumpa umaarufuAkikutwa na hatia, hukumu ya Ugaidi akipona sana ni Life sentence au Kunyongwa hadi kufa kisheria. CHADEMA walichukulia hii case kiutani utani, sasa wanaona mtu karibia anaelekezwa kibra.
Atanyongwa mama yakoNa ndo mana ilianza Kwanza ili kusafrisha rungu ,Nami nasema anyongwe
Si wanajifanya Wabishi, Wajuaji na wanajua Kutukana na hawapendi Ushauri wa Kimaono kutoka Kwetu 'Philosophers' wa hapa Jamvini?Akikutwa na hatia, hukumu ya Ugaidi akipona sana ni Life sentence au Kunyongwa hadi kufa kisheria. CHADEMA walichukulia hii case kiutani utani, sasa wanaona mtu karibia anaelekezwa kibra.
Yaan mpuuzi kama Mbowe atuongoze sisi wasomi???? Najilipua siku hiyoMkuu wangu GENTAMYCINE amini usiamini, njia yeyote atakayopitia Ndg Aikaeli atafikia ukomo wa KUINULIWA Sana ktk nchi hii.
Mungu hapokei hongo!!
We pimbi kaa kimya leo unadiriki kusema hakuna mahakama huru nchi hii ? Mbona juzihapa mlishangilia nakusrma kweli mahakama zinatenda haki? Leo msumeno unatoka mbele kurudi nyuma umekula mnaanza kujambajamba hapa sijui mmekula maharage ya wapiHakuna Mahakama huru nchi hii.
Hii kesi ilistahili kufuwa siku nyingi tu.
Lengo ni kumuweka ndani wakiamini chama kitayumba na hii ni kwasababu akil zao ni fupi.
Weka ushahidi ambapo mkuu wa wilaya amtukane MAKAMU WA RAISSabaya hajafungwa kwa sababu ya kuwanyang'anya pesa. Kama ni kuwanyang'anywa watu ni kosa, Bashite angeponea wapi?
Sababya hajafungwa kwa sababu aliwatesa watu. Kama kutesa watu ni kosa, Bashite anayehusishwa na mauaji ya mateso, umeona anaguswa?
Sababu ni moja tu, Hangaya analipiza kisasi kwa kutukanwa na Sabaya wakati wa marehemu.
Mambo mengine, huwa tunayaouuza lakini hubeba maana kubwa kutokana na uzoefu wa muda mrefu. Aheri mchawi mwanaume kuliko mwanamke.
Watahangaika ila Mwamba atafungwa tu.Dunia hii,,,,mbaya sana
Leo mbona hamnitukani kama ile mwanzo?Genta hamna ushauri wowote ambao ungetoa wenye kusaidia maana hiyo kesi haijali sheria, bali ni kesi ya hila na siasa chafu. Na kutaka kujua kwamba hilo jambo liko nje ya mipaka ya kisheria, majaji wanajitoa maana wanalazimishwa kutoa hukumu isiyoendana na ushahidi unaotolewa. Tuna uwezo wa kujua hizo kesi za kihuni maana ni marudio tu hakuna jipya hapo.
Ushauri wa bure, baki na ushauri wako maana hauna msaada wowote, kwani huko mahakamani kinachoendelea ni mabishano ya kisheria kwenye jambo la kutunga.
Wakimfunga atakuwa Mandela..Ukitulia kabisa na kama tokea mwanzoni umeangalia Kesi ilivyoanza na inavyoenda huhitaji Akili Kubwa sana kujua kuwa ni Kesi ya 'Kimkakati' zaidi na lazima lililopangwa litokee.
Kwa nia njema tu nikaja na Threads zangu Mbili ( ambazo hata hivyo mpaka leo sijui kwanini ziliunganishwa au kufutwa ) kwa Makusudi kabisa nikitaka Mjadala wa 'Kihoja' uanze ili angalau Mawakili Wasomi wanaompambania waokote okote Mawili Matatu ya Kisheria waongezee na yao waliyonayo ili Mhusika anasurike na 'Kesi Mkakati' inayomkabili GENTAMYCINE nikaishia Kutukanwa, Kushambuliwa na Kudhihakiwa.
Haya baada ya Kilichotokea kwa hatua hii tu ya awali kile nilichokisema na Kukitahadharisha ukiwa na Akili Timamu na Kusoma pia Mazingira na Mtiririko wake mnadhani Mhusika haendi Kuozea Jela na labda ni suala la muda tu?
ANGALIZO
Sijamtaja Mtu katika Uzi wangu huu bali nimeelezea tu hivyo sitaki Kuulizwa namuongelea nani na mtakayemhisi huyo mmemuhusi nyie ila siyo Mimi Mleta Mada.
Taratibu sasa tutaanza Kuelewana JF!!!!
Angalia na huyo Mwendawazimu mwingine hivi Tanzania au CHADEMA ingekuwa na Watu Majasiri kama usemavyo na sijui wapo wengi nchi nzima Kipindi kile cha ile Kampeni yenu ya Kipuuzi ya UKUTA wangekimbia na Kujificha hovyo Mtaani?Hata akinyongwa mtaani bado wapo wengi wenye spirit ya Mbowe.
Tulizeni marinda hakuna kipya chini ya jua.
PGO ifutwe..Walikua wanafurahia PGO kana kwamba ndio ushindi.
Acha kunichosha kwa Maelezo yako mengi yaliyojaa tu Upuuzi na Unafiki mtupu. Nasisitiza tena kuwa mmeshachelewa na 'Mwamba' lazima Jela akakae angalau hata kwa miaka kadhaa.Naona mnalazimisha kuchanganya maamuzi ya kesi ya Mbowe na Sabaya, mkiamini kabisa hatujui tofauti yake. Kesi ya Sabaya ni mashitaka ya dhahiri tena na mashahidi wa unyama ule wasiotiliwa shaka. Kesi ya Mbowe ni ya kubambikizia mmoja wapo wa waliotengeneza hiyo kesi ni Sabaya, ambaye leo hii ni mfungwa kwa ushahidi usioacha shaka, chini ya jeshi la polisi linalotumika na serikali kutekeleza unyama. Ndio maana unaona kila jaji sasa anaikimbia kesi hiyo ya Mbowe, maana serikali inalazimisha hukumu isiyoendana na ushahidi. Imeisha hiyo.
Leo mbona hamnitukani kama ile mwanzo?