Nilitaka kumuoa binti wa Dini tofauti na yangu vita kubwa ikaibuka. Kuna kitu gani kati ya hizi dini mbili?

Nilitaka kumuoa binti wa Dini tofauti na yangu vita kubwa ikaibuka. Kuna kitu gani kati ya hizi dini mbili?

Hayo ni maneno yakujifariji tu niwaambieni kitu ukweli siku zote haukimbiwi suala la mahaba na utiifu kwa mwanaume mmezidiwa Sana na wanawake wakislamu nyinyi mchowazidi uchakarikaji na usomi kwenye sifa zao lazima muwape na nyie kwenye sifa Zenu tutawapa bahati mbaya kwenu wamewazidi kwenye sehemu ambayo ndio Wanaume akili zetu zipo hapo yaani tunaiita sensitive area.Kwasababu ya wengi wenu kukosa sifa hizo kuu za wanawake wakislamu ndio maana mnatufanya tuwakimbilie lakini mngekuwa na hizi sifa wala tusiangaika na wanawake wakislamu kabisa
Sawa mkuu umeshinda wewe naona umeandika kwa hisia kabisa😆😆
Kila la kheri mkuu kwenye kupewa huba zito na bibie sie wakristo tupo tunasubiri watakaotuelewa…
 
Waislam wagumu mno kubadili dini. Hata umuokote malaya anayejiuza ukifika kwenye kubadili dini mtaachana.
 
Wakristo ngoja niwaambie ukweli, na hapa si watukani, yaani nyiny hamsomi na wala hamfanyi utafiti kadhalika hamuhoji.

1. Mfano huo utofauti wa kwanza, nitakuuliza. Andiko leno limetaja mji, andiko letu limetaja sehemu husika kabisa chini ya mtende. Sasa mlivyo vilaza, mkashindwa kuulizwa huo mtende ulikuwa sehemu gani na ni mji gani. Ukisoma Tafsiri ya Ibn Kathir amethibitisha ni BaytLahm (Bethelehem/The house of meat). Ndiyo maana nikasema hivi hakuna anae weza kuthibitisha hili kwa hoja na ushahidi ya kuwa Yesu siyo Issa.

2. Nukta ya pili,ukianza kuchambua andiko lenu kuanzia kwa Matayo, tuanakuja kuona kabisa Matayo hakimdiriki Yesu, tunauliza habari za Yesu alizipata wapi toka kwa nani ? Qur'aan imeeleza wazi kwamba Allah alimtoa mja wake na akawawekea mfano wa mja wake. Hapa mmoja ni muongo, yaani Nyinyi Wakristo ndiyo waongo. Kwa sababu nyingi sana, kwanza Allah hamuachi ja wake ateseke na kudhalilika na ndiyo maana akamuokoa hapo.

3. Hapa pia kuna uongo mwingi. Marko hakuwahi kumuona Yesu habari za Yesu amezitoa wapi ? Na nani ameandika Injili ya Marko ? Hapa kuna hitilafu kubwa. Kisha tunakuja kwenye mstini yenyewe.

4. Hii nukta nyingine ambayo haithibitishi ya kuwa yesu ni mwana wa Mungu. Wai Yesu alisema yeye ni mwana wa mungu ? Lakini je katika Biblia yenu tamko "mwana" limetumika kwa yesu peke yake ? Kama siyo kwanini iwe mnashadadia kwa Yesu tu ?

Kingine ili mtoto awe mtoto baba akiwepo sharti lazima awepo mama, mama wa Issa mnataka kusema alipataje ujauzito wa Yesu ?

Kingine kilugha ukisema "Mwanafulani" si lazima kuwe na mafungamano ya uzao au damu. Mfano leo hii kuna "Mwanamichezo" siyo kwamba "Michezo imemzaa fulani" bali mtu huyo ni mtu wa michezo au "Mwana masumbwi" hii ina maana mtu husika ni mtu wa masumbwi. Leo sisi binadamu tunaitwa "Wana wa Adamu" haimaanishi tumezaliwa sote na Adamu. Kwahiyo tukiwapa miaka yote mpaka mnakufa hakuna yeyote atakaye thibitisha ya kuwa Yesu ni mtoto wa Mungu, bali ni mtu wa Mungu kama ulivyo wewe yaani mtu anajishughulisha na mambo ya mungu katika ujumbe na mfano wake.

5. Hakuna sehemu yoyote ambayo Yesu alisema yeye ni Mungu, bali nyie ndiyo mnasema yeye ni Mungu, na hayo maandiko mliyoyaweka hayathibitishi ya kuwa Yesu alisema hayo. Hao wote kina John hawakumuona Yesu na waandishi wake hawajulikani. Vipi habari zao zifanyiwe kazi, tena hasa zinapingana na uhalisia ?

Nukta zilizo baki nakuja kuzimalizia...
Mkuu jaribu kula kitimoto hutajutia maamuzi yako,achana na hayo mapokeo ya hizo story za huko uarabuni zinakuchosha tuu...[emoji3][emoji3]
 
Wakristo ngoja niwaambie ukweli, na hapa si watukani, yaani nyiny hamsomi na wala hamfanyi utafiti kadhalika hamuhoji.

1. Mfano huo utofauti wa kwanza, nitakuuliza. Andiko leno limetaja mji, andiko letu limetaja sehemu husika kabisa chini ya mtende. Sasa mlivyo vilaza, mkashindwa kuulizwa huo mtende ulikuwa sehemu gani na ni mji gani. Ukisoma Tafsiri ya Ibn Kathir amethibitisha ni BaytLahm (Bethelehem/The house of meat). Ndiyo maana nikasema hivi hakuna anae weza kuthibitisha hili kwa hoja na ushahidi ya kuwa Yesu siyo Issa.

2. Nukta ya pili,ukianza kuchambua andiko lenu kuanzia kwa Matayo, tuanakuja kuona kabisa Matayo hakimdiriki Yesu, tunauliza habari za Yesu alizipata wapi toka kwa nani ? Qur'aan imeeleza wazi kwamba Allah alimtoa mja wake na akawawekea mfano wa mja wake. Hapa mmoja ni muongo, yaani Nyinyi Wakristo ndiyo waongo. Kwa sababu nyingi sana, kwanza Allah hamuachi ja wake ateseke na kudhalilika na ndiyo maana akamuokoa hapo.

3. Hapa pia kuna uongo mwingi. Marko hakuwahi kumuona Yesu habari za Yesu amezitoa wapi ? Na nani ameandika Injili ya Marko ? Hapa kuna hitilafu kubwa. Kisha tunakuja kwenye mstini yenyewe.

4. Hii nukta nyingine ambayo haithibitishi ya kuwa yesu ni mwana wa Mungu. Wai Yesu alisema yeye ni mwana wa mungu ? Lakini je katika Biblia yenu tamko "mwana" limetumika kwa yesu peke yake ? Kama siyo kwanini iwe mnashadadia kwa Yesu tu ?

Kingine ili mtoto awe mtoto baba akiwepo sharti lazima awepo mama, mama wa Issa mnataka kusema alipataje ujauzito wa Yesu ?

Kingine kilugha ukisema "Mwanafulani" si lazima kuwe na mafungamano ya uzao au damu. Mfano leo hii kuna "Mwanamichezo" siyo kwamba "Michezo imemzaa fulani" bali mtu huyo ni mtu wa michezo au "Mwana masumbwi" hii ina maana mtu husika ni mtu wa masumbwi. Leo sisi binadamu tunaitwa "Wana wa Adamu" haimaanishi tumezaliwa sote na Adamu. Kwahiyo tukiwapa miaka yote mpaka mnakufa hakuna yeyote atakaye thibitisha ya kuwa Yesu ni mtoto wa Mungu, bali ni mtu wa Mungu kama ulivyo wewe yaani mtu anajishughulisha na mambo ya mungu katika ujumbe na mfano wake.

5. Hakuna sehemu yoyote ambayo Yesu alisema yeye ni Mungu, bali nyie ndiyo mnasema yeye ni Mungu, na hayo maandiko mliyoyaweka hayathibitishi ya kuwa Yesu alisema hayo. Hao wote kina John hawakumuona Yesu na waandishi wake hawajulikani. Vipi habari zao zifanyiwe kazi, tena hasa zinapingana na uhalisia ?

Nukta zilizo baki nakuja kuzimalizia...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseee umejieleza mwanzo mwisho ila sijaona hoja yako ngoja nikuulize kitu kwa wanasayansi wanaoandika habari za kina Isaack Newton sijui Na wanasayansi wengine wale wa zamani kwani waliwaona hao kina Isaack Newton???

Historia ya mtu/vitu inaandikwa kulingana na watu walivokua wanaona. Biblia ni kama hadithi zinasimuliwa kizazi na kizazi hivyo walioandika wameandika kwa yale maono/hadithi walizosikia ndo mana kuna baadhi ya maandiko kwenye mathayo yapo ila kwenye Marko hamna we unadhan kwann kuna utofauti??

YESU hakukaa chini kuandika historia yake mwenyew bali ni hadithi ambazo watu walikua wakisumuliwa wakaamua kuzitunza kama kumbukumbuku(kwa uelewa wangu) naamini hata Mtume Muhhamad S.W na yeye ana hadithi zake ambazo huwa zinasimuliwa inamaana tuseme wanaosimulia wanatudanganya kwasababu hawakuwepo??
 
We jamaa ni mfia dini sanaa..

Hivi unajua ungezaliwa na Mchungaji basi muda huu ungekuwa madhabahuni unahubiri habari za wokovu?

Umekua muislamu kwasababu ulizaliwa na waislamu.

#YNWA

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na kweli hawa ndo wale wanaofanya mabalaa kwa jina la Allah[emoji119][emoji119][emoji119]
 
yeye akiwa ni Muislam na mie Mkristo;

Alikua pisi haswa, mtoto mkaree kila angle na anayajua mapenzi haswa, nikasema tabu za nini hasa ukizingatia bint mwenyewe ananitii kila nnalomwambia, sikua na upinzani wowote kwake, najipigia mwenyewe tu ki uhakika.

Sasa nilivyotangaza tu kumuoa na kuwaambia ndugu na jamaa kwamba kuna sehemu nimenasa na sasa nabeba jiko jumla hapo sasa ndio vita vikazuka, mwanzo nikaona ni mambo ya kawaida "jamaa wanaingilia maisha ya watu tena, hawa hawanijui hawa?" Lakin nikashangaa wazazi wote pande mbili wanapinga, wajomba wameshika mabango kwamba watu wa dini ile nyingine hakuna kabisa hawafai, nikasema eeh maji mazito kuliko damu ya mtume?

Binti alikua so so down, hana mzuka kabisa, mie na fosi bibie tulia wala usiwe na hofu dini tumeletewa na mabeberu tu, lakin ikamshinda nguvu maskini binti wa watu analia, maza ake nae kaja juu anasema kijana mkristow hakanyagi hapa kwangu, huba likakosa connection kabisa kimzaa mzaa tu, tukawa tunakulana tu na binti akawa anasema haoni future sa itakuaje? Nikamwambia basi tuzae tu wataelewa, akasisitiza mtume alishapinga kuzaa nje ya ndoa, basi ikaishia ivyo tu na sasa binti yupo na shekhe wake msoma visomo.

Hivi hua kuna bifu la chini chini kati ya hizi dini mbili? na raia hua hawasemi au ni nini? why wakule ni wakule na wa huku ni wa huku hakuna kuingiliana?
Divide and rule
 
yeye akiwa ni Muislam na mie Mkristo;

Alikua pisi haswa, mtoto mkaree kila angle na anayajua mapenzi haswa, nikasema tabu za nini hasa ukizingatia bint mwenyewe ananitii kila nnalomwambia, sikua na upinzani wowote kwake, najipigia mwenyewe tu ki uhakika.

Sasa nilivyotangaza tu kumuoa na kuwaambia ndugu na jamaa kwamba kuna sehemu nimenasa na sasa nabeba jiko jumla hapo sasa ndio vita vikazuka, mwanzo nikaona ni mambo ya kawaida "jamaa wanaingilia maisha ya watu tena, hawa hawanijui hawa?" Lakin nikashangaa wazazi wote pande mbili wanapinga, wajomba wameshika mabango kwamba watu wa dini ile nyingine hakuna kabisa hawafai, nikasema eeh maji mazito kuliko damu ya mtume?

Binti alikua so so down, hana mzuka kabisa, mie na fosi bibie tulia wala usiwe na hofu dini tumeletewa na mabeberu tu, lakin ikamshinda nguvu maskini binti wa watu analia, maza ake nae kaja juu anasema kijana mkristow hakanyagi hapa kwangu, huba likakosa connection kabisa kimzaa mzaa tu, tukawa tunakulana tu na binti akawa anasema haoni future sa itakuaje? Nikamwambia basi tuzae tu wataelewa, akasisitiza mtume alishapinga kuzaa nje ya ndoa, basi ikaishia ivyo tu na sasa binti yupo na shekhe wake msoma visomo.

Hivi hua kuna bifu la chini chini kati ya hizi dini mbili? na raia hua hawasemi au ni nini? why wakule ni wakule na wa huku ni wa huku hakuna kuingiliana?
"akasisitiza mtume alishapinga kuzaa nje ya ndoa"

Shida inaanzia pale mzazi unaposhindwa kufundisha dini kwenye familia yako na wewe mwenyewe kushindwa kusimama kwenye dini yako ipasavyo . kwanza jua si mtume anayekataza na kuruhusu vitu kwenye dini hiyo ni kazi ya mwenyezi mungu .

Na kama imekatazwa kuzaa bila ndoa unadhani zinaa ndo imeruhusiwa?
 
kila kitu ni mipango ya Mungu upendo sioni na siwezi kuushika ila nahisi upo kama imetokea nimependa sehemu nawezaje kujizuia maana kwa hakika hakitokei kitu bila Allah kubariki basi asingenipa upendo kwa Mwanaume dini tofauti hata hivyo tuliachana
🤔🤔 i think hata wanaotoa mimba huwa mipango ya mungu, wanaouwa watu bila hatia huwa pia mipango ya mungu, wanaodhulumu mali huwa ni mipango ya mungu, wanaobaka, wanaolawiti watoto wadogo huwa ni mipango ya mungu maana hisia zao japo hawazioni wana imani kabisa wasingekuwa nazo bila mungu kubariki.

No offence mkuu, but umefikiria nini kuandika ulivyoandika nina wasi wasi ulisoma elimu ya dunia sana ukasahau ya akhera ambayo ndiyo muongozo mzima am not here to judge you but uwe unafikiri kabla ya kumtusi ALIYEKUUMBA.
 
Kosa langu ni lipi mkuu ulishawahi zuia upendo
Si kila hisia na matamanio ni ya kufuata kuna watu wanatamani mapenzi ya jinsia moja ukiwauliza watakuambia wapo kwenye upendo na hawawezi kujizuia .

Vipi kwa wale wanaopenda na kutamani kuwa wafalme au malkia? Je? Mbona hawana hizo nafasi na wanazitamani? Utakuja kugundua ni vile unaji tune mwenyewe no further justification.
 
Sawa mkuu umeshinda wewe naona umeandika kwa hisia kabisa😆😆
Kila la kheri mkuu kwenye kupewa huba zito na bibie sie wakristo tupo tunasubiri watakaotuelewa…
Shida ya hawa ni moja tu dini yao na usiombee ukapata binti wa kisalamu alafu baba yake ni shekhe kuoa hapo ni ngumu kabisa ila usijali tukishapata vizingiti vya wazazi wao ndio tuwarudia nyie
 
YESU SIO NABII ISSA KWA SABABU HUYO NABII ISSA NA YESU NI WANA HISTORIA TOFAUTI MPK HAPO KUANZIA KUZALIWA MPK KUFAA MPK KUFUFUKA

UKOO WA YESU NA HUYO NABII ISSA MNAEMFANANISHA NAE NI TOFAUTII
KIUFUPI HAKUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA YESU KRISTO NA NABII ISSA KAMA KUNGEKUWA NA MFANANO NAFIKIRI STORY ZINGEKUWA ZIPO PAMOJA KIUFUPI NI HISTORIA MBILI TOFAUTI KABISAKABISA UKATAE AMA UKUBALI
Hebu taja facts za utofauti wao vizuri usiseme tu wako tofauti halafu basi [emoji4]
 
Unaweza ukaongea hivyo ila wengine tupo kwenye field tunajionea ndio maana kuna siku nilimuuliza muislamu mmoja wakike jirani yangu akanipa majibu kwanini wao wanakuwa watiifu na mahaba kwa Wanaume kwa majibu aliyonipa unaona kabisa dini inamchango wake mkubwa tu
Kwa waislam, dini inamfundisha mwanamke kuwa chombo cha starehe kwa mume wake/mwanaume!
 
Dini zina upumbavu mwingi sana.

Muislam na mkristo wanapingana...at the same time mkristo wa dhehebu fulani anampinga wa dhehebu lingine, rc na kkkt haviivani, kkkt na sda hawaivi...yani ni shida

Huko kwa waislam Shia na sunni nao shida tu, kuna bakwata...mambo ya dini haya mmmh.

Wakati niko znz nikakutana na binti, kaniambia lazima tuoane, nikajisemea moyoni you're not serious, ukweli ulivyothibitika alisarenda mwenyewe, alivyomwambia tu mamake kuwa nimepata bwana mkristo, timbwili lake sio la dunia hii.
 
Allah sio Jehova,Mungu aliyejifunua kupitia Yesu ndio Jehovah,Mungu wa Ibrahim Osaka na Yakobo(Israel)
!yuko sahihi!

Kila Mungu/mungu ana namna yake ya kujifunua kiagano kwa wanaomuabudu!

Ss Mungu,Jehovah alijifunua kupitia Yesu kwenye agano jipya!

Huwezi sema ndo huyo huyo aliyejifunua kupitia mtume Muhammad!
Ni vitu viwili tofauti.
Kwahyo yesu ni Mungu ?
 
Kwa waislam, dini inamfundisha mwanamke kuwa chombo cha starehe kwa mume wake/mwanaume!
Me nimezungumzia kwenye angle mbili ya utiifu kwa mwanaume na mahaba wanawake wa kislamu wapo vizuri kuhusu kuwa chombo Cha starehe uko sipo
 
Me nimezungumzia kwenye angle mbili ya utiifu kwa mwanaume na mahaba wanawake wa kislamu wapo vizuri kuhusu kuwa chombo Cha starehe uko sipo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu, haupo huko lakini kwa hawa wenzetu huo ndiyo ukweli!
 
Bifu lililopo ni la kiroho zaidi. Hizi ni falme mbili tofauti. Yehova siyo Allah na Yesu siyo nabii Issa kama mnavyoaminishwaga.

Nimechoka sana leo ningekufafanulieni kwa kina
Mkuu,
Ukipata wasaa em tiririka, uwatoe wadau tongotongo.. thanks!
 
Back
Top Bottom