Nilitaka kumuoa binti wa Dini tofauti na yangu vita kubwa ikaibuka. Kuna kitu gani kati ya hizi dini mbili?

Mimi nakupa kazi moja tu ukithibitisha ya kuwa Yesu siyo Nabii Issa mimi nakuwa Mkristo.
Huo ndo ukweli hakuna haja ya kuthibisha YESU alikua Mwalimu na sio nabii alikufa msalabani, nabii Issa ni nabii na sio Mwalimu na hakufa msalabani, hao ni watu wawil tofauti
 
Umeandika uongo mtupu kuhusu Uislamu. Nitakuonyesha baadae,ila mimi naanza na hili, nakupa kazi ya kuonyesha pungufu hata moja katika uislamu ukiweza kufanya hivyo mimi nitaomba hii ID ifungwe na wewe utakuwa shahidi.
Komaa na imani yako chief wala haina haja ya kushindana, Allah atukuzwe.
 
Cha ajabu waislamu ndo wanaolazimisha kwamba wako sawa kiukwel ni watu wawili tofauti
 




Ukisoma hapo mwanzo utaona alivosema "kama tulivyohadithiwa na wale mashahidi wenye kuyaona" maana yake ni passing stories ambazo zipo na watu wanazieleza hivyo kuandika kwako ni katika kuweka kumbukumbuku...

Wakristo tunaamini kuwa baada ya YESU kufa na kufufuka na kabla ya kupaa mbinguni alituachia ROHO MTAKATIFU ( Katika MUNGU kuna nafsi tatu ambae ni MUNGU BABA, Muumbaji,, MUNGU MWANA(YESU) na ROHO MTAKATIFU) ambae anatufunilia maono ya kimungu kwahiyo kwa yale yote aliyoandikwa kwenye biblia kipindi cha yesu uliachana na hadithi mengine yote ni maono ambayo ROHO MTAKATIFU aliwafunulia watu ili wapate kuandika neno la YESU ambae ni MUNGU MWANA.

Na kuhusu nani aliandika obviously ni Marko mwenyew ndo aliandika maana ndie aliefunulia maono na ROHO MTAKATIFU and lastly kila kitu kinachondikwa ni swala la Imani hatua ushahidi wa aliandika lini, saangapi wapu ila tunachoamini ni kuwa aliandika tunasoma ili tujifunze habari za MUNGU
 
Nashukuru sijawahi kumpenda mwanaume wa kiislamu,,, na sijui Kama itatokea
Tatizo wachafu hamjisafishi kweny papa ndo ukweli wanawake wa kiislamu wanajisafisha

Wakristo wengi wasafi usoni kweny papa kama vumba la dagaa
 
kila kitu ni mipango ya Mungu upendo sioni na siwezi kuushika ila nahisi upo kama imetokea nimependa sehemu nawezaje kujizuia maana kwa hakika hakitokei kitu bila Allah kubariki basi asingenipa upendo kwa Mwanaume dini tofauti hata hivyo tuliachana
Point...
 
Shida ya kinachomsumbua Kisai ni Hypocrisy yani kuona yeye ana haki ya kuamini habari za miaka maelfu za Koran Muhammad kazipata kutoka kwa jibril na Allah , ila hataki kuamini habari za Yesu zimetoka kwa waliona na msaada wa holy spirit , Yani anaona unae amini holy spirit kawapa habari ni waongo ila yeye anaamini jibril na Allah wamempa Muhammad ni wakweli
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani nachoka mm hapo yenyew nimepunguza vitu kibao kuandika naona ntamchamganya tyuu afu "you can't fill the Cup which is already Full" tayari ana imani yake kuhusu ukristo ko kumwongezea habari nyingine anaona unamchanga afuu hana nia ya kujifunza ana nia ya kuonyesha kuwa anajua hilo nalo ni tatizo lingine[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Koran yote yaliyomo hakuna eye witness except Aya za dudu ya Muhammad ,zile za kula house girl kula mke wa mtoto wake n.k

Muhammad habari za Musa za miaka elfu 2 kabla yake haijulikani kazitoa wapi

Isa wa Koran alikuwa na maswahaba na haijulikani waliandika nini?

Wanafunzi wa mtume hakuna kitu waliandika ila baada ya miaka 200 ndio tunasikia flani alisema alimsikia flani akisema


Nina swali la muhimu Sana kwako

Muhammad story za Isa, Musa , yakub n.k alitoa wapi? Na isa alikuwepo miaka mingapi kabla ya Muhammad?
 
Ukisoma hapo mwanzo utaona alivosema "kama tulivyohadithiwa na wale mashahidi wenye kuyaona" maana yake ni passing stories ambazo zipo na watu wanazieleza hivyo kuandika kwako ni katika kuweka kumbukumbuku...
Safi kabisa, swali langu rahisi sana tunajua wote Luka hakumuona Yesu. Katika andiko hapo juu halijawaainisha hao walio shuhudia na kuwahadithia kwa maana ya kuwa walihadithiwa na nani na kina nani waliwashuhudia. Sababu andilo la Luka la kwanza linaonyesha kabla yake wapo walio andika maandiko kinyume na wale walio wa shuhudia. Je walio shuhudia ni kina nani ? Wanafunzi wa Yesu au kina nani ?

Pili, hujajibu hoja yangu ya kunyesha ya kuwa matini inatakiwa isomeke hivi "Nimemsikia Yesu akisema kadha wa kadha" au "Nimemuona Yesu akisema kadha wa kadha" au "Ametuhadithia mwanafunzi wa Yesu kadha wa kadha"
Mungu inakuwaje afe na alifufuka au alifufuliwa na kama alifufuliwa nani alimfufua ?

Wapi Yesu anasema ya kuwa naondoka nawaachia Roho mtakatifu kwa ajili ya kuwafunulia mambo ?

Tutajuaje kama hayo ni maono na si maoni ya waja ?

Unakubali kwamba Yesu ameondoka hakuacha kitu kinachoitwa BIBLIA ?
Nisaidie maswali yafuatayo :

1. Nipe ushahidi ya kuwa Marko alifunuliwa hayo aliyo yaandika.

2. Nipe ushahidi wa kuwa ni kweli Marko ni yeye aliandika hayo aliyo yaandika.


3. Sitaki kujua aliandika lini, ila nataka ushahidi unao onyesha ya kuwa ni kweli aliandika.
 
Abdool son of Mutah, wewe ni mpumbavu flani

Nimekuuliza unaweza kunipa chain ya Muhammad na Isa ?
Muhammad na Musa ?

Acha kuendekeza mutah uwe na akili
 
Koran yote yaliyomo hakuna eye witness except Aya za dudu ya Muhammad ,zile za kula house girl kula mke wa mtoto wake n.k
Sasa wewe haupo kwa ajili ya kuujua ukweli bali kufurahisha nafsi yako. Ndiyo maana kwa tabia hizi zinawafanya msiwe mna hoji juu ya maandiko yenu.

Hili nikisema ubainishe hutaweza.
Muhammad habari za Musa za miaka elfu 2 kabla yake haijulikani kazitoa wapi

Isa wa Koran alikuwa na maswahaba na haijulikani waliandika nini?
Mtume Muhammad alifunuliwa hizo habari na Mola mwenyewe kupitia Malaika Jibril hii ilipelekea mpaka wale wasio mkubali wakubali utume wakez kwamba iweje mtu asiye jua kusoma na kuandika apatie katika hizi habari ?

Allah hakuamua kuyatunza maandiko ya mitume wengine wote ndiyo maana yakaingizwa uchafu na hii pia ni sababu muda wake uliisha. Ndiyo maana habari za nabii Issa na wanafunzi wake zimegusiwa kwenye Qur'aan na kadhalika kuhusu utatu ukagusiwa katika Qur'aan.
Wanafunzi wa mtume hakuna kitu waliandika ila baada ya miaka 200 ndio tunasikia flani alisema alimsikia flani akisema
Huu uongo hata akija mkana mungu mmoja humu ndani atakupinga, sababu mkana mungu huyo alianzisha mada kutaka kuikosoa Qur'aan akaweka rehea za kihistoria kuhusu kukusanywa kwa Qur'aan, shida najadiliana na mtu ambaye si msomaji, tangu mtume yuko hai Maswahaba zake walikuwa wanaandika yale aliyo kuwa anawasomea.

Sasa baada ya miaka 200 ya mtume kufa walio andika walitoa kichwani au ? Ukisoma habari za mtume unakuta kuna chain/sanad inafika mpaka kwa mtume, jambo ambalo hakuna wengine wenye elimu hii ila sisi. Wewe nikikwambia nipe "chain" ya huyo Luka mpaja ifike kwa Yesu hakuna lakini mlivyo vilaza mnaamini ya kuwa habari hizo zimetoka kwa Yesu bila hata "chain".
Nina swali la muhimu Sana kwako

Muhammad story za Isa, Musa , yakub n.k alitoa wapi? Na isa alikuwepo miaka mingapi kabla ya Muhammad?
Hili nimeshalijibu tayari.
 
Abdool son of Mutah, wewe ni mpumbavu flani

Nimekuuliza unaweza kunipa chain ya Muhammad na Isa ?
Muhammad na Musa ?

Acha kuendekeza mutah uwe na akili
Nacheka sana, nilikwambia tangu mwanzo mimi naandika elimu wewe unaandika umbeya na upotoshaji. Tulia nikutie adabu, ninapoamua kukukalia kimya sababu nakumudu na najua wewe ni mwepesi sana, sababu hufanyi utafiti. Huwa nasema hivi nikiamua kuwa naweka maandiko yenu humu si mtapoteana ?

Chain ya Muhammad na Issa ni ufunuo toka kwa Allah. Yaani ni chain iliyo tukuta, chain ambayo iko hivi "Kutoka kwa Allah kwenda kwa Jibril kwenda kwa Mtume". Allah ndiye aliyemuumba Issa kisha akamtuma kwa wana wa Israeli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…