APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
- Thread starter
- #21
Kitu kilichowaangusha ni imani,waafrica ni watunwenye imani sanaKweli maana kama Maprofesa na Madoctor wanaibiwa sasa itakuwa ajabu sana kwa mimi nisiyekwenda shule kuacha kuibiwa
Binfsi nimesikitika sana kuona mpaka wasomi wakubwa wanaibiwa kijinga sana