Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Watz wanapenda mambo marahisi rahisi sana,ndiyo maana kuibiwa ni simple
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwenyewe kayanda tuHii ishu niliisikia kwa aunt,toka mwezi wa 6 hivi, nikajiunga vinzuri ila ishu ilikuja pale nilipotaka kuweka pesa, kila nikisema ngoja nikaweke pesa nakuwa bize napotezea.
Nikaipotezea kama miezi 2, mwezi wa 8 aunt akanionyesha ela zake kwenye account duuh account imeshiba kinoma inakama million 6 hivi, akaniambia haitoi mpaka pale itakapofikia million 10, nikamwambia itoe akagoma katukatu.
Akanihamasisha niweke pesa kwenye account, MUNGU sio asumani, kweli nimeenda kwa wakala kuweka pesa, nilipofika tu nimetoa laki 2 mama kanipigia simu ana shida ya laki na sabini daah nikaona bora nimtumie mama, nikajisemea kalynda ipo tu nitaweka siku nyingine.
Juzi kati nasikia watu walitaka kuhack, kumbe ni mbinu viongozi wa kalynda walitumia kuwadanganya watu,leo hii aunt presha juu haamini kilichotokea.
Namshukuru MUNGU kwa kunipa moyo wa uvumilivu, huwa sipendi kukurupukia jambo linapozuka huwa natuliaga pembeni kusoma mchezo, hata nikichelewa vipi najuwa kama jambo ni jema nitalikuta wakati mwingine, hata kipindi social network zilipokuja nilitumia miaka mingi kujiingiza.
Sisi watanzania ni mabunyenye, tunapenda kitonga sana, vitu vya bure bure ndo tunavyovihitaji, hakuna kitu cha bure kwenye hii dunia, kila kitu kinapokuja kinakuwa na lengo la kukupiga tu.
Ndo maana sasa hivi mtaani makamari ya kichina yamejaa kuliko kanisa na msikiti, ukisikiliza kila redio chota mihela, mara betting, hao wanaoleta hivyo vitu wanajua watanzania ni maboya, hawapendi kuchunguza jambo kazi kupaparikia.
Tanzania utamkuta baba anabet, mama anacheza Chota mihela, watoto wanabet, hivi kwa dizaini kama hii taifa litaendeleaje?
Serikali ilikuwa wapi kipindi chote hicho, au serikali nao wanahusika? Kama wao ndo wanatoa vibali basi pia wanashiriki kutuibia.
Siku inzi ata acha kula mavi,ndo siku atatengeneza asali, nyuki ni mdudu ameamua kuwa bize na maisha yake, ndo maana anachokifanya kinaonekana kutuletea asali. Basi kwanini tusiige kwa nyuki?
ONE TIME,
ONE FOR THE ROAD.
APPROXIMATELY ONCE AGAIN.....
Habari hiyoPadre haruhusiwi kuoa au kuzaa, bali kuuishi useja.huyo mtoto kampatia wapi ?
Alijifanya mzalendo wa kalyndaHongera yako jmn,ila aunt naye daah namuonea huruma
Mzee ni kalynda sio kayandaWewe mwenyewe kayanda tu
😁😁😁hilo jina la kampuni tu linafanana na majina ya wacheza xxxx [emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha wapigweLa saba B wao kunusurika ni rahisi sana kuliko wasomi wetu maana wasomi wetu wanakuwa hawana akili ya maisha ya mitaani
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Nilichojifunza kwenye hii issue ni kwamba watanzania wengi bado ni wajinga sana
Kama nyumbuuu tuKwwny mtego mujarabu
Dah🤣Kama nyumbuuu tu
Wamekariri madesaLa saba B wao kunusurika ni rahisi sana kuliko wasomi wetu maana wasomi wetu wanakuwa hawana akili ya maisha ya mitaani
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Kuna dogo, ana digrii, mwajiriwa, alijiunga tarehe 6/10. Sijui amenusurika au na yeye kaliwa kichwa!
Alielekezwa na msomi mwenzie wa digrii ambaye pia ni mwajiriwa.
Hongera walioshinda na poleni walioshindwa kwenye huo ujinga.
Hakika. Ninawafahamu zaidi ya watu watano. Cha ajabu kila mmoja ananiambia hawajaliwa wamepata faida walitoa hela kabla.Halafu ukutwe waliopigwa kwenye hiyo kalynda ni wasomi wenye digrii zao vichwani wengine mastaz, wamekariri madesa tu
Hawawezi wakakuambiaa wameliwa vichwa, sijui huwa inakuaje mtu na akili zake timamu anaingizwa kingi kirahisi namna hiyo, bora uchonge kibubuHakika. Ninawafahamu zaidi ya watu watano. Cha ajabu kila mmoja ananiambia hawajaliwa wamepata faida walitoa hela kabla.
Mi kuna mchizi wangu wakuitwa Fred. Alikuwa kama kalogwa na kalyinda. Sijui kapigwa kiasi gani.Hii ishu niliisikia kwa aunt,toka mwezi wa 6 hivi, nikajiunga vinzuri ila ishu ilikuja pale nilipotaka kuweka pesa, kila nikisema ngoja nikaweke pesa nakuwa bize napotezea.
Nikaipotezea kama miezi 2, mwezi wa 8 aunt akanionyesha ela zake kwenye account duuh account imeshiba kinoma inakama million 6 hivi, akaniambia haitoi mpaka pale itakapofikia million 10, nikamwambia itoe akagoma katukatu.
Akanihamasisha niweke pesa kwenye account, MUNGU sio asumani, kweli nimeenda kwa wakala kuweka pesa, nilipofika tu nimetoa laki 2 mama kanipigia simu ana shida ya laki na sabini daah nikaona bora nimtumie mama, nikajisemea kalynda ipo tu nitaweka siku nyingine.
Juzi kati nasikia watu walitaka kuhack, kumbe ni mbinu viongozi wa kalynda walitumia kuwadanganya watu,leo hii aunt presha juu haamini kilichotokea.
Namshukuru MUNGU kwa kunipa moyo wa uvumilivu, huwa sipendi kukurupukia jambo linapozuka huwa natuliaga pembeni kusoma mchezo, hata nikichelewa vipi najuwa kama jambo ni jema nitalikuta wakati mwingine, hata kipindi social network zilipokuja nilitumia miaka mingi kujiingiza.
Sisi watanzania ni mabunyenye, tunapenda kitonga sana, vitu vya bure bure ndo tunavyovihitaji, hakuna kitu cha bure kwenye hii dunia, kila kitu kinapokuja kinakuwa na lengo la kukupiga tu.
Ndo maana sasa hivi mtaani makamari ya kichina yamejaa kuliko kanisa na msikiti, ukisikiliza kila redio chota mihela, mara betting, hao wanaoleta hivyo vitu wanajua watanzania ni maboya, hawapendi kuchunguza jambo kazi kupaparikia.
Tanzania utamkuta baba anabet, mama anacheza Chota mihela, watoto wanabet, hivi kwa dizaini kama hii taifa litaendeleaje?
Serikali ilikuwa wapi kipindi chote hicho, au serikali nao wanahusika? Kama wao ndo wanatoa vibali basi pia wanashiriki kutuibia.
Siku inzi ata acha kula mavi,ndo siku atatengeneza asali, nyuki ni mdudu ameamua kuwa bize na maisha yake, ndo maana anachokifanya kinaonekana kutuletea asali. Basi kwanini tusiige kwa nyuki?
ONE TIME,
ONE FOR THE ROAD.
APPROXIMATELY ONCE AGAIN.....
Mnooo Kuna mmoja HUMU alikuwa anaitetea kinyama.... Nkamwambia tu "WAKATI WA KUTOA LETE MREJESHO"...... Majibu anayo... Hizi schemes wamepigwa Sanaaa.... Wanabadili majina tu..Nilichojifunza kwenye hii issue ni kwamba watanzania wengi bado ni wajinga sana