Nilitaka kupigwa Kalynda ila nikastukia

Nilitaka kupigwa Kalynda ila nikastukia

Kuna wengine ukimuuunga mtu unahama level sijui level one sijui level two...na aliyekuwa ana nishawishi ni daktari kabisa kwamba hiyo kampuni inasambaza vifaa Tiba Tanzania.... Nkamwambia tu sawa kaka ukifanikiwa kutoa utaniambia ..siku anatoa wakamwambia asubiri masaa72 ...ndio ntoleee... Alifika milioni 8 .... aliashapigwa Mama na Mama mkwe kwenye kupanda mbegu DECI na walikuwa wastaaafu niliwaonea huruma sana.
Hao wakwenye level za juu wamepigwa sana ni kama aunt alikuwa level ya juu sana
 
Haha nimeponyoka aisee, kuna mtumishi mwenzangu alikuwa kila siku ofisini ni lazima anishawishi kujiunga na Klynda mara anioneshe akaunti yake ilivyokuwa ikiongezeka kwa kasi. Moyo wangu ulikuwa mzito sana kujiunga kumbe mambo yameshakuwa sio mambo tena..
 
Haha nimeponyoka aisee, kuna mtumishi mwenzangu alikuwa kila siku ofisini ni lazima anishawishi kujiunga na Kalynda mara anioneshe akaunti yake ilivyokuwa ikiongezeka kwa kasi. Moyo wangu ulikuwa mzito sana kujiunga kumbe mambo yameshakuwa sio mambo tena..
Siku zote hiamini roho yako
 
Screenshot_2022-10-12_214855.jpg

Kalynda unajua kunifurahisha😅😅😅😅
 
IMG_0987.jpg

ajabu ni kwamba kesho itakuja kampuni nyingine,kwa uwekezaji aina hii hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kisha wazee wa ku grab the chance before it is too late,wataingia tena na watatawadhwa tenaaaaa[emoji1787][emoji1787]

wengine enzi za escorow hatukuwa kwenge mifumo ya a maisha ya hela,ila Qnet,fliving,D9,mr kuku ni tayari tuliishakuwa wajuaji,hawa wa mwaka huu kupigwa naona ni watoto wa 2008 kuja juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Au ndo hii mana kuna rafki angu haipiti wk ananitumia ma link tu…
 
Back
Top Bottom