APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
- Thread starter
- #81
Mkuu ilibaki sekunde niweke ela,ila mama namshukuru sanaStatement SI zipo iwe benki au Kwa simu!!?? Wakuonyeshe hiyo miamala🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ilibaki sekunde niweke ela,ila mama namshukuru sanaStatement SI zipo iwe benki au Kwa simu!!?? Wakuonyeshe hiyo miamala🤣🤣🤣🤣🤣
Najaribu kuvuta picha makampuni walivyo wajanja, etiTanzania utamkuta baba anabet, mama anacheza Chota mihela, watoto wanabet, hivi kwa dizaini kama hii taifa litaendeleaje?
Hao wakwenye level za juu wamepigwa sana ni kama aunt alikuwa level ya juu sanaKuna wengine ukimuuunga mtu unahama level sijui level one sijui level two...na aliyekuwa ana nishawishi ni daktari kabisa kwamba hiyo kampuni inasambaza vifaa Tiba Tanzania.... Nkamwambia tu sawa kaka ukifanikiwa kutoa utaniambia ..siku anatoa wakamwambia asubiri masaa72 ...ndio ntoleee... Alifika milioni 8 .... aliashapigwa Mama na Mama mkwe kwenye kupanda mbegu DECI na walikuwa wastaaafu niliwaonea huruma sana.
Jina lenyewe linakupa hamu ya kucheza unajikuta wewe ndo unachotwa mihelaNajaribu kuvuta picha makampuni walivyo wajanja, eti
"Chota mihela"
[emoji23][emoji23]
Siku zote hiamini roho yakoHaha nimeponyoka aisee, kuna mtumishi mwenzangu alikuwa kila siku ofisini ni lazima anishawishi kujiunga na Kalynda mara anioneshe akaunti yake ilivyokuwa ikiongezeka kwa kasi. Moyo wangu ulikuwa mzito sana kujiunga kumbe mambo yameshakuwa sio mambo tena..
Hapa wengi wameliwaHalafu ukutwe waliopigwa kwenye hiyo kalynda ni wasomi wenye digrii zao vichwani wengine mastaz, wamekariri madesa tu
Hata kesho ukija na na kamchezo,panda buku kwa kila siku ,mwisho wa mwezi uvune 50000 watajiunga wengi sanaHapa wengi wameliwa
Lugha zao tamu sanaNajaribu kuvuta picha makampuni walivyo wajanja, eti
"Chota mihela"
[emoji23][emoji23]
Mbaya Zaid had wakuu wa vyomb vya usalam na vyombo muhimu za serkali zipo Wala haito kauli nao wanacheza Hakika ujiinga upo Sana TanzaniaTanzania utamkuta baba anabet, mama anacheza Chota mihela, watoto wanabet, hivi kwa dizaini kama hii taifa litaendeleaje?
Hata kesho ukija na na kamchezo,panda buku kwa kila siku ,mwisho wa mwezi uvune 50000 watajiunga wengi sana
Mm nimepewa had uadimin ili niweze kujiunga ila niligoma mm sipendi ubahatishajiAisee wengine tuko nyuma hii Kalynda nimeiona tangu juzi mitandaoni kabla ya hapo sijawahi kuisikia wala kuona hata tangazo lake
Kwangu naona ni kitu kigeni kabisa
Ulitaka kupigwa mkuuChupuchupu yaan
Adimin tupe ela zetuMm nimepewa had uadimin ili niweze kujiunga ila niligoma mm sipendi ubahatishaji
😳wewe apo au Mimi?Ulitaka kupigwa mkuu
Nikajua pia wewe😳wewe apo au Mimi?