Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Hapana mkuuNikajua pia wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuuNikajua pia wewe
Sema wamepigwa wengi,ninao wajua ni wamepigwa kwanzia million 3 mpaka 8 hivi,achana na laki 3,5,8 kuna wa million 2 wengi sanaHapana mkuu
🤣🤣🤣AiseeSema wamepigwa wengi,ninao wajua ni wamepigwa kwanzia million 3 mpaka 8 hivi,achana na laki 3,5,8 kuna wa million 2 wengi sana
Hii inaitwa janga la taifa🤣🤣🤣Aisee
Wasomi wetu ni wakukariri hawataki kutumia akili kufikiriKabisa.
Nimeona video ya mahojiano ya dogo fulani eti anasoma udaktari Kampala universitu anadai kapigwa kama mls 5 na anadaiwa na maprofesa wake watatu nao aliwashawishu wakajiunga na wanafunzi kibao. Anadai kuna hadi wanasiasa na viongozi wa serikali wakubwa walikuwa wanakutana pale.
Anasema sasa hivi anaishi kama digidigi kwakuwa ameingiza wanafunzi wengi na alikuwa kila akiwafanyoa seminar pale chuoni kalynda wanamrushia tshs200000
Elimu kubwa ni elimu ya mtaaniWasomi wetu ni wakukariri hawataki kutumia akili kufikiri
Za kwako kibamiaMbona na ww na wale wale, akili zako kisoda
Hivi unajua makanisa misikiti na haya makamari ni kitu kimoja ?Watu sijui mnatoa wapi hela za kuchezea si bora mngepereka hata KWA MWAMPOSA mngepewa hata cake za upako na maji mkasuza koo zenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiki ndio kilinikuta D9 , best wangu alinishinikiza sana, japo nilikuwa najua ni Scam sikuweka mapesa mengi ila nilipigwa.Kuna wengine ukimuuunga mtu unahama level sijui level one sijui level two...na aliyekuwa ana nishawishi ni daktari kabisa kwamba hiyo kampuni inasambaza vifaa Tiba Tanzania.... Nkamwambia tu sawa kaka ukifanikiwa kutoa utaniambia ..siku anatoa wakamwambia asubiri masaa72 ...ndio ntoleee... Alifika milioni 8 .... aliashapigwa Mama na Mama mkwe kwenye kupanda mbegu DECI na walikuwa wastaaafu niliwaonea huruma sana.
Teacher walitaka kukuotea [emoji1787]Chupuchupu yaan
Noo,namsemea jamaa aliponea chupchupTeacher walitaka kukuotea [emoji1787]
Mm mwaka 2017 waliniotea tena ni baada ya kushawishiwa sana na ndg yangu,baada ya hapo nikiona unazungumzia hizi mambo sichangii chochote namuangalia tu [emoji849][emoji849]Noo,namsemea jamaa aliponea chupchup
🤣🤣🤣pole sanaMm mwaka 2017 waliniotea tena ni baada ya kushawishiwa sana na ndg yangu,baada ya hapo nikiona unazungumzia hizi mambo sichangii chochote namuangalia tu [emoji849][emoji849]
Kuna makanisa utakiwi kutoa ela za sarafu,ni mwendo wa noti tuHivi unajua makanisa misikiti na haya makamari ni kitu kimoja ?
Sio hii tu, watanzania bado sanaaaNilichojifunza kwenye hii issue ni kwamba watanzania wengi bado ni wajinga sana
Umenikumbusha yaliwah kunikuta kama haya,niliingia chuo ni kawa mtu pekee anaebet,wengi walikuwa hawajaanza kubet,mwanzo nilkuwa nabet kwa siri ila ikatokea dogo mmoja akanisanukia akaomba nimwelekeze na mpaka nikamfungulia na acc basi kadir siku zilivyoenda madogo wengine wakaibuka walijifunza kwa yule niliemfundisha mwanzo,maana baada ya yeye kujua alianza kuyafanya haya mambo ya betting kwa uwaziKabisa.
Nimeona video ya mahojiano ya dogo fulani eti anasoma udaktari Kampala universitu anadai kapigwa kama mls 5 na anadaiwa na maprofesa wake watatu nao aliwashawishu wakajiunga na wanafunzi kibao. Anadai kuna hadi wanasiasa na viongozi wa serikali wakubwa walikuwa wanakutana pale.
Anasema sasa hivi anaishi kama digidigi kwakuwa ameingiza wanafunzi wengi na alikuwa kila akiwafanyoa seminar pale chuoni kalynda wanamrushia tshs200000