Nilitarajia Katibu Mwenezi Paul Makonda awe ameshafika Hanang na kutoa maelekezo. Uwezo wake uko kwenye nini hasa?

Nilitarajia Katibu Mwenezi Paul Makonda awe ameshafika Hanang na kutoa maelekezo. Uwezo wake uko kwenye nini hasa?

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Anajulikana kama mpenda watu na yeye watu wanampenda. Ndivyo tunavyoaminishwa.

Kutokana na janga la kiasili lililowatokea wenzetu nilitarajia kuona ule uwezo wanaosema Katibu MMwenezi wa NEC anao uwe umeshaleta nafuu kwa wwahanga wa Mafuriko na janga la Mvua.

Ccm kamachama Doka kina Instruments zingi za kutenda kazi. Tulitarajia kuona Chama kikiagiza serikali kupeleka Helkopita kadhaaa na Matank kadhaa( Vifaru) visivyozuiwa na matope kwenda Eneo la tukio.

Badala yake imekuwa kinyume.

Je kwani Mwenezi anaeneza nini? Au jina tu.

Uwezo wa Paul Makonda alio nao anaweza kuleta nafuu sana kwa wahanga. Tunaomba alitazame na hili.
 
Angeenda ingekuwa nongwa, hajaenda pia nongwa. Binadamu hata Yesu alishindwa kujua mnataka nini, haha
Ameamua atulie zake Kwa mshua ale maisha tuu,,licha ya Wema wote walimwengu wakamlipa Kwa kumpigilia misumari na kumtundika msalabani hata ningekuwa Mimi nisingerudi,,wanadamu hawana wema mafii yao
 
Ameamua atulie zake Kwa mshua ale maisha tuu,,licha ya Wema wote walimwengu wakamlipa Kwa kumpigilia misumari na kumtundika msalabani hata ningekuwa Mimi nisingerudi,,wanadamu hawana wema mfii yao
Si kapewa shavu la Uenezi?
 
Anajulikana kama mpenda watu na yeye watu wanampenda. Ndivyo tunavyoaminishwa.

Kutokana na janga la kiasili lililowatokea wenzetu nilitarajia kuona ule uwezo wanaosema Katibu MMwenezi wa NEC anao uwe umeshaleta nafuu kwa wwahanga wa Mafuriko na janga la Mvua.

Ccm kamachama Doka kina Instruments zingi za kutenda kazi. Tulitarajia kuona Chama kikiagiza serikali kupeleka Helkopita kadhaaa na Matank kadhaa( Vifaru) visivyozuiwa na matope kwenda Eneo la tukio.

Badala yake imekuwa kinyume.

Je kwani Mwenezi anaeneza nini? Au jina tu.

Uwezo wa Paul Makonda alio nao anaweza kuleta nafuu sana kwa wahanga. Tunaomba alitazame na hili.
Unamimba ya MAKONDA?, [emoji6]
 
Alienda Makamu Mzee Kinana. Yeye pengine atakwenda na Mwenyekiti. Makonda take your time,watu hawahitaji maneno maneno ukienda uende na kishindo cha misaada na maelekezo kwa watendaji ambao wameshindwa kutimiza wajibu wao kwenye maafa hayo.
 
Anajulikana kama mpenda watu na yeye watu wanampenda. Ndivyo tunavyoaminishwa.

Kutokana na janga la kiasili lililowatokea wenzetu nilitarajia kuona ule uwezo wanaosema Katibu MMwenezi wa NEC anao uwe umeshaleta nafuu kwa wwahanga wa Mafuriko na janga la Mvua.

Ccm kamachama Doka kina Instruments zingi za kutenda kazi. Tulitarajia kuona Chama kikiagiza serikali kupeleka Helkopita kadhaaa na Matank kadhaa( Vifaru) visivyozuiwa na matope kwenda Eneo la tukio.

Badala yake imekuwa kinyume.

Je kwani Mwenezi anaeneza nini? Au jina tu.

Uwezo wa Paul Makonda alio nao anaweza kuleta nafuu sana kwa wahanga. Tunaomba alitazame na hili.
Labda anawapima watendaji wa serikali ndio maana kabana anawatazama.
 
Alienda Makamu Mzee Kinana. Yeye pengine atawenda na Mwenyekiti. Makonda take your time,watu hawahitaji maneno maneno ukienda uende na kishindo cha misaada na maelekezo kwa watendaji ambao wameshindwa kutimiza wajibu wao kwenye maafa hayo.
Sahihi
 
Tz tunaishi kwa kudra ila huenda mtu anahujumiwa.... Haiwezekani akifa kiongozi jeshini zinatumika hadi helikopta. Tulia nae akapelekwa na helikopta nape alizunguka na helikopta kwa mambo ambayo yamekufa hayaeleweki lakini kusema ziende chopa hata 3 kwenye janga inakua ngumu naamini kuna namna watu wanashindwa kutoa maamuzi ili fulani aonekane hama maana kwa wananchi ila nisimalize maneno muda utatoa majibu
 
Tz tunaishi kwa kudra ila huenda mtu anahujumiwa.... Haiwezekani akifa kiongozi jeshini zinatumika hadi helikopta. Tulia nae akapelekwa na helikopta nape alizunguka na helikopta kwa mambo ambayo yamekufa hayaeleweki lakini kusema ziende chopa hata 3 kwenye janga inakua ngumu naamini kuna namna watu wanashindwa kutoa maamuzi ili fulani aonekane hama maana kwa wananchi ila nisimalize maneno muda utatoa majibu
KaZi sana Africa
 
Back
Top Bottom