Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Yaani aache kwenda kutoa msaada kwa kuogopa nongwa?
Utakuwa hujui ulichosema. Kimekutoka tu bila kufikiria
Msaada gani ataenda kuutoa? Watu wako kwenye majanga unataka kupeleka siasa for what?
And amtolee nani maelekezo wakati rais wa nchi kishatoa maelekezo?