Rubbish!, unadhani kiwanda cha chanjo ni sawa na kiwanda cha chereheni kushona nguo kama vya mwijage> Akili zenu zimeshakuwa za kijinga in all fields. These are high tech ventures, siyo kama kiwanda cha cherehani cha kushona viraka kwenye nguo ambavyo you are contemplating to erect all over TanzaniaMsaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.
Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.
Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hawa watu kwa ujinga uliowajaa wanatuona kuwa Watanzania wote ni wajinga kama wao.Rubbish!, unadhani kiwanda cha chanjo ni sawa na kiwanda cha chereheni kushona nguo kama vya mwijage> Akili zenu zimeshakuwa za kijinga in all fields. These are high tech ventures, siyo kama kiwanda cha cherehani cha kushona viraka kwenye nguo ambavyo you are contemplating to erect all over Tanzania
Watu kama nyie ni hasara kwa taifaMsaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.
Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.
Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Unaona akili matope ya hawa wehu wajnga.Hawa watu kwa ujinga uliowajaa wanatuona kuwa Watanzania wote ni wajinga kama wao.
Inakuingia vipi akilini nchi inayo import hata painkillers iweze kutengeneza chanjo?
Kweli ujinga ndio mtaji wa hawa wehu.
Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.
Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.
Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mkuu ulifanikiwa kupata ajira?Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.
Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.
Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Yaani tatizo hawa watu walishasema, wao ni matajiri na 'donner country club' Uchumi wa kati, sasa wanalia tena kumlazimisha mtoa mswada kipi awasaidie utafikiri hiyo misaada ni pesa ya walipa kodi wake!.... kazi kwelikweli.Watu kama nyie ni hasara kwa taifa
Umeandika utokoMsaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.
Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.
Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Ndio maana nawadharau sana baadhi ya Proccm, yaani MTU ninakupa msaada bado unataka kunipangia? Umepewa lift unataka kupiga na honi?Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.
Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.
Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Uzeni zile rasilimali mlizosema mnazilinda mpaka mkaagiza Lisu apigwe risasi, kisha mjenge kiwanda cha chanjo.Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.
Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.
Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kwani ukitulia halafu baadaye ujidai uliandika ukiwa unaota kuna ubaya gani?Hujaonesha wapi akili matope.
Hoja hujibiwa kwa hoja
Msaada unatakiwa kuwa endelevu ...Hujawahi kujiuliza kwa nini tunasaidiwa mahindi na sio zana za kilimo .Ndio maana nawadharau sana baadhi ya Proccm, yaani MTU ninakupa msaada bado unataka kunipangia? Umepewa lift unataka kupiga na honi?