#COVID19 Nilitarajia USA watusaidie ujenzi wa kiwanda cha chanjo

#COVID19 Nilitarajia USA watusaidie ujenzi wa kiwanda cha chanjo

Mbona mnapumulia kwa nyuma bila break?
Kwa ujinga wenu na urofa hamtajiamini kamwe,
Yaani uone fahali ya chanjo milioni moja kwa watu milioni 60 kisha upuuze wazo la kujitegemea kwa kutengeneza hiyo chanjo?

Mtoa wazo kasema kama wanataka kutusaidia walete kiwanda cha kutengeneza chanjo, sasa nyie bata manaanza kuaharisha bila break.

Kama mnataka akili zenu zibaki kulelewa basi nendeni mkatafute sehemu inaitwa sodoma na gomora.
Mzee si mlishasema kuwa nyie ni "dona kantre"?

Sasa kama nyie ni donors inakuwaje sasa mntakawa kuwa recipients wa misaada?
 
Kwa nini nchi ambayo tayari ipo uchumi wa kati tena inaenda uchumi wa kati wa juu zaidi isaidiwe na mabeberu kwenye mambo madogo kama hayo?Umechanganyikiwa?
109_20210706_190119.jpg
 
Unajuaje kama wanataka kutuuzia baadae?
Unawaza kama umefungiwa kwenye kibuyu?
Hujajibu hoja yangu bado. Mwanzo mlisema wanawapiga vita ya kiuchumi kwa kupitia ugonjwa wa covid19. Sasa iweje leo mnalalamika kuwa hawataki kuwajengea kiwanda cha chanjo? Yaani unalalamika kuwa adui yako hataki kukujengea kiwanda cha silaha?Basi kama mimi nimefungiwa kwenye kibuyu, wewe utakuwa umefungiwa kwenye gunia la mkaa.
 
Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.

Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?

Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.

Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kwa nini utarajie watusaidie kujenga kiwanda cha chanjo na tusijenge wenyewe? Awamu iliyopita tuliambiwa "hela zipo!" Kwa nini hizo zisijenge?
 
Kwa nini utarajie watusaidie kujenga kiwanda cha chanjo na tusijenge wenyewe? Awamu iliyopita tuliambiwa "hela zipo!" Kwa nini hizo zisijenge?
Huyo mtu awekwe kwenye kundi la wazembe na wazururaji tu.Anataka kuharibu "rigasi" ya muishimiwa mungu😂😂😂😂
 
Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.

Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?

Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.

Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Huu uzi umetoka kwa jitu jinga linajiita jinga lao..
 
Wewe Jingalo kweli
Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.

Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?

Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.

Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Hata mwaka haujaisha waliokuwa wanawaita wazungu mabeberu wameanza kuwapigia magoti wawajengee kiwanda cha chanjo kwa kutumia kodi za wananchi wao.
 
Uzeni drimulaina mjenge kiwanda chenu, msiwapangie watu vya kuwasadia nyie matonya.
 
Lalamiko zuri.

Lakini tatizo linakuja kwamba hata wangejenga hicho kiwanda sisi tuna wataalamu wa kuendesha hicho kiwanda?

Kama wataalamu tungekua nao nafikiri Wizara husika ingekua ishatoa hili wazo. Considering muda ambao Tz tumekua tukigewa ARV za bure basi Wizara ingekua ishaweka mpango wa kuzalisha hizo ARV hapa hapa.

Nafikiri hata kwa covid hata ikae miaka 15 mbele hakuna kiwanda kitajengwa. Ishu ya afya ya Tz haitakiwi atupiwe mpira mgeni, anayetakiwa kushikwa shati na kuulizwa ni Wizara husika.
 
Mnanuna drimulaina kwa cash halafu mnalilia kujengewa viwanda kwa msaada na mabeberu. Ng'umbaru kabisa.
Mbona mnapumulia kwa nyuma bila break?
Kwa ujinga wenu na urofa hamtajiamini kamwe,
Yaani uone fahali ya chanjo milioni moja kwa watu milioni 60 kisha upuuze wazo la kujitegemea kwa kutengeneza hiyo chanjo?

Mtoa wazo kasema kama wanataka kutusaidia walete kiwanda cha kutengeneza chanjo, sasa nyie bata manaanza kuaharisha bila break.

Kama mnataka akili zenu zibaki kulelewa basi nendeni mkatafute sehemu inaitwa sodoma na gomora.
 
Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.

Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?

Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.

Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Si ulisema wa tz walio wengi hawataki chanjo? Acha sisis wachache tuchanjwe
 
Hiyo chanjo haijatolewa na USA peke yake ni mpango wa chanjo kwa dunia nzima unaoratibiwa na WHO acha kuongea vitu usivyovijuwa.
 
Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.

Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?

Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.

Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Nyie si mlikuwa mnawabeza Wazungu na Jiwe wenu kuwa corona imewashinda.
Hatukutakiwa kupewa msaada hata kidogo maana tuliwadharau sana na nyungu zetu.
 
Back
Top Bottom