NGO gani hiyo?watakua walikula NGO
Kipindi cha Jiwe NGO zilionekana wafadhili wa upinzani walizipiga pini ..
Hata ile NGO ya Human Rights waliizifungia 6 Billion kwenye account yako kuelekea uchaguzi kwa madai ni pesa za kuanzishia vurugu..
That man was totally insane...