#COVID19 Nilitarajia USA watusaidie ujenzi wa kiwanda cha chanjo

#COVID19 Nilitarajia USA watusaidie ujenzi wa kiwanda cha chanjo

CCM wananifurahisha sana, wamebanaaaa wameachia! Mdebwedo, ndembendembe, kifo cha mende, chaliiiiii.

Mliwahi kuwatukana USA sijui mabeberu sijui wanataka muwe mashoga, kelele zoote sasa mmenogewa mnataka mjengewe na Kiwanda? CCM hamueleweki
 
Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.

Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?

Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.

Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Leo MABEBERU wamekuwa wa maana.
 
Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.

Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?

Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.

Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mwanzo mlisema wanawapiga vita vya kiuchumi waliposhauri juu ya kuchukua tahadhari za COVID19 ikiwemo kuvaa barako ana chanjo, mwenzako mayala kaja na post yake anawaita mabeberu, wewe unataka wakujengee kiwanda cha chanjo.Hivi CCM huwa hamshirikishi akili zenu kabla ya kuandika/kutamka jambo?
 
Hawa watu kwa ujinga uliowajaa wanatuona kuwa Watanzania wote ni wajinga kama wao.

Inakuingia vipi akilini nchi inayo import hata painkillers iweze kutengeneza chanjo?

Kweli ujinga ndio mtaji wa hawa wehu.
Mbona mnapumulia kwa nyuma bila break?
Kwa ujinga wenu na urofa hamtajiamini kamwe,
Yaani uone fahali ya chanjo milioni moja kwa watu milioni 60 kisha upuuze wazo la kujitegemea kwa kutengeneza hiyo chanjo?

Mtoa wazo kasema kama wanataka kutusaidia walete kiwanda cha kutengeneza chanjo, sasa nyie bata manaanza kuaharisha bila break.

Kama mnataka akili zenu zibaki kulelewa basi nendeni mkatafute sehemu inaitwa sodoma na gomora.
 
Mwanzo mlisema wanawapiga vita vya kiuchumi waliposhauri juu ya kuchukua tahadhari za COVID19 ikiwemo kuvaa barako ana chanjo, mwenzako mayala kaja na post yake anawaita mabeberu, wewe unataka wakujengee kiwanda cha chanjo.Hivi CCM huwa hamshirikishi akili zenu kabla ya kuandika/kutamka jambo?
Unajuaje kama wanataka kutuuzia baadae?
Unawaza kama umefungiwa kwenye kibuyu?
 
Mbona mnapumulia kwa nyuma bila break?
Kwa ujinga wenu na urofa hamtajiamini kamwe,
Yaani uone fahali ya chanjo milioni moja kwa watu milioni 60 kisha upuuze wazo la kujitegemea kwa kutengeneza hiyo chanjo?

Mtoa wazo kasema kama wanataka kutusaidia walete kiwanda cha kutengeneza chanjo, sasa nyie bata manaanza kuaharisha bila break.

Kama mnataka akili zenu zibaki kulelewa basi nendeni mkatafute sehemu inaitwa sodoma na gomora.
Acha ujijnga, yaani kuomba msaada wa kujengewa kiwanda ni Wazo? Pumbavu kweli wewe
 
Mbona mnapumulia kwa nyuma bila break?
Kwa ujinga wenu na urofa hamtajiamini kamwe,
Yaani uone fahali ya chanjo milioni moja kwa watu milioni 60 kisha upuuze wazo la kujitegemea kwa kutengeneza hiyo chanjo?

Mtoa wazo kasema kama wanataka kutusaidia walete kiwanda cha kutengeneza chanjo, sasa nyie bata manaanza kuaharisha bila break.

Kama mnataka akili zenu zibaki kulelewa basi nendeni mkatafute sehemu inaitwa sodoma na gomora.
Hapo anayeililia hiyo nchi ni yupi?Aliyepewa msaada wa chakula na bado hata hajala anataka aolewe kabisa au anayemshauri ajitegemee?😝😝😝😝
 
Mbona mnapumulia kwa nyuma bila break?
Kwa ujinga wenu na urofa hamtajiamini kamwe,
Yaani uone fahali ya chanjo milioni moja kwa watu milioni 60 kisha upuuze wazo la kujitegemea kwa kutengeneza hiyo chanjo?

Mtoa wazo kasema kama wanataka kutusaidia walete kiwanda cha kutengeneza chanjo, sasa nyie bata manaanza kuaharisha bila break.

Kama mnataka akili zenu zibaki kulelewa basi nendeni mkatafute sehemu inaitwa sodoma na gomora.
Wanajitoa ufahamu.
Ni heri tungefuta hivi vyuo vya kata aisee
 
Back
Top Bottom