Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kwani msaada ni lazima? Tuliza nanihii! So mlisema hamtaki? Kwani mmelazimishwa??Msaada unatakiwa kuwa endelevu ...Hujawahi kujiuliza kwa nini tunasaidiwa mahindi na sio zana za kilimo .
Dunderhead
Na haohao mabeberu wanaokupigeni vita vya kiuchumi?Msaada unatakiwa kuwa endelevu ...Hujawahi kujiuliza kwa nini tunasaidiwa mahindi na sio zana za kilimo .
Dunderhead
Hoja I wapi?Umeelezwa ujenge mwenyewe.Nchi ya Tanzania inasemekana ni "dona kantle"!😂😂😂Rudi kwenye hoja ya msingi acha kujitoa ufahamu
Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.
Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.
Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mwanzo mlisema wanawapiga vita vya kiuchumi waliposhauri juu ya kuchukua tahadhari za COVID19 ikiwemo kuvaa barako ana chanjo, mwenzako mayala kaja na post yake anawaita mabeberu, wewe unataka wakujengee kiwanda cha chanjo.Hivi CCM huwa hamshirikishi akili zenu kabla ya kuandika/kutamka jambo?Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.
Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.
Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
😂😂😂😂😂Eti kiwanda cha chanjo 🤣🤣🤣
Mbona mnapumulia kwa nyuma bila break?Hawa watu kwa ujinga uliowajaa wanatuona kuwa Watanzania wote ni wajinga kama wao.
Inakuingia vipi akilini nchi inayo import hata painkillers iweze kutengeneza chanjo?
Kweli ujinga ndio mtaji wa hawa wehu.
Hahahahha kutoka kwa mabeberu! Dona katriEti kiwanda cha chanjo 🤣🤣🤣
Unajuaje kama wanataka kutuuzia baadae?Mwanzo mlisema wanawapiga vita vya kiuchumi waliposhauri juu ya kuchukua tahadhari za COVID19 ikiwemo kuvaa barako ana chanjo, mwenzako mayala kaja na post yake anawaita mabeberu, wewe unataka wakujengee kiwanda cha chanjo.Hivi CCM huwa hamshirikishi akili zenu kabla ya kuandika/kutamka jambo?
Acha ujijnga, yaani kuomba msaada wa kujengewa kiwanda ni Wazo? Pumbavu kweli weweMbona mnapumulia kwa nyuma bila break?
Kwa ujinga wenu na urofa hamtajiamini kamwe,
Yaani uone fahali ya chanjo milioni moja kwa watu milioni 60 kisha upuuze wazo la kujitegemea kwa kutengeneza hiyo chanjo?
Mtoa wazo kasema kama wanataka kutusaidia walete kiwanda cha kutengeneza chanjo, sasa nyie bata manaanza kuaharisha bila break.
Kama mnataka akili zenu zibaki kulelewa basi nendeni mkatafute sehemu inaitwa sodoma na gomora.
Jamaa kaandika uharo 🤣🤣🤣Hahahahha kutoka kwa mabeberu! Dona katri
Hapo anayeililia hiyo nchi ni yupi?Aliyepewa msaada wa chakula na bado hata hajala anataka aolewe kabisa au anayemshauri ajitegemee?😝😝😝😝Mbona mnapumulia kwa nyuma bila break?
Kwa ujinga wenu na urofa hamtajiamini kamwe,
Yaani uone fahali ya chanjo milioni moja kwa watu milioni 60 kisha upuuze wazo la kujitegemea kwa kutengeneza hiyo chanjo?
Mtoa wazo kasema kama wanataka kutusaidia walete kiwanda cha kutengeneza chanjo, sasa nyie bata manaanza kuaharisha bila break.
Kama mnataka akili zenu zibaki kulelewa basi nendeni mkatafute sehemu inaitwa sodoma na gomora.
Nilishasema mbona kuwa CCM ni kama sigara Kali tu?Jamaa kaandika uharo 🤣🤣🤣
Wanajitoa ufahamu.Mbona mnapumulia kwa nyuma bila break?
Kwa ujinga wenu na urofa hamtajiamini kamwe,
Yaani uone fahali ya chanjo milioni moja kwa watu milioni 60 kisha upuuze wazo la kujitegemea kwa kutengeneza hiyo chanjo?
Mtoa wazo kasema kama wanataka kutusaidia walete kiwanda cha kutengeneza chanjo, sasa nyie bata manaanza kuaharisha bila break.
Kama mnataka akili zenu zibaki kulelewa basi nendeni mkatafute sehemu inaitwa sodoma na gomora.