Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mzee si mlishasema kuwa nyie ni "dona kantre"?Mbona mnapumulia kwa nyuma bila break?
Kwa ujinga wenu na urofa hamtajiamini kamwe,
Yaani uone fahali ya chanjo milioni moja kwa watu milioni 60 kisha upuuze wazo la kujitegemea kwa kutengeneza hiyo chanjo?
Mtoa wazo kasema kama wanataka kutusaidia walete kiwanda cha kutengeneza chanjo, sasa nyie bata manaanza kuaharisha bila break.
Kama mnataka akili zenu zibaki kulelewa basi nendeni mkatafute sehemu inaitwa sodoma na gomora.
Hujajibu hoja yangu bado. Mwanzo mlisema wanawapiga vita ya kiuchumi kwa kupitia ugonjwa wa covid19. Sasa iweje leo mnalalamika kuwa hawataki kuwajengea kiwanda cha chanjo? Yaani unalalamika kuwa adui yako hataki kukujengea kiwanda cha silaha?Basi kama mimi nimefungiwa kwenye kibuyu, wewe utakuwa umefungiwa kwenye gunia la mkaa.Unajuaje kama wanataka kutuuzia baadae?
Unawaza kama umefungiwa kwenye kibuyu?
Kwa nini utarajie watusaidie kujenga kiwanda cha chanjo na tusijenge wenyewe? Awamu iliyopita tuliambiwa "hela zipo!" Kwa nini hizo zisijenge?Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.
Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.
Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Huyo mtu awekwe kwenye kundi la wazembe na wazururaji tu.Anataka kuharibu "rigasi" ya muishimiwa mungu😂😂😂😂Kwa nini utarajie watusaidie kujenga kiwanda cha chanjo na tusijenge wenyewe? Awamu iliyopita tuliambiwa "hela zipo!" Kwa nini hizo zisijenge?
Kweli wew bado una akili za kimarehemu.huo ndio msaada nitakaouthamini
Huu uzi umetoka kwa jitu jinga linajiita jinga lao..Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.
Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.
Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Basi tuwarudishie chanjo yao. Kwani lazima tuchukue?Of course tutajenga ila in the future tupokee misaada inayoeleweka
Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.
Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.
Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mbona mnapumulia kwa nyuma bila break?
Kwa ujinga wenu na urofa hamtajiamini kamwe,
Yaani uone fahali ya chanjo milioni moja kwa watu milioni 60 kisha upuuze wazo la kujitegemea kwa kutengeneza hiyo chanjo?
Mtoa wazo kasema kama wanataka kutusaidia walete kiwanda cha kutengeneza chanjo, sasa nyie bata manaanza kuaharisha bila break.
Kama mnataka akili zenu zibaki kulelewa basi nendeni mkatafute sehemu inaitwa sodoma na gomora.
Si ulisema wa tz walio wengi hawataki chanjo? Acha sisis wachache tuchanjweMsaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.
Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.
Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Nyie si mlikuwa mnawabeza Wazungu na Jiwe wenu kuwa corona imewashinda.Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.
Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.
Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!