Nilitembelea Uwanja wa Fisi, Buguruni, Rambo, Kimboka na kwingineko siku za hivi karibuni nimelia machozi

Sawa, unayajua machimbo mangapi ya madada poa?
 
Mimi naungana na wewe kabisa kuna jambo katuficha. Ila mkuu ungetoa location ya iyo bar mpya ambayo wahudumu hawavai chupi tuje kunywa beer.
Mkuu Dar imeoza, nadhani ndio maana serikali imehama.
Kuna bar Tabata vibinti vipo vimevaa sidiria na chupi tu. Kuna bar wahudumu wengi Ni vijana wasio rizki, hizi zinajaza ma gentleman wengi Sana wenye umri 45+ magari Yao cruza, Prado, patrol na haria. Hukuti ist na korola hapo.
 
Dar ufirauni ni mwingi sana hasa nyakati za usiku.
 
Dah! Eti ulilia..Sasa kilichokuliza ni udogo wao au biashara wanayofanya?

Remember that it’s part of their life, Even if you’re willing to help them but they can’t change their habits..
 
Anzisha asasi ya kiraia ya kuwasaidia wanawake waliokumbwa na kadhia hiyo mkuu. Naimani ukiandaa proposal nzuri na kupeleka kwenye organizations zinazohusiana na women empowerment unaweza ukapata donors wakueleweka na kutimiza ndoto zako za kuwasaidia.
 
Kama wewe mwanadamu ambaye siku zako chini ya jua zinahesabika vipi Muumba wetu na YESU wanavyosikitika kwa kuwaona watoto wake wakiwa katika hali hiyo.

Acha kabisa, watu wanaishi maisha ya hovyoo sana ila watu hawajali kabisa
 
Hao walemavu wenye madonda mostly ni matapeli jombaa ,, usije ukajichanganya
 

Kinachokuliza ni nini haswa? Wa Tanzania ni watu wa hovyo sana, unajua kama kungekuwa hakuna watu wanaoenda hapo na biashara hakuna wasingeenda?

Wewe ume wa promote kwa kwenda, bora ungesema umeenda wahubiria habari njema ya wokovu, you are helpless, ujawasaidia chochote, usilie ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…